Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Hapa sio mahakaman, swala inatakiwa mthibitishe taarifa zenu.Au hizi taarifa hamkujiandaa kuzifafanua?Tufanye hiyo gari ni sahihi,je mmeitoa wapi hiyo Habari?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Nimesema sipokei ushauri wowote kutoka CCM maana hamuitaki mema nchi hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo kiroboto wa ufipa anajifanya haoni.
Najua anajisikia vibaya sana navyomuumbua. Anatishia kuniblock hahahahahahah.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Nimesema sipokei ushauri wowote kutoka CCM maana hamuitaki mema nchi hii

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu, so ipi fake kati ya hizi mbili?
tapatalk_1552395006163.jpeg
tapatalk_1552395019100.jpeg


The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Hilo bus mmealiangalia vizur mkajiridhisha au mnaamua tu kuleta mapicha yenu humu?? Hao waliomzawadia gari hawajua kuwa huku hatutumii ma lefthand?? Na mnaushahidi wa makabidhiano ya gari??
Chadema haihitaji siasa hizi za mapicha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa roho zetu za korosho labda kama ataenda kulitumia Kenya ...Sijui kama litatoka kwenye bandari zetu

Likifanikiwa kutoka hivyo visa vya trafiki barabarani sasa wanaweza kumpa dereva fine kisa kosa ni kwanini halina landing gears

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nishakupiga pini ujinga wako siuoni tena

In God we trust
Hahahahahah hii comment umeijibu vipi?We ebu lieleze jukwaa la Great thinkers, ipi picha fake kati ya hizi mbili?
tapatalk_1552395006163.jpeg
tapatalk_1552395019100.jpeg


The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864

In God we trust
Good graphics work!
 
Uzuri wa cdm hatunaga roho mbaya kama nyinyi tazama tunavyo wasaidia ccm wenzenu mlio watelekeza kwenye kampeini baada ya fuso mlilo tumia kuharibika
Kumi hayatoshi, nunueni mabasi elfu tatu mia nne hamsini na mbili.

In God we trust
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom