LGE2024 Tundu Lissu ataja Sifa za Wakala ndani ya kituo cha Kura, Asema Ubishi ni Muhimu, Atumia Neno la Ubaya Ubwela

LGE2024 Tundu Lissu ataja Sifa za Wakala ndani ya kituo cha Kura, Asema Ubishi ni Muhimu, Atumia Neno la Ubaya Ubwela

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Lissu anaweza kuua vzur tu,ukishakuwa mtawala mauaji mengine yanafanyika pasipo wewe kutoa amri,sasa inabid upambane na watu wako kuwazuia

Tunatazama pia hulka na historia, sifa yake tangu akiwa kijana ni kusimamia sheria, kwa Lissu hamna chawa wala ujanjaujanja ni sheria mbele hata Mkapa na Jk wanamjua vema
 
Mama yetu ndo kamuita Simba kabisa! Unajua mziki wa King of the jungle. Hizi ni ishara za kiroho kabisa namna perception ya watawala kwa simba
 
Haka kajamaa tungekapa nchi walau miaka 5

Tatzo kiti cha urais sio cha kufanyia majaribio
Ingekuwa sio cha kufanyia majaribio ccm wasinge teuwa vichwa maji wawili kuwania uraisi 2015. Na vichwa maji hao wamekuwa maraisi. No wote kwa wakati tafauti mmoja Kawa jiwe, na mwingine Kawa chura badala ya kuwa raisi.
 
Ukweli ndiyo huwo hata CCM wenyewe huwa hawakubali kirahisi,kwa ujumla hakuna anaenda kwenye uchaguzi ili ashindwe,lazima atatumia nguvu zake zote ili ashinde na ushindi hauletwi kwenye kisahani.
 
Mbona tumejaribu mwanamke na tulijaribu wengine madikteta na wachekaji tu na wakamaliza miaka yao! Hakuna kitu chenye uhakika maishani kila kitu ni majaribio na calculated risks! Bila kutake risks hamnaga development. Na ccm haitakagi maneno laini boss ni kama quarterpin ya baiskeli bila nyundo hutakaa uione inalegea
Tunaongozwa na watu wa hovyo sn
 
Akitoa semina elekezi kwa Wanachama na viongozi wa Chama Chake, Tundu Lissu amesema kwamba Sifa kuu ya Wakala ndani ya Kituo cha Kura ni Ukorofi, Kiburi, Jeuri na Ubishi.

Amesema Wakala hapaswi kusema anamwachia Mungu huku akiona utaratibu unakiukwa, Lissu amesisitiza kwamba Mungu hahusiki na Chaguzi hivyo kumuachia yeye achukue hatua kwenye wizi wa kura ni kumsingizia tu.

Katika kusisitiza hoja yake hiyo Lissu amedai kwamba, ndani ya kituo cha kura ni Ubaya Ubwela, na kuamsha Shangwe Ukumbini.

View attachment 3123321View attachment 3123322
Hivi amesharudi kutoka kwa wanaume wake mabeberu!?
 
chadema toeni huduma ya chakula cha mchana kwa mawakala wenu vituoni sio ubinadamu kumshindisha wakala kituoni kuanzia saa 2 hadi 12 jioni pasipo walau chochote kitu tumboni
Hii kitu ni kweli ndiyo hapa CCM huwa wanawapa 20,000 za kwenda kula na hapo ndiyo wale watu ambao walijiandikisha na hawakuja kupiga kura kura zao huwa zinaandikishwa, wanakosea sn kutowapa hela za kula mawakala, 2020 nilifanya utafiti mdogo Unguja na bara hii kitu ni kweli tupu.
 
Back
Top Bottom