Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Le mutuz yupo kwa waganga wa kienyeji wanaandaa ndumba likifika Tanzania ligome kuwaka amepanga njama nyingi za kulihujumu hilo basi
Ameshindwa kupambana na hali yake ataiweza ya cdm!

In God we trust
 
Wewe ni zaidi ya zwazwa maana kwa mapovu yaliyo kutoka utadhani umemeza kilo 10 za omo siyo bure
Hahaha... Liniume basi la kuchora?,ni Sawa na kumuonea wivu mtu anayekula ugali kwa picha ya samaki.. Siku nyingine msiingie kichwa kichwa mfanye tafiti, mnalishana Sana matangopori humu na mkashangilia Kama mazuzu.

In God we trust
 
Nakuonea huruma kwa kutumia nguvu nyingi kwa shughuli za shughuli ya jirani yako naona wewe lazima utakuwa mchawi tu
Dah mleta mada anaitwa Mmawia, Leo amegeuka kuwa Lumumba?,huoni alivyojitutumua kutetea Basi lake alilomnunulia Lissu kutoka Google images akampigia na chata za Chadema kabisa?,kubali tu mwenzenu katafuta Kiki kwaajili ya Lissu ikabuma, ikashtukiwa.

In God we trust
 
Misuli imekutoka utadhani unafanya jambo la maana kumbe unatuonyesha jinsi ulivyo na wivu wa kike
Hapo juu mngeandika kwa BAVICHA TU.Kwakua hamjawa specific basi hatuna budi kuwapa elimu.Kuna application inaitwa Adobe Photoshop, hii inaweza kukuedit wewe uko na trump mnapiga story, ni wataalam wa picha tu na wajanja wa hivi vitu wanaweza gundua picha sio HALISI. Jitahidi uzoom kwa makini hiyo picha uone then nakutumia na picha HALISI na link huyo jamaa alikoitoa.

Scania Touring de Vip Bus - a photo on Flickriver

View attachment 1044324View attachment 1044325View attachment 1044326

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.

In God we trust
 
Wamemchangia usijali na anawauliza vipi mumesikia hukumu ya kesi ya madai ya konoike?mnatakiwa kuilipa konoike 110billion bila hivyo madege yetu yanapigwa mnada
Ada za watoto wameshamchangia? Maana sio kujishaua huku watoto wafukuzwe shule.

In God we trust
 
Magu ni mtu mjanja sana kawarudishia huyo mzee lowasa mlio kuwa mnamtukana matusi ya hovyo wewe na wajinga wenzako ili muanze kumramba viatu
Kama waliweza kudeki barabara unafikir hapa watakuelewa?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.

In God we trust
 
Utaishia kuweka hayo ma screen short lkn ukweli unabakia palepale kuwa cdm imepatiwa bonge la basi ambalo ccm hawajawahi kupatiwa
Kwamba hakuna hata bavicha mmoja humu aliye na elimu ya Photoshop zaidi ya huyo mtoa mada?Kwamba hakuna hata bavicha mmoja humu mwenye viakili kidogo kuhoji source ya hiyo habari?mkiitwa nyumb ******* wanakosea?View attachment 1044319View attachment 1044320View attachment 1044321

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.

In God we trust
 
Utamfanya kanywe sumu huyo mbulula
Acha kuvuta bangi chooni kama vipi Fungua uzi mpya huu unahusu kumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji

In God we trust
 
Unahangaika nini kwenye msiba wa jirani yako?

In God we trust
Lipi fake?
tapatalk_1552395006163.jpeg
20190312_220417.jpeg
tapatalk_1552395019100.jpeg


The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Tundu lissu ni mwanasiasa bora kuwahi kutokea Tanzania pamoja na vitusho vyote lkn jamaa kakomaa hana tofauti Martin Luther au Cheguevara

Long life Tundu lissu
 
Utaishia kuweka hayo ma screen short lkn ukweli unabakia palepale kuwa cdm imepatiwa bonge la basi ambalo ccm hawajawahi kupatiwa

In God we trust
Bus la kugoogle?Huko ufipa sikuizi kumejaa matihira?
20190312_220417.jpeg
tapatalk_1552395006163.jpeg
tapatalk_1552395019100.jpeg


The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Wewe mwenyewe ni mbumbumbu unawezaje kujua level ya ujinga
Kama we sio mbumbumbu, lieleze jukwaa ipi picha fake ktk hizo tatu?
20190312_220417.jpeg
tapatalk_1552395006163.jpeg
tapatalk_1552395019100.jpeg


The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom