Hisia zangu zilikuwa sahihi kabisaHii hapa mkuu.View attachment 1044065View attachment 1044066View attachment 1044067
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Sasa kama sio mtanzania ya watanzania unayafuatilia ya nini?Unadhani kila anaye zungumza kiswahili ni mtanzania?au unajidanganya kuwa anaye ipenda cdm lazima awe mtanzania?Pole sana kwa ufinyu wa mawazo
In God we trust
Hivi vitu nimecheza navyo sana yaani sana.Hisia zangu zilikuwa sahihi kabisa
Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Chadema kwisha habari yao..........sasa huko ni kujidanganya wao wenyewe.......ndio maana wenye akili timamu wanahama!Yani wanaangaika hadi wanatia huruma. Shida wanapenda siasa UCHWARA. Hizo picha uligoogle unapata.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Wanaonunuliwa ndo wajinga. NyumbuCCM inachukua kodi zetu na kununua wapinzani chadema inachangiwa na watanzania kununua vitendea kazi.nani mjinga CCM au chadema?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa........ Msuli amekumaliza!Huyo anaweweseka tu maana amekwama kama ni gari basi gia no 1 haiingii wala 2
In God we trust
CHAMA kimebaki kufake matukio ili kiendelee kusikika. Bavicha badala ya kuangaika kuja na Hoja za kujijengea uhaminifu kwa wananchi wao wanaangaika na Adobe Photoshop.Chadema kwisha habari yao..........sasa huko ni kujidanganya wao wenyewe.......ndio maana wenye akili timamu wanahama!
CCM wakiamua wanaingiza hata 10,000 -
Pole sana mwenye mawazo ya vimiminika(liquid)Pole sana kwa mawazo mgando
In God we trust
Shishiyemu kama alivyokuwa anaiita marehemu bibi yanguCCM inachukua kodi zetu na kununua wapinzani chadema inachangiwa na watanzania kununua vitendea kazi.nani mjinga CCM au chadema?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa........ Sera Mbadala!Ammalize nani?mimi sihangaiki na uvccm hapa tunaongelea maendeleo ya cdm
In God we trust
Hahahahahahahaha kukomoana kwa kwenda mbeleLikiingia bandarini litadaiwa kodi ya kwanzia 1992 kipindi ambacho vyama vingi vimeanzishwa ata kama manufactor date ni 2018