Tundu Lissu awataja Majaji wa Kikwete wasio na Sifa (Kazi ndio inaanza)

Uteuzi wa majaji haujakaa vizuri ndio maana kila mara kunapokuwa na uapishwaji nguvu nyingi inatumika kutetea utaratibu wa uteuzi.
Kama vile leo jaji mkuu katika hotuba yake ikulu ametumia muda mwingi kutetea utaratibu huo mbovu sana na usio wa uwazi.
Ifike mahali uteuzi wa majaji uwe ni mchakato wa wazi na unaofahamika na sio kama ulivyo sasa
 
Enzi hizo kukiwa na vyombo vya habari maana siku hizi kuna magazeti ya kufungia vitumbua
 
tundu lisu hakukosea kabisa kusema kwamba kuna baadhi ya majaji hawana sifa za kuteuliwa kwao kushika nyadhifa hizo. mfano mzuri zaidi huyo jaji Latifa Mansoor, kwa kweli ana makandokando mengi sana, tangu alipoteuliwa kwa mara ya kwanza takribani miaka 12 bado anaonekana hafai kwenye nafasi hiyo. jaji Latifa Mansoor kwa kweli ana makandokando na uchafu mwingi sana, hakufaa kuteuliwa kuwa jaji.
 
rushwa imegubika mchakato wa uteuzi
 
Huyo Tindu Lissu ni Mdini tu.Amewalenga waislamu ili awachafue.Christian Democratic Movement in Action
uwongo
kuna ukweli kwenye suala hili.
jaji Latifa Mansoor hakufaa kuteuliwa kuwa jaji, hii si kutokana na yeye kuwa muislamu bali ni kwa sababu hana sifa za kuweza kuteuliwa
Huyo Tindu Lissu ni Mdini tu.Amewalenga waislamu ili awachafue.Christian Democratic Movement in Action. Sio aliyewateua ndio mdini. Hatahivyo kuna waislam wengi wenye sifa zilizotajwa na Mh. Tundu Lissu.
uwongo
kuna ukweli kwenye suala hili.
jaji Latifa Mansoor hakufaa kuteuliwa kuwa jaji, hii si kutokana na yeye kuwa muislamu bali ni kwa sababu hana sifa za kuweza kuteuliwa kuwa jaji, pia ana makandokando mengi sana, hafai kabisa kuwa jaji
 
Enzi hizo....

Hongera sana JKMK
Hongera sana TAL
 
Enzi hizo....

Hongera sana JKMK
Hongera sana TAL
hata mimi nimeshangaa kuona kwamba huyo jaji Latifa Mansoor kumbe tayari alishaanza kutuhumiwa kuwa na makandokando mengi tangu zamani kabisa, nilikuwa sijui.baada ya kufuatilia humu mtandaoni ndiyo nakuja kugundua jambo hili. mimi binafsi nimeanza kuyabaini makandokando ya jaji huyu kuanzia mwaka 2020, kumbe tayari alishaanza kuwa nayo tangu miaka mingi iliyopita
 
Mungu atusaidie tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…