Tundu Lissu atoboa Siri ya aliyeamua yeye kupelekwa Nairobi badala ya Muhimbili: Ulikuwa Msimamo wa Mbowe kuwa ni lazima nipelekwe Nairobi

Tundu Lissu atoboa Siri ya aliyeamua yeye kupelekwa Nairobi badala ya Muhimbili: Ulikuwa Msimamo wa Mbowe kuwa ni lazima nipelekwe Nairobi

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
2,869
Reaction score
3,187
IMG_8018.JPG

Tundu Lissu akipelekwa Nairobi

Mwanasheria wa CHADEMA, Tundu Lissu amedai kuwa mvutano kuhusu Bunge kukataa kulipia gharama za matibabu yake kwa kukiuka taratibu za matibabu ya Wabunge na kupelekwa Nairobi badala ya Muhimbili ni mgogoro wa kutengenezwa na kwamba, utaratibu huo hautambuliki kisheria. Lissu amedai kuwa, uamuzi wa kumpeleka Nairobi badala ya Muhimbili haukufanywa na Uongozi wa juu wa CHADEMA peke yao bali ulihusisha Viongozi wengine wa Bunge na Serikali.

Hata hivyo, katika mahojiano na Mwananchi jana, Lissu amedai kuwa, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ndiye aliyelazimisha yeye kupelekwa Nairobi badala ya Muhimbili. "Msimamo wa Mwenyekiti Mbowe kwamba lazima nipelekwe Nairobi ama Afrika Kusini, ndio uliookoa maisha yangu."

Kwa hali hiyo, Lissu anakiri wazi kuwa, uamuzi wa yeye kupelekwa Nairobi haukufuata taratibu na baraka za Serikali bali Viongozi wa Bunge na Serikali waliridhia msimamo wa M/kiti wake Mbowe aliyetaka apelekwe Nairobi ama Afrika Kusini. Hata katika maelezo ya Spika Job Ndugai, Ndege ya kumpeleka Lissu Muhimbili tayari ilikuwa imeshaandaliwa lakini ilikataliwa na CHADEMA na wao kuamua kukodi ndege nyingine kwa gharama zao.

IMG_8015.JPG


Hakuna anayefurahia majanga kwa mwenzake lakini siyo vizuri pia kutumia majanga kutafuta umaarufu tena kwa njia ya kuwadhalilidha Viongozi wengine waonekane kuwa, hawakuwa na nia njema. Nadhani kama kuna mtu muhimu ambaye hajapongezwa inavyotakiwa ni Spika wa Bunge kwani yeye ndiye aliye-organise Kikao cha Kamati ya Uongozi haraka pamoja na kufanya uratibu wa kupata ndege ya kunsafirisha huku wakifuatilia matibabu ya Lissu kwa karibu. Nafikiria kuwa, endapo Ndege aliyoiandaa Spika Ndugai ingempeleka Lissu Muhimbili, tungekuwa tunaongea nini?

IMG_8016.JPG

Spika Ndugai, akiwa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Uongozi ya Bunge wakiwasili Hospitali ya Mkoa wa Dodoma.
 
Hii ndio mijutu inayotuharibia nchi kwa kuandika upuuzi mradi tu inapewa vyeo au fedha kwa kazi hii.
Lijitu ni wewe unayejidai unajadili kumbe umekalia kukosoa upande mmoja ukidhani ndio una akili. Mabandiko yako yote ya nyuma kabla ya Serikali ya Awamu ya Tano yanakuonyesha utupu wako kichwani ndiyo maana unakula matapishi yako. Inaonekana una uzoefu na ugawaji wa vyeo ndio maana ulijitoa na sasa unataka upewe heshima ya ukosoaji, right?
 
Muda utaongea katika hili shambulio la huyu Mwanasheria.
Kila kukicha sekunde zinasogea kunako mawio. Muda huwa hauongopi.
 
Kwa yaliyomkuta Boby Wine,ya kupigwa sumu ya Korea ya kusini,maamuzi yalikuwa sahihi
 
Lijitu ni wewe unayejidai unajadili kumbe umekalia kukosoa upande mmoja ukidhani ndio una akili. Mabandiko yako yote ya nyuma kabla ya Serikali ya Awamu ya Tano yanakuonyesha utupu wako kichwani ndiyo maana unakula matapishi yako. Inaonekana una uzoefu na ugawaji wa vyeo ndio maana ulijitoa na sasa unataka upewe heshima ya ukosoaji, right?
Ni Tanzania pekee tena kwa wanaccm kama wewe taratibu ni muhimu kuliko uhai wa mwanadamu.Hata Yesu aliwahi kuvunja taratibu ili aokoe uhai.wewe endelea kutetea ujinga
 
Hii ndio mijutu inayotuharibia nchi kwa kuandika upuuzi mradi tu inapewa vyeo au fedha kwa kazi hii.
mkuu salary sleep anayeitwa mgambilwa ni mtu. kama kweli ni mtu basi ana akili ndogo sana. hupaswi hata kujua alisoma wapi na lini ili kumjua uwezo wake. mfano kwenye hii post yake alitaka kutujuza nini?achana nae huyo ni size ya wema sepetu
 
A
Acha porojo zako! Hela kitu gani? Kikubwa uhai,Mungu mkubwa....Bunge liendelee na substandard zake wapo wanaolipiwa matibabu kwanza kwa marazi ya kawaida sio kama ya Lisu ambapo kwa maksudi kabisa walitaka kukatiza uhai wake lakini watatangulia watamwacha hii ni dunia hatukujileta... tutaondoka kama Mungu apendavyo.
 
Toa tako lako hapa linatoa ushuzi mtupu.Hivi ukiwa mfuas wa kichaa lazima nawe uwe kichaa!!!!Ulichoandika ni outcome ya ubatili wa akili!!
 
View attachment 860504
Tundu Lissu akipelekwa Nairobi

Mwanasheria wa CHADEMA, Tundu Lissu amedai kuwa mvutano kuhusu Bunge kukataa kulipia gharama za matibabu yake kwa kukiuka taratibu za matibabu ya Wabunge na kupelekwa Nairobi badala ya Muhimbili ni mgogoro wa kutengenezwa na kwamba, utaratibu huo hautambuliki kisheria. Lissu amedai kuwa, uamuzi wa kumpeleka Nairobi badala ya Muhimbili haukufanywa na Uongozi wa juu wa CHADEMA peke yao bali ulihusisha Viongozi wengine wa Bunge na Serikali.

Hata hivyo, katika mahojiano na Mwananchi jana, Lissu amedai kuwa, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ndiye aliyelazimisha yeye kupelekwa Nairobi badala ya Muhimbili. "Msimamo wa Mwenyekiti Mbowe kwamba lazima nipelekwe Nairobi ama Afrika Kusini, ndio uliookoa maisha yangu."

Kwa hali hiyo, Lissu anakiri wazi kuwa, uamuzi wa yeye kupelekwa Nairobi haukufuata taratibu na baraka za Serikali bali Viongozi wa Bunge na Serikali waliridhia msimamo wa M/kiti wake Mbowe aliyetaka apelekwe Nairobi ama Afrika Kusini. Hata katika maelezo ya Spika Job Ndugai, Ndege ya kumpeleka Lissu Muhimbili tayari ilikuwa imeshaandaliwa lakini ilikataliwa na CHADEMA na wao kuamua kukodi ndege nyingine kwa gharama zao.

View attachment 860483

Hakuna anayefurahia majanga kwa mwenzake lakini siyo vizuri pia kutumia majanga kutafuta umaarufu tena kwa njia ya kuwadhalilidha Viongozi wengine waonekane kuwa, hawakuwa na nia njema. Nadhani kama kuna mtu muhimu ambaye hajapongezwa inavyotakiwa ni Spika wa Bunge kwani yeye ndiye aliye-organise Kikao cha Kamati ya Uongozi haraka pamoja na kufanya uratibu wa kupata ndege ya kunsafirisha huku wakifuatilia matibabu ya Lissu kwa karibu. Nafikiria kuwa, endapo Ndege aliyoiandaa Spika Ndugai ingempeleka Lissu Muhimbili, tungekuwa tunaongea nini?

View attachment 860501
Spika Ndugai, akiwa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Uongozi ya Bunge wakiwasili Hospitali ya Mkoa wa Dodoma.

Sawa. Hata hivyo, kwani specific lengo la mada yako hii ni nini hasa?

Kwa sababu as far as we know ni kwamba, Lissu is now very well, kicking and very soon is coming home....

Na kama ni ishu ya haki na stahili zake, nina hakika anakuja yeye mwenyewe kuzipigania kwa misingi ya kisheria.....

Na kama atashindwa na kuthibitika kuwa matibabu yake nje ya nchi haukuzingatia taratibu zilizopo, I am sure atakubaliana na hali halisi......

Lakini wakati huohuo ikionekana kuwa he rightfully deserves, basi apewe....

Na kwa maoni yangu, kuna incidence zingine taratibu za sheria haziwezi kuwa applicable by any means. Bali busara na hekima ndiyo ambayo huamua. Freeman Aikael Mbowe, busara zake ziliokoa maisha ya huyu ndugu vinginevyo sasa hivi Tundu Lissu angekuwa analiwa funza ardhini!!

Vipi busara za waliokamata ya dunia yanayopita.......fedha, hawalioni hili? Hawaamini kabisa kuwa uamuzi ule ndiyo uliokoa maisha ya ndugu huyu??

Hivi, ni kipi kina thamani? Maisha ya mtu ama Taratibu/sheria vs Fedha?

Hivi, how many times wengi wa viongozi wetu wa leo wanakiuka kanuni, taratibu na sheria lakini hakuna awahukumuye na maisha yanaendelea huku wakipata haki zao zote?
 
Ni Tanzania pekee tena kwa wanaccm kama wewe taratibu ni muhimu kuliko uhai wa mwanadamu.Hata Yesu aliwahi kuvunja taratibu ili aokoe uhai.wewe endelea kutetea ujinga
Kwa kuwa ni wa upinzani basi ndipo ubinadamu unaingia lakini leo umesahau kuwa, ni huyo huyo Lissu aliyekuwa akitutishia kila siku kwa maneno kuwa ACACIA watatunyoa bila ganzi eti tu kwa kuwa Serikali imezuia makinikia. Lissu alijua wazi kuwa tunaibiwa lakini akawa anawatetea ACACIA kuwa hawakuvunja Sheria na badala take alikuwa bite kuinyooshea CCM na hasa TMAA kuwa ndiyo walioruhusu. Lissu kwa nini aliwatetea licha ya ukweli kuwa, mkataba wetu haukuruhusu kusafirisha nje makinikia? Je, inamaana hakutaka Serikali kufanya marekebisho pale ilipokosea? Je, mbona hata alikacha kutoa mchango wake wa mawazo wakati Kabudi anawasilisha Miswada mitatu ya marekebisho ya sheria zinazosimamia rasilimali zetu?
Hamuwezi humu mkataka kuwafundisha watu morality hata kidogo kwa tabia zenu za ego mnazoonyesha. Kuwa CCM siyo guarantee ya kuwa mchafu, mlafi na mbumbumbu na kuwa upinzani siyo guarantee ya kuwa msafi. Wapinzani wangekuwa wasafi wangehama kwenda CCM? Si hiyo inamaanisha huko walikotoka ni wachafu, siyo? Ama tu-assume wote wanaoingia CCM wamehongwa, sasa hapa kosa ni la nani - anayehonga ili kuimarisha upande wake ama anayetoka upande aliokuwa akiutetea?
Yaani mimi itokee nimetongoza mdada nikatumia fedha nyingi kumhonga ili anikubalie, nianze ku-feel guilty eti nimemhonga hela, mlitaka nimhonge tigo?
Sifa ya mwanaume kwenye familia za kiafrika, siyo kumwambia ukweli mwenza wako bali kuyashinda mazingira yote ya hofu dhidi yake ili kumpa furaha hata kama ni ya uongo.
 
Back
Top Bottom