Elections 2015 Tundu Lissu: Edward Lowassa ndiye mgombea urais wa CHADEMA na UKAWA

hawa CHADEMA walikuwa wanamtukana Lowassa bila kujua ukweli wote. na hawakukosea, watu wangesema wajue ukweli wote ndiyo waanze kusema hakuna kashfa hata moja ingeibuliwa. lowassa katoka na katuambia mwizi wetu ni nani hakuna haja ya kumsakama tena. wanaopinga lowassa kuingia CHADEMA, kwanza hawajui siasa kwa kuruhusu emotional na personal ishu zicloud maamuzi yao. pili ni wale wanaangalia CCM NA upinzani kwa mtazamo wa simba na yanga, ni mashabiki wa siasa.
 
mbona nyie maccm mnatoka povu jiwe mlilolikataa sasa limekuwa jiwe kuu la msingi
ni rahisi kumbadilisha mwovu mmoja ailyeingia ktk kundi la watakatifu lakini ni ngumu sana mtakatifu mmoja kubadilisha kundi la waovu mafisadi na Mal aya ila yeye ndo atabadilishwa kwani wao ndio waliomweka hapo
 
Mbinu waliyoitumia chadema ni mbaya na chafu, kama lengo ni kuing'oa ccm halafu wao washike usukani wa ufisadi sawa. Ukweli utajisimamia. Hata kama viongozi wakajaribu kupamba maneno ukweli utabaki palepale.

Kinachotafutwa na Ukawa/Chadema ni kuifanya CCM kuwa chama cha Upinzani, Lowasa ana influence kubwa ya kusababisha CCM kuwa chama cha Upinzani, hivyo basi aijalishi kama aliyekua na tuhuma za ufisadi atatumika kuuondoa mfumo Fisadi wa CCM, nakupa mfano: jambazi aliekubali kushirikiana na Polisi katika kuutokomeza ujambazi urahisisha sana kazi kwa Polisi, napata shida kuamini kama jambazi huyo ataurudia ujambazi tena.
 
Hatari: unaingiza nyoka shambani mwako ili aweze kumaliza tatizo la panya. Kwa muda, unafanikiwa maana panya wanaisha lakini nyoka lazima aendelee kupata mlo. Anahamia kwa kuku wako. Wanaisha. Baadaye unaanza kumwona ni adui naye analitambua hilo.
Hatari? Inabidi akugonge wewe ili kujihami!
 

Kwa mfano wako iweke hivi: naingiza njoka shambani amalize njoka, kitu ambacho hakiwezekani hivyo mfano wako si sahihi, mbona logic yenyewe ni rahisi sana, AU ndio kujifanya hutaki kuelewa?
 

Kaka acha mbwembwe, mfano unaofit hapa ni kenya, zambia na hata south africa kidogo inakuja, acha kutisha watu ili kutetea kitumbua, wakati wa kuitoa ccm ni ss na kuanzia mwaka huu ndo mwisho wa chama au watu fulani kujipa hati miliki.
 
CDM wameeleza wazi. Lengo ni kumtumia EL kufanikisha malengo yao. Kubwa ni kupata idadi kubwa ya wabunge. Lakini naye EL kaingia pale kwa manufaa yake binafsi. Nani atafanikisha lengo lake?
 

Ww unajielewa mkuu
 
ivi inawezekana kutumia nyongo ya mamba kumuua kenge? kama inawezekana basi lowasa ndo nyongo ya mamba na ccm lazima ife ukubali ukatae ukweli ndo huo
 

tena madini tema madini mkuuu, well saidi, tuliambiwaga hawa jamaa huwa wanachukua hela nje ya nchi kuleta chaos mpaka ya kulipua vibomu sasa tumeanza kuamini. Kwa tamaa hii hawa chadema hata watu waliokuwa wanadhurika ktk mikutano yao walikuwa nyuma yake
 
Ww soma vizuri histori viongozi wote wa cdm wametoka ccm bata slaa . pili ktba ya chd haisemi mgombea pekea ni slaa. Katiba ndio muongozo.
 
Vyovyote iwapo,CDM haiwezi kuiombea mema CCM..hali kadhalika CCM kwa CDM..hiki tunachojadili hapa kwamba kwanini CDM wamegeukia matapishi yao hata wao walijua tutasema hivyo..yet CDM wamempokea..pengine tunaoshangazwa na uamuzi huu kuna kitu tunamiss..Kitu cha msingi hapa ni je,watanzania tunamhitaji loswasa au la? Na je lowasa ni fisadi?

Nauliza hivi kwa kuwa,pande zote CDM na CCM wana maswali ya kutujibu watanzania..huyu mtu fisadi kwenye list of shame ameingiaje kwenye list of fame? lakini pia huyu fisadi anayeomba kila siku kupelekwa mahakamani kama ushahidi upo,inakuwaje anafumbiwa macho? Lakini pia huyu fisadi amehudumu kwa kuda mrefu kama mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya mambo ya usalama wa nchi..na sisi kwa nafasi yetu kama wananchi tulifanya nini tulipoambiwa jamaa ni fisadi?
 

huo ndiyo ukweli kwa mtu aliyo zunguka tanzania hii
 
NAONGEZEA MAJIBU:
Tulimwita fisadi kwa 7bu alitajwa na kamati ya bunge kuhusika na ufisadi. Kumbe alitolewa kafara na "mamlaka ya juu". Sisi sio malaika kung'amua hilo kwaiyo ilikuwa ni jukum lake kukataa kutolewa kafara kumtaja mhusika halisi, jambo hili ndio amelifanya sasa na kwahiyo hatuna ugomvi naye tena. Makombora tunayaelekeza kwa "mamlaka ya juu" na vibaraka wake. Pole Ndg.Lowassa utiifu wako kwa boss wako ndio uliokuponza kwa miaka yote. Sote tunajua hata escrow wametolewa kafara waliopata vijicent kupitia mkombozi bank wakti mabwanyenye waliopata "big cake" kupitia stanbic wakilindwa na "mamlaka ya juu". Mwenye akili amefahamu.
 
Mbinu chafu za Chadema zitaiangamiza
Miaka ya 70 Marekani ilikuwa inamtumia sadam kujaribu kudhofisha nchi ya Iran, baadae Sadam alikuja kuwa mwiba kwao
Inajulikana kuwa mfuga jini baadae litamuua
Chadema haioni kuwa sisi tulioitegemea inatuondolea imani? Fikria "eti Lowassa yuko kwenye chati kuuia ccm" ili hali yafuatayo yataiua Chadema;;:
1. Kitendo cha KUKATWA Dr Slaa ni hujuma na UTESAJI WA KISAIKOLOJIA kWAKE NA WAPIGANIA HAKI
2. Kuingia kwa Lowassa ni kuingiza ngenge la wezi wazee wa visenti mhindi wa pale mfanyabiashara. Je chedema nao ni watafutapesa?
3. Ni kupoteza muda badala ya kuishambulia ccm na mfumo wake wa kifisadi "sasa ni KUSAFISHA NA KUMTAKASA FISADI possibly No 1 kama sio 2
3. Ni kukubali kuwa na watu wasio wazalendo wala jasiri kutetea nchi au kuifia kama Lowassa ambaye alikuwa tayari kupoteza wadhifa akificha ukweli kuwa yeye na swahiba waliiba bila kupepesa macho hakumtaja hata kufa
Najiuliza mbona hana spirit ya Sokoine?
angepewa urais ccm asingesema na Cdm wangeendelea kuita Fisadi
4. Kupitisha Lowasa ni kusema kuwa Chedema nia ni Ikulu iwe kwa Wizi au Ukweli , ni kutangaza kuwa wanataka nao wakaziibe safari hii wakiwa na Professional
Iko wapi Nccr ilikuwa tunasukuma gari ikwa na shehe na mwanasheria. Najaribu kuhisi kuwa there are PLANTED GUYS WITHIN CHADEMA tutegemee kifo chake na huenda JESUIT na Masoni theoty zinztumika na kuniaminisha kuwa hakuna chama cha upinzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…