Tetesi: Tundu Lissu atakuwa bilionea TSh miaka miwili ijayo

Tetesi: Tundu Lissu atakuwa bilionea TSh miaka miwili ijayo

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Tindu Lissu na zile kampuni za Tigo ya zamani na wamiliki ni muda tu kabla ya kukubaliana kiasi gani wamlipe.

Mjadala unao endelea sasa ni mgawanyo kati ya Lissu na mawakili wake kwa mara nyingi mawakili wanataka 30% lakini Lissu amekazia hapo wakati wengine wakitaka 30% pamoja na gharama za hotel na safari hasa Sweden na USA walipo hao wamiliki.

Kwa kesi kama hizi Lissu hawezi kukosa baada ya matumizi $1.5 M mpaka $5M kwa makadirio ya chini.

Lakini inasemekana kama wakienda na kesi watadai mpaka $30M .

Bila kesi mawakili wake wataenda na $10M hivi.

Hivyo miaka miwili ijayo huyu Lissu atakuwa billionea na hata omba omba pesa za mafuta tena na inawesekana wakati huo huo atakuwa mwenyekiti wa Chama. Hapo kuna kazi
 
Tindu Lissu na zile kampuni za Tigo ya zamani na wamiliki ni muda tu kabla ya kukubaliana kiasi gani wamlipe.

Mjadala unao endelea sasa ni mgawanyo kati ya Lissu na mawakili wake kwa mara nyingi mawakili wanataka 30% lakini Lissu amekazia hapo wakati wengine wakitaka 30% pamoja na gharama za hotel na safari hasa Sweden na USA walipo hao wamiliki.

Kwa kesi kama hizi Lissu hawezi kukosa baada ya matumizi $1.5 M mpaka $5M kwa makadirio ya chini.

Lakini inasemekana kama wakienda na kesi watadai mpaka $30M .

Bila kesi mawakili wake wataenda na $10M hivi.

Hivyo miaka miwili ijayo huyu Lissu atakuwa billionea na hata omba omba pesa za mafuta tena na inawesekana wakati huo huo atakuwa mwenyekiti wa Chama. Hapo kuna kazi
Jasiri muongoza njia.. Was left makusudically to tell the tale and to engulf the tigo dough
 
Tigo 🤣
Futa..😋😋😋 yaaas😋
shall we dance_.jpeg
 
huyo bw. TAL Mw/Mungu akimjalia atakua Millionea na sio Billionea kama unavyotuokota.
 
Tindu Lissu na zile kampuni za Tigo ya zamani na wamiliki ni muda tu kabla ya kukubaliana kiasi gani wamlipe.

Mjadala unao endelea sasa ni mgawanyo kati ya Lissu na mawakili wake kwa mara nyingi mawakili wanataka 30% lakini Lissu amekazia hapo wakati wengine wakitaka 30% pamoja na gharama za hotel na safari hasa Sweden na USA walipo hao wamiliki.

Kwa kesi kama hizi Lissu hawezi kukosa baada ya matumizi $1.5 M mpaka $5M kwa makadirio ya chini.

Lakini inasemekana kama wakienda na kesi watadai mpaka $30M .

Bila kesi mawakili wake wataenda na $10M hivi.

Hivyo miaka miwili ijayo huyu Lissu atakuwa billionea na hata omba omba pesa za mafuta tena na inawesekana wakati huo huo atakuwa mwenyekiti wa Chama. Hapo kuna kazi
Pia anaweza kuwa marehemu badala ya bilionea...ni genius word
 
Kingine TAL awe na ulinzi wa kutosha na achukue tahadhari zote, kwani hudaiwa Roastiam Aziza mmiliki wa tiGo ni Double Agent wa CIA.
 
Back
Top Bottom