Uchaguzi 2020 Tundu Lissu atashindwa uchaguzi kwasababu anahubiri utengano badala ya Umoja

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu atashindwa uchaguzi kwasababu anahubiri utengano badala ya Umoja

Lissu na Mbowe mara kadhaa nimewasikia wanamshambulia Mbatia na NCCR hadharani. Pia jana nimemsikia Mbowe akiwaita wabunge waliohamia NCCR kutoka CHADEMA kuwa ni wasaliti.

Pia Lissu anawaita wanaCCM wote MaCCM sasa kauli hizi za kiubaguzi zinawaunganisha wanaobaguliwa kuliko kuwagawa. Nyerere alisema bila Muungano hakuna Watanganyika wala Wazanzibar.

Wazanzibar ni wamoja sasa hivi kwasababu kuna watanganyika ndani ya Muungano. Muungano ukivunjika hakuna watanganyika bali kuna makabila mbalimbali pia hakuna wazanzibari bali kuna waunguja na wapemba.

Sasa kama Lissu anataka Urais agenda yake namba moja ilipaswa kuwa kuwaunganisha watanzania na kutokuwabagua ili aweze kupata kura za wanaCCM, WanaNCCR n.k wenye msimamo wa wastani lakini kwa ubaguzi wake huu na chama chake ni ngumu kupata kura za wanachama wa vyama vingine. Ila kama wanatafuta kura nyingi kwa ajili ya ruzuku au kupata wabunge wengi kwa ajili ya kambi ya upinzani basi waendelee na ubaguzi huo. Lissu usirithi maadui wa Mbowe hawakuhusu.

Lowassa pamoja nguvu zake alisimamia agenda ya kuunganisha watu wa vyama vyote na makundi mbalimbali hapa nchini ndio maana kila mtu alijiona sehemu ya Lowassa.

Sasa ili kushinda Urais unapaswa kuunganisha makundi mbalimbali. Lissu anahitaji kura za Vunjo za watu wanaoiunga mkono NCCR Mageuzi na Mbatia. Halikadhalika Moshi vijijini, Rombo na maeneo mengine.

Lissu abadili kauli na mindset yake. Kitabu cha Dr. Slaa kinanukuu kauli ya Lissu wakati wa kumpokea Lowassa CHADEMA wakati ule 2015 kuwa " Hata kama watalazimika kushirikiana na shetani ili kuitoa CCM madarakani watafanya hivyo" Je NCCR, CHAUMMA, CCM, NGO,CSO ni mbaya kuliko shetani? Je Lissu hawahitaji hawa kwa ajili yake?

Sasa endeleeni kulewa na nyomi la watu elfu 10 uwanjani kwenye jimbo lenye wapiga kura laki 2 na ushee halafu mje kulia mmeibiwa.

Lema mwenyewe haamini kama Lissu atashinda Urais kadhalika kikundi chake ambacho ni Mbowe, Regy, Mrema n.k sasa Lissu acha usifungue macho wakati wenzio walimtaka Nyalandu
Mkuu hatuna mda wakujadiri tena upumbavu and ujunga wako ...tayari case imekabidhiwa kwa wana nchi ili watoe hukumu ..hata mupige magoti its time up.Kwanza wote wenzio wakihamia CCM kutoka Chadema wanapata kacheo e.g Juliana Shonza .inawezekana ulimpiga baba au mama yako umelaniwa ndio basi tena umekuwa jini ya mipasho tuu mitandaoni.. imbecile
 
Umoja Upi...,
Umoja wa kuwaambia wakazi wa sehemu fulani wachague mtu wa kwao..., Au umoja wa kuwaambia usipochagua Chama Hiki sileti maendeleo (wakati watu wanalipa kodi)

Au Definition ya Umoja ni nini ? Ni vema utumie busara kama unakemea jambo baya kemea ubaya na sio kuwa selective..., au ubaya sio maneno bali ni kinywa kinachosema hayo maneno?
 
Lissu na Mbowe mara kadhaa nimewasikia wanamshambulia Mbatia na NCCR hadharani. Pia jana nimemsikia Mbowe akiwaita wabunge waliohamia NCCR kutoka CHADEMA kuwa ni wasaliti.

Pia Lissu anawaita wanaCCM wote MaCCM sasa kauli hizi za kiubaguzi zinawaunganisha wanaobaguliwa kuliko kuwagawa. Nyerere alisema bila Muungano hakuna Watanganyika wala Wazanzibar.

Wazanzibar ni wamoja sasa hivi kwasababu kuna watanganyika ndani ya Muungano. Muungano ukivunjika hakuna watanganyika bali kuna makabila mbalimbali pia hakuna wazanzibari bali kuna waunguja na wapemba.

Sasa kama Lissu anataka Urais agenda yake namba moja ilipaswa kuwa kuwaunganisha watanzania na kutokuwabagua ili aweze kupata kura za wanaCCM, WanaNCCR n.k wenye msimamo wa wastani lakini kwa ubaguzi wake huu na chama chake ni ngumu kupata kura za wanachama wa vyama vingine. Ila kama wanatafuta kura nyingi kwa ajili ya ruzuku au kupata wabunge wengi kwa ajili ya kambi ya upinzani basi waendelee na ubaguzi huo. Lissu usirithi maadui wa Mbowe hawakuhusu.

Lowassa pamoja nguvu zake alisimamia agenda ya kuunganisha watu wa vyama vyote na makundi mbalimbali hapa nchini ndio maana kila mtu alijiona sehemu ya Lowassa.

Sasa ili kushinda Urais unapaswa kuunganisha makundi mbalimbali. Lissu anahitaji kura za Vunjo za watu wanaoiunga mkono NCCR Mageuzi na Mbatia. Halikadhalika Moshi vijijini, Rombo na maeneo mengine.

Lissu abadili kauli na mindset yake. Kitabu cha Dr. Slaa kinanukuu kauli ya Lissu wakati wa kumpokea Lowassa CHADEMA wakati ule 2015 kuwa " Hata kama watalazimika kushirikiana na shetani ili kuitoa CCM madarakani watafanya hivyo" Je NCCR, CHAUMMA, CCM, NGO,CSO ni mbaya kuliko shetani? Je Lissu hawahitaji hawa kwa ajili yake?

Sasa endeleeni kulewa na nyomi la watu elfu 10 uwanjani kwenye jimbo lenye wapiga kura laki 2 na ushee halafu mje kulia mmeibiwa.

Lema mwenyewe haamini kama Lissu atashinda Urais kadhalika kikundi chake ambacho ni Mbowe, Regy, Mrema n.k sasa Lissu acha usifungue macho wakati wenzio walimtaka Nyalandu
JPM wakati anapambana na Lowassa alipiga push-ups nyingi mara kadhaa, ulifahamu maana yake? Dhihaka kwa Lowassa kuhusu afya yake. Rhetorical language.

Wakati huu anapambana na amepigishwa magoti mara mbili akiomba kura, unajua maana yake??

Mataga Tafuta thamani ya X......
 
Akili za KIZWAZWA hizi!



Lissu na Mbowe mara kadhaa nimewasikia wanamshambulia Mbatia na NCCR hadharani. Pia jana nimemsikia Mbowe akiwaita wabunge waliohamia NCCR kutoka CHADEMA kuwa ni wasaliti.

Pia Lissu anawaita wanaCCM wote MaCCM sasa kauli hizi za kiubaguzi zinawaunganisha wanaobaguliwa kuliko kuwagawa. Nyerere alisema bila Muungano hakuna Watanganyika wala Wazanzibar.

Wazanzibar ni wamoja sasa hivi kwasababu kuna watanganyika ndani ya Muungano. Muungano ukivunjika hakuna watanganyika bali kuna makabila mbalimbali pia hakuna wazanzibari bali kuna waunguja na wapemba.

Sasa kama Lissu anataka Urais agenda yake namba moja ilipaswa kuwa kuwaunganisha watanzania na kutokuwabagua ili aweze kupata kura za wanaCCM, WanaNCCR n.k wenye msimamo wa wastani lakini kwa ubaguzi wake huu na chama chake ni ngumu kupata kura za wanachama wa vyama vingine. Ila kama wanatafuta kura nyingi kwa ajili ya ruzuku au kupata wabunge wengi kwa ajili ya kambi ya upinzani basi waendelee na ubaguzi huo. Lissu usirithi maadui wa Mbowe hawakuhusu.

Lowassa pamoja nguvu zake alisimamia agenda ya kuunganisha watu wa vyama vyote na makundi mbalimbali hapa nchini ndio maana kila mtu alijiona sehemu ya Lowassa.

Sasa ili kushinda Urais unapaswa kuunganisha makundi mbalimbali. Lissu anahitaji kura za Vunjo za watu wanaoiunga mkono NCCR Mageuzi na Mbatia. Halikadhalika Moshi vijijini, Rombo na maeneo mengine.

Lissu abadili kauli na mindset yake. Kitabu cha Dr. Slaa kinanukuu kauli ya Lissu wakati wa kumpokea Lowassa CHADEMA wakati ule 2015 kuwa " Hata kama watalazimika kushirikiana na shetani ili kuitoa CCM madarakani watafanya hivyo" Je NCCR, CHAUMMA, CCM, NGO,CSO ni mbaya kuliko shetani? Je Lissu hawahitaji hawa kwa ajili yake?

Sasa endeleeni kulewa na nyomi la watu elfu 10 uwanjani kwenye jimbo lenye wapiga kura laki 2 na ushee halafu mje kulia mmeibiwa.

Lema mwenyewe haamini kama Lissu atashinda Urais kadhalika kikundi chake ambacho ni Mbowe, Regy, Mrema n.k sasa Lissu acha usifungue macho wakati wenzio walimtaka Nyalandu
 
Meko anahubiri umoja au amani na uhuru toka lini..?

Meko ndio anatugawa wanachi kwenye kila kitu...! Yaani anaupendeleo wa wazi wazi na kauli mbovu kwa wanachi...
Sasa alipaswa kulichukulia hilo kwa faida kwa yeye kujiweka kama kimbilio la wote
 
Lissu na Mbowe mara kadhaa nimewasikia wanamshambulia Mbatia na NCCR hadharani. Pia jana nimemsikia Mbowe akiwaita wabunge waliohamia NCCR kutoka CHADEMA kuwa ni wasaliti.

Pia Lissu anawaita wanaCCM wote MaCCM sasa kauli hizi za kiubaguzi zinawaunganisha wanaobaguliwa kuliko kuwagawa. Nyerere alisema bila Muungano hakuna Watanganyika wala Wazanzibar.

Wazanzibar ni wamoja sasa hivi kwasababu kuna watanganyika ndani ya Muungano. Muungano ukivunjika hakuna watanganyika bali kuna makabila mbalimbali pia hakuna wazanzibari bali kuna waunguja na wapemba.

Sasa kama Lissu anataka Urais agenda yake namba moja ilipaswa kuwa kuwaunganisha watanzania na kutokuwabagua ili aweze kupata kura za wanaCCM, WanaNCCR n.k wenye msimamo wa wastani lakini kwa ubaguzi wake huu na chama chake ni ngumu kupata kura za wanachama wa vyama vingine. Ila kama wanatafuta kura nyingi kwa ajili ya ruzuku au kupata wabunge wengi kwa ajili ya kambi ya upinzani basi waendelee na ubaguzi huo. Lissu usirithi maadui wa Mbowe hawakuhusu.

Lowassa pamoja nguvu zake alisimamia agenda ya kuunganisha watu wa vyama vyote na makundi mbalimbali hapa nchini ndio maana kila mtu alijiona sehemu ya Lowassa.

Sasa ili kushinda Urais unapaswa kuunganisha makundi mbalimbali. Lissu anahitaji kura za Vunjo za watu wanaoiunga mkono NCCR Mageuzi na Mbatia. Halikadhalika Moshi vijijini, Rombo na maeneo mengine.

Lissu abadili kauli na mindset yake. Kitabu cha Dr. Slaa kinanukuu kauli ya Lissu wakati wa kumpokea Lowassa CHADEMA wakati ule 2015 kuwa " Hata kama watalazimika kushirikiana na shetani ili kuitoa CCM madarakani watafanya hivyo" Je NCCR, CHAUMMA, CCM, NGO,CSO ni mbaya kuliko shetani? Je Lissu hawahitaji hawa kwa ajili yake?

Sasa endeleeni kulewa na nyomi la watu elfu 10 uwanjani kwenye jimbo lenye wapiga kura laki 2 na ushee halafu mje kulia mmeibiwa.

Lema mwenyewe haamini kama Lissu atashinda Urais kadhalika kikundi chake ambacho ni Mbowe, Regy, Mrema n.k sasa Lissu acha usifungue macho wakati wenzio walimtaka Nyalandu
Ni kweli kabisa.Mbunge anakamatwa na nyara za serikali na bunduki anapewa dhamana na kabla ya mwezi kesi imeisha.Mtu anaimba "ibarik Chadema anaozea jela miezi mitatu".Lissu hafai kabisa.
 
Lissu na Mbowe mara kadhaa nimewasikia wanamshambulia Mbatia na NCCR hadharani. Pia jana nimemsikia Mbowe akiwaita wabunge waliohamia NCCR kutoka CHADEMA kuwa ni wasaliti.

Pia Lissu anawaita wanaCCM wote MaCCM sasa kauli hizi za kiubaguzi zinawaunganisha wanaobaguliwa kuliko kuwagawa. Nyerere alisema bila Muungano hakuna Watanganyika wala Wazanzibar.

Wazanzibar ni wamoja sasa hivi kwasababu kuna watanganyika ndani ya Muungano. Muungano ukivunjika hakuna watanganyika bali kuna makabila mbalimbali pia hakuna wazanzibari bali kuna waunguja na wapemba.

Sasa kama Lissu anataka Urais agenda yake namba moja ilipaswa kuwa kuwaunganisha watanzania na kutokuwabagua ili aweze kupata kura za wanaCCM, WanaNCCR n.k wenye msimamo wa wastani lakini kwa ubaguzi wake huu na chama chake ni ngumu kupata kura za wanachama wa vyama vingine. Ila kama wanatafuta kura nyingi kwa ajili ya ruzuku au kupata wabunge wengi kwa ajili ya kambi ya upinzani basi waendelee na ubaguzi huo. Lissu usirithi maadui wa Mbowe hawakuhusu.

Lowassa pamoja nguvu zake alisimamia agenda ya kuunganisha watu wa vyama vyote na makundi mbalimbali hapa nchini ndio maana kila mtu alijiona sehemu ya Lowassa.

Sasa ili kushinda Urais unapaswa kuunganisha makundi mbalimbali. Lissu anahitaji kura za Vunjo za watu wanaoiunga mkono NCCR Mageuzi na Mbatia. Halikadhalika Moshi vijijini, Rombo na maeneo mengine.

Lissu abadili kauli na mindset yake. Kitabu cha Dr. Slaa kinanukuu kauli ya Lissu wakati wa kumpokea Lowassa CHADEMA wakati ule 2015 kuwa " Hata kama watalazimika kushirikiana na shetani ili kuitoa CCM madarakani watafanya hivyo" Je NCCR, CHAUMMA, CCM, NGO,CSO ni mbaya kuliko shetani? Je Lissu hawahitaji hawa kwa ajili yake?

Sasa endeleeni kulewa na nyomi la watu elfu 10 uwanjani kwenye jimbo lenye wapiga kura laki 2 na ushee halafu mje kulia mmeibiwa.

Lema mwenyewe haamini kama Lissu atashinda Urais kadhalika kikundi chake ambacho ni Mbowe, Regy, Mrema n.k sasa Lissu acha usifungue macho wakati wenzio walimtaka Nyalandu
Unapoandika jambo tumia akili,hivi huyo mbaguzi,mwenye Roho mbaya anafanya nini la kuunganisha wananchi
 
Tatizo la washabiki wa chadema wakiambiwa point wanaishi kutukana au kupinga kwa hoja dhaifu mbona Magufuli kafanya hivi wanasahau ili Lissu awe bora kuliko Magufuli ni vyema akaacha mabaya yote ya Magufuli na akaja na mbadala wake ulio bora.
Pia anasahau mwenzake ni raais na anaweza kufanya lolote sababu vyombo vyote viko chini yake
 
Ulitaka Mbowe awaite hao wabunge wa NCCR waliotoka Chadema mashujaa?

Wewe una matatizo kichwani kama meko.
 
Shida kubwa kwa lissu ni timu yake ya kampeni.
Tunahitaji watu wengi watupigie kura ila kuhusu kushinda haiwezekan. Huu ni ukweli ambao ni wajinga tu wataukataa
Wewe ni mpumbavu unaekubali kwenda kupigana vita unayojua dhahiri utashindwa! sasa kwa nini upoteze muda wako bure?!

#idiot.
 
Sawa umetuhadaa sisi ila vipi kwa Mungu wako?
 
Ukiachana na hayo, mgombea huyo amekuwa akitoa kauli tata zisizo na staha, ikiwa ni pamoja na kuwafokea Askari Polisi kama watoto wadogo akidhani kwa kufanya hivyo atapata uungwaji mkono kumbe ndo anajiharibia kabisa.
Anafanya hayo yote ili Polisi wamguse kidogo tu ili ajifanye ameumizwa na hivyo kuudanganya Ulimwengu na Watanzania kuwa Polisi wanatumia mabavu.
Kwa kifupi ameshagundua kuwa, Mziki wa JPM siyo wa kitoto na hawezi kutoboa.
 
Mtoa mada hajitambui, jpm anahubiri utengano zaidi kuliko lissu.Leo kilichofanyika tunduma ni aibu kwa rais
 
Ukiachana na hayo, mgombea huyo amekuwa akitoa kauli tata zisizo na staha, ikiwa ni pamoja na kuwafokea Askari Polisi kama watoto wadogo akidhani kwa kufanya hivyo atapata uungwaji mkono kumbe ndo anajiharibia kabisa.
Anafanya hayo yote ili Polisi wamguse kidogo tu ili ajifanye ameumizwa na hivyo kuudanganya Ulimwengu na Watanzania kuwa Polisi wanatumia mabavu.
Kwa kifupi ameshagundua kuwa, Mziki wa JPM siyo wa kitoto na hawezi kutoboa.
Swala LA kukemea polis ashauriwe, ila jpm ametepeta
 
Meko anahubiri umoja au amani na uhuru toka lini..?

Meko ndio anatugawa wanachi kwenye kila kitu...! Yaani anaupendeleo wa wazi wazi na kauli mbovu kwa wanachi...
Wewe utakuwa muumini wa vyeti feki sio bure.
 
Lissu na Mbowe mara kadhaa nimewasikia wanamshambulia Mbatia na NCCR hadharani. Pia jana nimemsikia Mbowe akiwaita wabunge waliohamia NCCR kutoka CHADEMA kuwa ni wasaliti.

Pia Lissu anawaita wanaCCM wote MaCCM sasa kauli hizi za kiubaguzi zinawaunganisha wanaobaguliwa kuliko kuwagawa. Nyerere alisema bila Muungano hakuna Watanganyika wala Wazanzibar.

Wazanzibar ni wamoja sasa hivi kwasababu kuna watanganyika ndani ya Muungano. Muungano ukivunjika hakuna watanganyika bali kuna makabila mbalimbali pia hakuna wazanzibari bali kuna waunguja na wapemba.

Sasa kama Lissu anataka Urais agenda yake namba moja ilipaswa kuwa kuwaunganisha watanzania na kutokuwabagua ili aweze kupata kura za wanaCCM, WanaNCCR n.k wenye msimamo wa wastani lakini kwa ubaguzi wake huu na chama chake ni ngumu kupata kura za wanachama wa vyama vingine. Ila kama wanatafuta kura nyingi kwa ajili ya ruzuku au kupata wabunge wengi kwa ajili ya kambi ya upinzani basi waendelee na ubaguzi huo. Lissu usirithi maadui wa Mbowe hawakuhusu.

Lowassa pamoja nguvu zake alisimamia agenda ya kuunganisha watu wa vyama vyote na makundi mbalimbali hapa nchini ndio maana kila mtu alijiona sehemu ya Lowassa.

Sasa ili kushinda Urais unapaswa kuunganisha makundi mbalimbali. Lissu anahitaji kura za Vunjo za watu wanaoiunga mkono NCCR Mageuzi na Mbatia. Halikadhalika Moshi vijijini, Rombo na maeneo mengine.

Lissu abadili kauli na mindset yake. Kitabu cha Dr. Slaa kinanukuu kauli ya Lissu wakati wa kumpokea Lowassa CHADEMA wakati ule 2015 kuwa " Hata kama watalazimika kushirikiana na shetani ili kuitoa CCM madarakani watafanya hivyo" Je NCCR, CHAUMMA, CCM, NGO,CSO ni mbaya kuliko shetani? Je Lissu hawahitaji hawa kwa ajili yake?

Sasa endeleeni kulewa na nyomi la watu elfu 10 uwanjani kwenye jimbo lenye wapiga kura laki 2 na ushee halafu mje kulia mmeibiwa.

Lema mwenyewe haamini kama Lissu atashinda Urais kadhalika kikundi chake ambacho ni Mbowe, Regy, Mrema n.k sasa Lissu acha usifungue macho wakati wenzio walimtaka Nyalandu
Hao wanawalipa with mbumbu kweli utombu gani unaandila
 
Lissu na Mbowe mara kadhaa nimewasikia wanamshambulia Mbatia na NCCR hadharani. Pia jana nimemsikia Mbowe akiwaita wabunge waliohamia NCCR kutoka CHADEMA kuwa ni wasaliti.

Pia Lissu anawaita wanaCCM wote MaCCM sasa kauli hizi za kiubaguzi zinawaunganisha wanaobaguliwa kuliko kuwagawa. Nyerere alisema bila Muungano hakuna Watanganyika wala Wazanzibar.

Wazanzibar ni wamoja sasa hivi kwasababu kuna watanganyika ndani ya Muungano. Muungano ukivunjika hakuna watanganyika bali kuna makabila mbalimbali pia hakuna wazanzibari bali kuna waunguja na wapemba.

Sasa kama Lissu anataka Urais agenda yake namba moja ilipaswa kuwa kuwaunganisha watanzania na kutokuwabagua ili aweze kupata kura za wanaCCM, WanaNCCR n.k wenye msimamo wa wastani lakini kwa ubaguzi wake huu na chama chake ni ngumu kupata kura za wanachama wa vyama vingine. Ila kama wanatafuta kura nyingi kwa ajili ya ruzuku au kupata wabunge wengi kwa ajili ya kambi ya upinzani basi waendelee na ubaguzi huo. Lissu usirithi maadui wa Mbowe hawakuhusu.

Lowassa pamoja nguvu zake alisimamia agenda ya kuunganisha watu wa vyama vyote na makundi mbalimbali hapa nchini ndio maana kila mtu alijiona sehemu ya Lowassa.

Sasa ili kushinda Urais unapaswa kuunganisha makundi mbalimbali. Lissu anahitaji kura za Vunjo za watu wanaoiunga mkono NCCR Mageuzi na Mbatia. Halikadhalika Moshi vijijini, Rombo na maeneo mengine.

Lissu abadili kauli na mindset yake. Kitabu cha Dr. Slaa kinanukuu kauli ya Lissu wakati wa kumpokea Lowassa CHADEMA wakati ule 2015 kuwa " Hata kama watalazimika kushirikiana na shetani ili kuitoa CCM madarakani watafanya hivyo" Je NCCR, CHAUMMA, CCM, NGO,CSO ni mbaya kuliko shetani? Je Lissu hawahitaji hawa kwa ajili yake?

Sasa endeleeni kulewa na nyomi la watu elfu 10 uwanjani kwenye jimbo lenye wapiga kura laki 2 na ushee halafu mje kulia mmeibiwa.

Lema mwenyewe haamini kama Lissu atashinda Urais kadhalika kikundi chake ambacho ni Mbowe, Regy, Mrema n.k sasa Lissu acha usifungue macho wakati wenzio walimtaka Nyalandu

Mgombea wa ccm alisema kama hatochaguliwa mgombea wake wa bunge then hatopeleka maji

Hii unaitaje?
 
Back
Top Bottom