Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Changieni chama acheni hulka Za baleheIla huyu ni mwanaume, sikutarajia angemuangusha Mwamba. Aisee sasa naamini hata NEC wakiweka uchaguzi huru na haki huyu mama anaangushwa asubuhi tu.
Huu ni wakati wa kusuka coalition nzito sana na kila ambaye hakubaliani na utawala wa Samia. October kampeni zitakua ngumu sana kwa CCM na watapoteana kabisa, ni muhimu tupiganie reforms ili tumalizane na CCM once and for all
Subiri tu aanze kazi utaona tunavyojitoa. Watu million 1 kwa buku tu ni 1 billion, na itapatikanaChangieni chama acheni hulka Za balehe
Patakuwa na mabadiliko katika Sheria za uchaguzi kabla ya Uchaguzi wa October.Ila huyu ni mwanaume, sikutarajia angemuangusha Mwamba. Aisee sasa naamini hata NEC wakiweka uchaguzi huru na haki huyu mama anaangushwa asubuhi tu.
Huu ni wakati wa kusuka coalition nzito sana na kila ambaye hakubaliani na utawala wa Samia. October kampeni zitakua ngumu sana kwa CCM na watapoteana kabisa, ni muhimu tupiganie reforms ili tumalizane na CCM once and for all
Pesa haijawahi kuwa tatizo duniani, palipo na malengo, maono, nia thabiti hasa pakiwepo na mtu wa kusukuma kusimamia na kuaminiwa.Subiri tu aanze kazi utaona tunavyojitoa. Watu million 1 kwa buku tu ni 1 billion, na itapatikana
Kusema kweli ilikuwa kama vita ya Daudi na GoliatiZile presha za kupanda na kushuka ni mambo ambayo yalitawala kwenye uchaguzi.
====================
“Nilikuwa na furaha lakini kubwa zaidi nilikuwa na ahueni kuwa sasa imekwisha tumemaliza, zile heka heka zote hatimaye zimekwisha” ~ Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu kuhusu ushindi wake baada ya uchaguzi
Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%