Yaani Huoni kama kuna picha moja ni Photoshop hapa?Hivi hamna hata mmoja anayejua kutumia Photoshop huko ufipa?Nyumbu ni CCM hata mbugani hao nyumbu ni wengi wewe mwenyewe ni mbumbumbu zuzu juha kilaza mkubwa hujitambui huna Akili hata chembe mifano yako ni ya kizezeta peleka kwa majuha wenzako.
Hili ni jukwaa la Great thinkers na waasisi wa hili jukwaa Hawakuunda kwa lengo la kuwa sehem ya kila UPUMBAVU. Moja ya post za kipumbavu ni hii yako na Great Thinker tumeonesha ni kwa namna gani umefanya kitu cha kipumbavu. Unaacha kujipinga kuja na Hoja zenye mashiko unajipinga kwenye kaPC kako kuedit pics za Google. Kupitia hii thread, kwa mtu makini hakosi jibu ukimuuliza jf ni jukwaa la aina gani. Je ni lile lile la magreat thinker au jukwaa la propaganda za uvccm na bavicha?Misuli imekutoka utadhani unafanya jambo la maana kumbe unatuonyesha jinsi ulivyo na wivu wa kike
In God we trust
Ipi fake mkuu?Magu ni mtu mjanja sana kawarudishia huyo mzee lowasa mlio kuwa mnamtukana matusi ya hovyo wewe na wajinga wenzako ili muanze kumramba viatu
In God we trust
Perspective view angle ya maneno "Sera Mbadala" hailingani na angle ya mistari ya madirisha. Inaonekna kam vile Maandishi yako mbele kidogo kutoka Kwenye madirishaKwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
Limekuuma!!!!!!Tatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.
Kwa hiyo unasubiri mbinyo?Wakipewa mbinyo kidogo kutoka mataifa yenye nguvu na ushawishi hiyo tume inaundwa fasta
In God we trust
Kapewa hadi bus kutoka Google. Mungu wabariki Google.Tundu lissu ni mwanasiasa bora kuwahi kutokea Tanzania pamoja na vitusho vyote lkn jamaa kakomaa hana tofauti Martin Luther au Cheguevara
Long life Tundu lissu
Usipate shida mkuu!!Perspective view angle ya maneno "Sera Mbadala" hailingani na angle ya mistari ya madirisha. Inaonekna kam vile Maandishi yako mbele kidogo kutoka Kwenye madirisha
Umeshachangia hela ya mavazi aliyoomba au unaleta tantatantarila hapa?Achaneni na basi, huo ni mwanzo zinaandaliwa helikopters na ndege Lissu si mchezo. Mtamtambua
Hakuna basi hapo ni Photoshop tu.Perspective view angle ya maneno "Sera Mbadala" hailingani na angle ya mistari ya madirisha. Inaonekna kam vile Maandishi yako mbele kidogo kutoka Kwenye madirisha
Maajabu hayaishi Tanzania.aisee. ..page 45 mnajadili basi
na kumbe ni basi fake
Unajichora wewe kibwengoKapewa hadi bus kutoka Google. Mungu wabariki Google. View attachment 1044432View attachment 1044433View attachment 1044434
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Mmemuuza LOWASSA kwa shilingi ngapi?CCM inachukua kodi zetu na kununua wapinzani chadema inachangiwa na watanzania kununua vitendea kazi.nani mjinga CCM au chadema?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok. Basi endelea kuzungusha viuno ukimshangilia Lisu na kupewa basi kutoka Google, huku ukisubiri wazungu waibane ccm iweke tume huru ili chadema ishindeIkibidi mtabinywa ili mkubali kuweka mazingira sawa kwenye chaguzi zinazo kuja ili mgaragazwe
In God we trust
Aliyepost hiyo iliyoandikwa sera mbadala ndio anajichora.Mbona hulielezi jukwaa la Great thinkers ipi ni picha fake ktk hizo tatu?Iogope sana technology.Unajichora wewe kibwengo
In God we trust