Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana !..Lissu amefanya jambo kubwa sana kuitembelea familia ya Balozi Kasanga Tumbo.
..sijui ni wangapi wanajua Balozi Christopher Kasanga Tumbo ni nani.
..Na kwanini Tundu Lissu ameamua kutembelea mahali alipozikwa Kasanga Tumbo.
Mungu ibariki CHADEMA..Lissu amefanya jambo kubwa sana kuitembelea familia ya Balozi Kasanga Tumbo.
..sijui ni wangapi wanajua Balozi Christopher Kasanga Tumbo ni nani.
..Na kwanini Tundu Lissu ameamua kutembelea mahali alipozikwa Kasanga Tumbo.
Namwalika Mohamed Said
Bila kuingilia uhuru wake wa kufanya chochote apendacho kufanya, ninakubaliana nawe moja kwa moja.Anaacha ku- authenticate Njama zake anaenda kuibua za Wengine?
Majeraha ya Bwana Mzee Tundu Lissu, naona, yanaaenda kuchokonoa vidonda na majeraha ya wengine. Huu ni uharakati unaolenga kutafuta vichwa vya habari, na kuibua njama mpya?
Tunahitaji Sera na sio Njama
Waambie ukweli hao majinga!Lissu ni mbeba maono.
Kutokufa kwake kwa risasi 16 kuna sababu!
Mchungaji Mtikila ajengewe Mnara wa Tanganyika!Kila mtu akitaka mtu wake ajengewe mnara nchi nzima itajaa minara.
Ndio maana tunasema, kama kweli Samia ana dhamira ya kufanya maridhiano aanzie huko nyuma, isangaliwe tu nani alidhuriwa na serikali awamu ya 5...sijui ni wangapi wanajua Balozi Christopher Kasanga Tumbo ni nani.
Hatuna muda huo!! Tunasonga mbele.Ndio maana tunasema, kama kweli Samia ana dhamira ya kufanya maridhiano aanzie huko nyuma, isangaliwe tu nani alidhuriwa na serikali awamu ya 5.
Tuangalie na watu kama kina Kasanga Tumbo kama kuna madhara walifanyiwa, serikali itoe fidia kwa familia zao.
Serikali inaweza kuanzisha dawati ofisi ya waziri mkuu litakalokuwa na jukumu la kupokea malalamiko kwa wananchi waliodhulumiwa na serikali kwa namna yoyote, kuyachambua malalamiko hayo na kuona namna gani mlalamikaji anaweza kupata unafuu/fidia.
Haiwezi kuwa kazi ngumu wala mzigo kwa serikali kwani malalamiko yatakayoshughulikiwa ni yale yatakayokuwa na ushahidi uliokamilika/unaojitosheleza.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mchungaji Mtikila ajengewe Mnara wa Tanganyika!
Nope. If she opted to do it, she should do it wholesale.Hatuna muda huo!! Tunasonga mbele.
CHADEMA ikichukua Dola ndo ifanye kazi hiyo