Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Nimesema sipokei ushauri wowote kutoka CCM maana hamuitaki mema nchi hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo kiroboto wa ufipa anajifanya haoni.
Najua anajisikia vibaya sana navyomuumbua. Anatishia kuniblock hahahahahahah.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Hilo bus mmealiangalia vizur mkajiridhisha au mnaamua tu kuleta mapicha yenu humu?? Hao waliomzawadia gari hawajua kuwa huku hatutumii ma lefthand?? Na mnaushahidi wa makabidhiano ya gari??
Chadema haihitaji siasa hizi za mapicha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa roho zetu za korosho labda kama ataenda kulitumia Kenya ...Sijui kama litatoka kwenye bandari zetu

Likifanikiwa kutoka hivyo visa vya trafiki barabarani sasa wanaweza kumpa dereva fine kisa kosa ni kwanini halina landing gears

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nishakupiga pini ujinga wako siuoni tena

In God we trust
Hahahahahah hii comment umeijibu vipi?We ebu lieleze jukwaa la Great thinkers, ipi picha fake kati ya hizi mbili?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Good graphics work!
 
Uzuri wa cdm hatunaga roho mbaya kama nyinyi tazama tunavyo wasaidia ccm wenzenu mlio watelekeza kwenye kampeini baada ya fuso mlilo tumia kuharibika
Kumi hayatoshi, nunueni mabasi elfu tatu mia nne hamsini na mbili.

In God we trust
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…