LGE2024 Tundu Lissu awataja wanaostahili kuongoza CHADEMA

LGE2024 Tundu Lissu awataja wanaostahili kuongoza CHADEMA

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Makamu Mwenyekiti CHADEMA upande wa Bara, Tundu Lissu, ameweka wazi aina ya watu wanaostahili kuwa viongozi ndani ya chama chao.

Akizungumza leo Novemba 13, 2024 mkoani Singida wakati akifungua mkutano wa viongozi wa chama wa mkoa huo katika ngazi mbalimbali, Lissu amesema "Naomba mfikirie Katikati ya vita ya aina hii mnahitaji kiongozi wa aina gani, wewe mpiga kura jiulize Katikati ya vita hii amefanya nin?, hii vita ya sasa ni maandalizi ya vita ya mwaka ujao, jiulize kama kwenye mapambano haya hajaonekana, mwaka ujao akiwa kiongozi mtamuona?, kipimo cha kiongozi anayetaka kuchaguliwa leo ni haya mapambano yanayoendelea, kama amejifika katikati ya hii vita, pendekezo langu ni kwamba atajificha kwenye vita ya mwaka ujao"
Soma, Pia:
 
Makamu Mwenyekiti CHADEMA upande wa Bara, Tundu Lissu, ameweka wazi aina ya watu wanaostahili kuwa viongozi ndani ya chama chao. Lissu ameweka wazi hayo leo Novemba 13, 2024 mkoani Singida wakati akifungua mkutano wa viongozi wa chama wa mkoa huo katika ngazi mbalimbali.
Soma, Pia:
Kwahiyo uasemaje mtoa mada?
 
Huu ujumbe ulikuwa mahsusi kwa Taifa , wapo wamesusa hawapigani kabisa
 
Makamu Mwenyekiti CHADEMA upande wa Bara, Tundu Lissu, ameweka wazi aina ya watu wanaostahili kuwa viongozi ndani ya chama chao.

Akizungumza leo Novemba 13, 2024 mkoani Singida wakati akifungua mkutano wa viongozi wa chama wa mkoa huo katika ngazi mbalimbali, Lissu amesema "Naomba mfikirie Katikati ya vita ya aina hii mnahitaji kiongozi wa aina gani, wewe mpiga kura jiulize Katikati ya vita hii amefanya nin?, hii vita ya sasa ni maandalizi ya vita ya mwaka ujao, jiulize kama kwenye mapambano haya hajaonekana, mwaka ujao akiwa kiongozi mtamuona?, kipimo cha kiongozi anayetaka kuchaguliwa leo ni haya mapambano yanayoendelea, kama amejifika katikati ya hii vita, pendekezo langu ni kwamba atajificha kwenye vita ya mwaka ujao"
Soma, Pia:
Huyu Mwamba huyu Mungu amuweke
 
Mwamba
 

Attachments

  • LISSU2.jpg
    LISSU2.jpg
    574.1 KB · Views: 4
Mwenyekiti wa maisha ni huyohuyo aliyepo,aondoke aende wapi.
Ruzuku inaliwa na wao wawili,mtu na mkwewe wengine mtakula makombo.
Mi ni mpinzani ila sina Chama kwa ujinga huu wa upinzani usioeleweka.
 
CDM kuna ombwe la uongozi, na Lissu ni sauti inayosikika zaidi. Apewe kijiti cha Mwenyekiti.
 
Back
Top Bottom