johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Namkumbusha tu kwamba katika mikoa kumi ya kusaka urais walau miwili iwe ni ya Zanzibar.
Unajua sifa zinalevya anaweza kujikuta muda umekwisha bado yuko Tanganyika wanakomshangilia.
Niishie hapo!
Maendeleo hayana vyama.
Unajua sifa zinalevya anaweza kujikuta muda umekwisha bado yuko Tanganyika wanakomshangilia.
Niishie hapo!
Maendeleo hayana vyama.