Tundu Lissu asisitiza Katiba Mpya, Kurejea Nchini siku yoyote kuanzia sasa

Tundu Lissu asisitiza Katiba Mpya, Kurejea Nchini siku yoyote kuanzia sasa

We jamaa , kama ule ulikuwa uchaguzi mbona wewe uliambulia kura Sifuri yenye masikio ?
Tofautisha uchaguzi na mchakato wa kuomba kuteuliwa na chama chako kuwa mgombea. Mimi niliomba kuteuliwa na chama changu kuwa mgombea. Mchakato wa ndani wa CCM unahisisha mambo mengi, likiwamo suala la kujitambulisha Kwa wajumbe wakuone na wew e uwa 'waone'. Mimi sikujitambulisha kwa wajumbe na siku 'muona' mjumbe yeyoye. Matokeo yake ndio hayo kupata kura moko!.
P
 
Tunawatoa usingizini vijana hawajui kuwa wanatumika bila sababu nguvu wanayotumia kubishana na kutumwa tumwa ovyo wangeitumia kufanya shughuli za kuwaletea kipato ingewasaidia sana na wangemuelewa mama
Kipato kinachokombwa na tozo kulipia fidia ya mikataba mibovu.
 
Muda mwafaka wa vyombo vya habari kutajirika huu huwezi kutana na habari ya LISU isiwe front page na gazeti usinunue
 
Back
Top Bottom