Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Inatakiwa mikoa 10 tu minimum, sio lazima yote, Maana ukiacha Zanzibar Kuna Kigoma, Kagera, katavi, Rukwa, Lindi, Mtwara, Ruvuma n.k ambalo hajafika.
Mkuu naona kiswahili kimekupiga kona. Walau -isyopungua.Kanuni inasema walau mikoa 2 zenji kwa hiyo sio lazima
Hii roho mbaya tu. Subiri uone.Zanzibar apati ata wazamini 10
tawile sangoma..Zanzibar apati ata wazamini 10
Lazima miwili iwe Zanzibar,we acha akomae na Bara tuu yatamkutaInatakiwa mikoa 10 tu minimum, sio lazima yote. Maana ukiacha Zanzibar Kuna Kigoma, Kagera, katavi, Rukwa, Lindi, Mtwara, Ruvuma n.k ambalo hajafika.
Hivi ww Jane Lowassa ndiye wewe baba yako yule mwenye fistula???Usimuamshe aliyelala
Siyo lazima mgombea atembeze hizo fomu yeye mwenyewe.John, vipi JPM yeye alishaanza. Maana namuona yupo bize tu na wajumbe. Muda ndo unaisha huo.
Akipata maelfu tunakuja kukusugua kipochi manyoyaZanzibar apati ata wazamini 10
Umesikia matatizo ya mgombea wako?😀😀Namkumbusha tu kwamba katika mikoa kumi ya kusaka urais walau miwili iwe ni ya Zanzibar.
Unajua sifa zinalevya anaweza kujikuta muda umekwisha bado yuko Tanganyika wanakomshangilia.
Niishie hapo!
Maendeleo hayana vyama.