Pre GE2025 Tundu Lissu awauliza Wanakijiji kama waliwahi kusomewa Mapato na Matumizi ya Kijiji chao, Wamjibu Hapana

Pre GE2025 Tundu Lissu awauliza Wanakijiji kama waliwahi kusomewa Mapato na Matumizi ya Kijiji chao, Wamjibu Hapana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, anaendelea na ziara yake ya kuelimisha wananchi huko Iramba, leo ilikuwa zamu ya Kijiji cha Kyalosangi, Kata ya Kinampanda, Iramba Magharibi.

Pamoja na kuzungumzia Kikokotoo kwa wafanyakazi, Jambo lililowafanya Askari zaidi ya 50 waliokuwa kwenye Mkutano huo kutabasamu kwa furaha ya Matumaini, amezungumzia pia tozo za vijiji kwenye mazao na minada ya mifugo zilivyo kero kwa wanavijiji

Lissu katika kuhoji kuhusu Utawala bora amewauliza wanakijiji hao kama waliwahi kusomewa Mapato na Matumizi ya Kijiji chao, Jibu nene lililokuja ni Hapana.

Screenshot_2024-06-02-17-42-04-1.png
Screenshot_2024-06-02-17-41-09-1.png
Screenshot_2024-06-02-17-39-02-1.png
Screenshot_2024-06-02-17-35-07-1.png

 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, anaendelea na ziara yake ya kuelimisha wananchi huko Iramba, leo ilikuwa zamu ya Kijiji cha Kyalosangi, Kata ya Kinampanda, Iramba Magharibi.

Pamoja na kuzungumzia Kikokotoo kwa wafanyakazi, Jambo lililowafanya Askari zaidi ya 50 waliokuwa kwenye Mkutano huo kutabasamu kwa furaha ya Matumaini, amezungumzia pia tozo za vijiji kwenye mazao na minada ya mifugo zilivyo kero kwa wanavijiji

Lissu katika kuhoji kuhusu Utawala bora amewauliza wanakijiji hao kama waliwahi kusomewa Mapato na Matumizi ya Kijiji chao, Jibu nene lililokuja ni Hapana.

CHADEMA huwq wanasomewa ruzuku

USSR
 
Kumbe Wananchi waliambiwa Lissu akianza mkutano wasiende waende Misigiri kuna Pilau la Bure?!

Lameck acha Mizengwe🤔🥴
 
Hahahaa Mapato na matumizi ya CHADEMA au?.... Picha zingine hapo ni za wakazi wa Kijiji cha Shelui, Iramba, Singida....
 
Back
Top Bottom