REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Wapinzani wamezidi porojoMbona umetolea mfano upinzani tu? Kwa ujumla wanasiasa wote sio wa kuwawekea dhamana mfano ni aliyekuwa makamo wa raisi angaliacssaivi anavyomgeuka aliyekuwa raisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapinzani wamezidi porojoMbona umetolea mfano upinzani tu? Kwa ujumla wanasiasa wote sio wa kuwawekea dhamana mfano ni aliyekuwa makamo wa raisi angaliacssaivi anavyomgeuka aliyekuwa raisi
Tofautisha uchaguzi na mchakato wa kuomba kuteuliwa na chama chako kuwa mgombea. Mimi niliomba kuteuliwa na chama changu kuwa mgombea. Mchakato wa ndani wa CCM unahisisha mambo mengi, likiwamo suala la kujitambulisha Kwa wajumbe wakuone na wew e uwa 'waone'. Mimi sikujitambulisha kwa wajumbe na siku 'muona' mjumbe yeyoye. Matokeo yake ndio hayo kupata kura moko!.We jamaa , kama ule ulikuwa uchaguzi mbona wewe uliambulia kura Sifuri yenye masikio ?
Kuliko maccm chukulia mfano wa bandari ya bagamoyoWapinzani wamezidi porojo
CCM ndio chama tawala nguvu yake ni kubwa sana so jifunze kuheshimu ccmKuliko maccm chukulia mfano wa bandari ya bagamoyo
Kipato kinachokombwa na tozo kulipia fidia ya mikataba mibovu.Tunawatoa usingizini vijana hawajui kuwa wanatumika bila sababu nguvu wanayotumia kubishana na kutumwa tumwa ovyo wangeitumia kufanya shughuli za kuwaletea kipato ingewasaidia sana na wangemuelewa mama
Kumbuka hapa duniani tunapita find a chance eat the nation 🎂Kipato kinachokombwa na tozo kulipia fidia ya mikataba mibovu.