Ata konoike wakilipwa kaa ukijua ni pesa zako labda usiwe mtanzania lakini kama ni mtanzania sema pesa zetu.Lipeni kwanza110 billion za konoike mnazo daiwa
In God we trust
Hivi huko ufipa hamna hata mwenye kaakili timamu?Au ni mwendo wa kuzungusha mikono tu?Hongera sana sana Lissu na asante kwa waliotoa hili gari.
Wachawi lazima wanune!
Hutaki kajinyongeTeh teh teh
Haifi kwasababu imenunua bus au kuna lingine mkuu?
Humu inabidii tuwe tunaingia na vyeti vya kuzaliwa kwa kweli,maana utoto mwingi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Au Tundu Lisu anawakodisha Chadema hilo basi kama zile Fuso za Mwenyekiti!Rudia kusoma
In God we trust
Shauri yao hata wakipasuka.Watavimba hadi wapasuke
In God we trust
Hii hapa mkuu.Sio mshabiki wa chama chochote cha siasa ila nanusa harufu ya Adobe
Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Ata konoike wakilipwa kaa ukijua ni pesa zako labda usiwe mtanzania lakini kama ni mtanzania sema pesa zetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ilinradi komoa tuitapangiwa import duty 120%...
Hahahaa........ Chadema wanateseka sana na Lowassa!Hivi huko ufipa hamna hata mwenye kaakili timamu?Au ni mwendo wa kuzungusha mikono tu?View attachment 1044062View attachment 1044063View attachment 1044064
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
wacha tusubiri mods wathibitishe.Hivi huko ufipa hamna hata mwenye kaakili timamu?Au ni mwendo wa kuzungusha mikono tu?View attachment 1044062View attachment 1044063View attachment 1044064
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Yani wanaangaika hadi wanatia huruma. Shida wanapenda siasa UCHWARA. Hizo picha uligoogle unapata.Hahahaa........ Chadema wanateseka sana na Lowassa!
Mods wathibitishe nini kwani we huoni hapo?Hahahahahahwacha tusubiri mods wathibitishe.
Wameshindwa kujenga ofisi hata moja Tanzania nzima wanabaki kudandia ofisi za umma tu sasa basi ndio wataweza kununua?? Very hopeless party.CCM wakiamua wanaingiza hata 10,000 -
Kwi....kwi... kwi.... Umemsoma Misuli.........hahahaa.....!!!Hutaki kajinyonge
In God we trust