Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama

DED wa Kagera alikosa sifa mbele ya Rais kwa majibu yake tu nakumbuka alipoulizwa swali la Road Fund zilizokuja ni sh ngapi akamjibu Rais kuwa yeye ana idara nyingi hivyo hawezi kujua ni sh ngapi labda Mhazina wa Wilaya ndiye anaweza kuwa na majibu na yeye anaogopa kusema uwongo.......kiuongozi huyo mama kuwa DED hatoshi maana DED ndiyo mpokea fedha na mtoaji wa fedha kwenye halmashauri kama hajui kazi yake ya msingi ulitaka Rais afanye nini zaidi ya kumfukuza......amekuja kujua Meya hesabu zote za fedha kwenye miradi mbalimbali kwa takwimu kutoka kichwani....kuna vitu kama kiongozi vinatakiwa kuwa kwenye tip of fingers
 
Hata Mandela aliitwa Gaidi,akafungwa miaka 27,
Lakini alikuja akawa Raisi,na anaheshimiwa duniani kote,Ndani kijani sasa HV,hakuna hata mmoja anayestahili hata kushika viatu vya Mandela au Nyerere

Sent using Jamii Forums mobile app
hakuwa Gaidi ila alipigania haki za weusi kwa nguvu zote kiasi cha kutaka kama suala kuagiza silaha na ziagizwe tu ili haki ipatikane.....kumuita gaidi lilitengenezwa tu ili kumshitaki
 
.amekuja kujua Meya hesabu zote za fedha kwenye miradi mbalimbali kwa takwimu kutoka kichwani....kuna vitu kama kiongozi vinatakiwa kuwa kwenye tip of fingers

Mimi siioni hii kuwa ni sifa; kuwa na takwimu kichwani. Hii ni ku-impress' wasiokuwa na upeo. Mtu anapo-'recite' mbele za watu namba za sheria na mwaka zilipotungwa, n.k., huko sio kujua sheria, ni ulimbukeni.
 
Mimi siioni hii kuwa ni sifa; kuwa na takwimu kichwani. Hii ni ku-impress' wasiokuwa na upeo. Mtu anapo-'recite' mbele za watu namba za sheria na mwaka zilipotungwa, n.k., huko sio kujua sheria, ni ulimbukeni.
DED alichemka ukiwa kiongozi kuna baadhi ya taarifa unatakiwa kuwa nazo kichwani hata ukiamshwa saa nane za usiku ukiulizwa unatakiwa kuzielezea sio kila kitu wewe mpaka ufungue faili ofisini ndugu.......na huo ndiyo uongozi

Wewe mwalimu mkuu hata hujui darasa la kwanza walioandikishwa mwaka 2019 shuleni kwako ni watoto wangapi na unaniambia eti hiyo namba atakuwa anajua mwalimu wa darasa la kwanza halafu unastahili kuitwa mwalimu mkuu ....nakufukuza siku hiyo hiyo huo ualimu mkuu wako...
 
Wewe mwalimu mkuu hata hujui darasa la kwanza walioandikishwa mwaka 2019 shuleni kwako ni watoto wangapi na unaniambia eti hiyo namba atakuwa anajua mwalimu wa darasa la kwanza

Angalia unavyozidi kujidhalilisha aiseee! Huu ndio utendaji mnaoutafuta ili kuleta maendeleo, wa kutembea na namba kichwani kila dakika mzee akiuliza zitolewe papo kwa papo halafu mjisifu mnaendelea? Hiki ndio kipimo chenu cha utendaji? Anayeulizwa akiwa amekariri namba ajira inaota mbawa? Maajabu gani haya!

Huyo mwalimu mkuu akimuuliza mwalimu wa darasa la kwanza ni makosa? Na hata huyo wa darasa la kwanza akisema akaitazame daftarini kwa uhakika zaidi ni makosa ya kusababisha walimu hao kuachishwa kazi?

Hebu niambie, hao walimu wakiwa na daftari hapo kwenye mkutano wako wakataka kuangalia hizo namba utawakataza na kuwafuta kazi kwa kuwa hawakukumbuka namba sahihi vichwani bila ya kuangalia kwenye daftari?
 
Hivi sifa za kuwa rais wa nchi anapanga mtu anaitwa tatumzuka au ni chama chake mtia nia kwa kufuata matakwa ya katiba ya nchi?
 
nadhani hujui unachosema nimekuambia kuna mambo au data kama kiongozi zinatakiwa kuwe kwenye kichwa chako hata ukiulizwan popote ulipo unatakiwa kuzitaja bila kubabaika........wewe ni mratibu wa ukimwi kitaifa unaulizwa kuna watanzania wangapi waliopima HIV mwaka 2018 hujui ...kuna wangapi ambao ni HIV positive wameanza ARV mwaka 2018 hujui nakufukuza siku hiyo hiyo ukakae na mkeo nyumbani msuke mikeka.
 
huyu kungwi kwani kaweza ?
kwenye international conferences of heads of states haendi, basi hata misibani haendi...
kununua ndege ni hela yako tu ambayo unaweza kunyang'anya au kukopa, kunyanyua uchumi ndio usomi, malimbukeni hudhani kuwanyang'anya wananchi hadi kwenye bureau na kuwa na hela nyingi ndio kukuza uchumi...
hiki kizee si tu kimeshindwa kunyanyua uchumi, hata shilingi imemshinda, basi hata kutamka entrepreneur anashindwa ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mara 10 ya kumchagua Kikwete tena aalike wasanii kula maandazi Ikulu na uji wa pilipili manga kuliko Lissu, jamaa ni wa hovyo sana.
 

Bashite anayo, si mnataka kusikia hayo
 
umesikika
 
Ni mtu mshenzi. 'Mshenzi' ndio neno sahihi wala sio namtukana kwani hana ustaarabu kwa kiwango kikubwa kwenye kauli zake.
 
mtu aliyejulikana kama JAKAYA KIKWETE alishawahi kusema hajui kwann Tanzania ni masikini akakaa madarakani kwa miaka 10. mtu anayeitwa JOHN POMBE MAGUFULI alishawahi kusema wasio na uwezo wa kulipa nauli ya kivuko wapige mbizi na kwamba yye ana kichaa kichaa hivi lakini bado anaendelea kuwa raisi. nani atashindwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…