Uchaguzi 2020 Tundu Lissu apumzike kampeni kidogo, anaonekana kuchoka

Aliyechoka zaidi ni yule anayejibu hoja zake...inaitwa fighting back
 
Mungu yupi wakumbariki?aliyliyeMpinga mtu aliyemtanguliza MUNGU kpnd cha COVID19. Me nasema MUNGU Msamehe Huyu LISU maana hajui alitendalo, umekwakoa na Risasi sta bado hakupi wee nafasi nafsinimwake. Mwenyez mrehemu MTU huyu
Marehemu maa yako
 
Ndugu wanachi vitambulisho sio lazima, ushauri kama anavyotumia fedha nyingi kwa wasanii basi kila mikutano yake watu waliolazimishwa kukata hivyo vitambulisho wavirudishe wapewe hela zao, zitasaidia kununua ndala na yebo za watoto.
 
Wanaongozwa Wana akili kuliko wanaotawala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…