Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwanini mumeo naye asinzishe chama mtafune?Mzee Mbowe si ataendelea kuzitafuna kupitia maandamano uchwara?
Sasa wewe dada angu una akili gani?Kama ambavyo misukule ya mzee Mbowe inaona watanzania hatuna akili
Huna akili, umewahi kumuona Lisu amepanda basi au daladala?Acha kupotosha ,kama makamu mwenyekiti chama kimeshinda kumpatia usafiri sembuse hawa vilaza wasiojitambua aisee?
Muhimu sana halafu kuna mkakati nimeufikiria nitaupeleka kwenye kata kuwabananisha nadhani utawafikia tu huko juu.Ujumbe wako umefika, na tutachunguza
Wataondolewa kabla ya zoezi la kuhesabu kura na kumtangaza mshindiHaijalishi ikiwa tayari kishazuia Wizi
Umeona wanatembelewa kama huyu SUGU?Wengi tu wamekaa sana kule akina January, Nyalandu, Nassari, Masha, Sugu, Lisu, Mo Dewji nk....nk ππ₯
Anaogopa zambi Mangi ,kudanganya wananchi maskini kuwa wakunje ngumi wakati wewe unawaibia sio tabia nzuri kabisa na malipo ni hapa hapa duniani ndio maana utajiti aliacha Mzee Aikael Mbowe unapuputika siku hadi siku.LAANA ni mbaya jamani.Kwanini mumeo naye asinzishe chama mtafune?
Kwa hiyo kutokupanda daladala kumeondoa uhalisia kuwa ameomba achangiwe hela ya usafiri? Hivi na hela ya matengenezo atachangiwa tena?Huna akili, umewahi kumuona Lisu amepanda basi au daladala?
Nimeweza kujitambua ndio maana nimegoma kuwa msukule wa mzee Mbowe kama ulivyo unakesha mitandaoni kudanganya umma kuwa chadema wanao ubavu kuchukua uongozi wa nchi.MKUU Acha kuvuna zambia aiseeπββοΈπββοΈπββοΈSasa wewe dada angu una akili gani?
Kwa nchi kama ya Tz ya sasa inamfaa mtu kamaBusara ,weledi na utulivu wa mama ni sfa ambazo lissu hana na hakuzaliwa nazo mkuu(bahati mbaya)
Sana tuUmeona wanatembelewa kama huyu SUGU?
Hatajafukia hatua ya kuwa na rais ambae mdomo wake hauna break.Kwa nchi kama ya Tz ya sasa inamfaa mtu kama
Lisu.
Kumbe sio anato mrejesho kuhusu maendele kuhusu uliberali aisee?Sana tu
Sema Sugu Kwa tasnia yake ya Sanaa ndio anaonaga Ujiko ππ₯
Yeye mwenyewe aliezitoa hana hizo sifa sasa utawezaje kupata msukule mwenye hizo sifa?Kwa uoga walionao wanachama wa chadema sijui kama wakala mwenye sifa hizo atapatikana
19 Oct wenye hiyo ubaya ubwege wanakula Nondo za makalioni na nyie CHADEMA 27 Nov mnakula Nondo sawa na hao mliko copy uo Ubaya ubwege.Akitoa semina elekezi kwa Wanachama na viongozi wa Chama Chake, Tundu Lissu amesema kwamba Sifa kuu ya Wakala ndani ya Kituo cha Kura ni Ukorofi, Kiburi, Jeuri na Ubishi.
Amesema Wakala hapaswi kusema anamwachia Mungu huku akiona utaratibu unakiukwa, Lissu amesisitiza kwamba Mungu hahusiki na Chaguzi hivyo kumuachia yeye achukue hatua kwenye wizi wa kura ni kumsingizia tu.
Katika kusisitiza hoja yake hiyo Lissu amedai kwamba, ndani ya kituo cha kura ni Ubaya Ubwela, na kuamsha Shangwe Ukumbini.
View attachment 3123321View attachment 3123322
Lau alikuwa anagonga bia na Balozi wa US pale Rose Garden kila week end ππKumbe sio anato mrejesho kuhusu maendele kuhusu uliberali aisee?
PatachimbikaWataondolewa kabla ya zoezi la kuhesabu kura na kumtangaza mshindi
Pesa wanazo? Pesa yote inaliwa na viongozi. Nyinyi endeleeni ulialia tu!CHADEMA wanakosea sn kusema watu wajitolee, mpe mtu hata elf 5 tu kwa siku kwa siku 10 ni 50 kitu ambacho wanaweza kabisa