Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Japo swali lako ni la kijinga ila nitajibu, na Jibu lake ni NdioChadema mnasomewa Ripoti ya matumizi ya Ruzuku? ๐ผ
Ndiyo na CAG anayakagua na kutoa taarifa yake ya ukaguzi.Chadema mnasomewa Ripoti ya matumizi ya Ruzuku? ๐ผ
Akirudi kukujibu unitagNdiyo na CAG anayakagua na kutoa taarifa yake ya ukaguzi.
Hata sisi wapinzani wa CHADEMA tunasomewa! Ila umenikumvusha mvali sana Kawawa akiwa Katibu Mkuu wetu aliwafukuza wakaguzi akiwaambia kuwa chama huwa akikaguliwi. Ilikuwa wakati wa chama kimoja.Chadema mnasomewa Ripoti ya matumizi ya Ruzuku? ๐ผ
CHADEMA huwq wanasomewa ruzukuMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, anaendelea na ziara yake ya kuelimisha wananchi huko Iramba, leo ilikuwa zamu ya Kijiji cha Kyalosangi, Kata ya Kinampanda, Iramba Magharibi.
Pamoja na kuzungumzia Kikokotoo kwa wafanyakazi, Jambo lililowafanya Askari zaidi ya 50 waliokuwa kwenye Mkutano huo kutabasamu kwa furaha ya Matumaini, amezungumzia pia tozo za vijiji kwenye mazao na minada ya mifugo zilivyo kero kwa wanavijiji
Lissu katika kuhoji kuhusu Utawala bora amewauliza wanakijiji hao kama waliwahi kusomewa Mapato na Matumizi ya Kijiji chao, Jibu nene lililokuja ni Hapana.
NdiyoChadema mnasomewa Ripoti ya matumizi ya Ruzuku? ๐ผ
Kumbe Wananchi waliambiwa Lissu akianza mkutano wasiende waende Misigiri kuna Pilau la Bure?!
Lameck acha Mizengwe
Huwa wanawasomea wakati gani?Ndiyo na CAG anayakagua na kutoa taarifa yake ya ukaguzi.
Mnasomewa kwenye kikao Gani? ๐Ndiyo
Na CAG anakagua na kutoa hati safi A+++
majibu anayo CAGCHADEMA huwq wanasomewa ruzuku
USSR
Hata majibu ya vijiji anayo CAG ๐ผmajibu anayo CAG
Hivyo ndivyo sheria inavyoelekeza?Hata majibu ya vijiji anayo CAG ๐ผ
Kijiji na NGO Kanuni zake zinafanana tu ๐Hivyo ndivyo sheria inavyoelekeza?
Hii inawahusu wao tu kama ile inayowahusu watu wa Shelui. Unaruhusiwa kuhudhuria mikutano.Huwa wanawasomea wakati gani?