Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama

Mhe T.Lisu ni mwanaharakati mwenye uwezo mkubwa wa kufanya mabadiliko popote. Anafanya hata zaidi ya uwezo wake. Watu wa aina yake hawafai kua viongozi wakubwa ( raisi ) sababu wapo tayari kufa kutetea haki iliyopotea ila hawaoni wanapokisea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
That's true
 
Uko sahihi kabisa kiongozi ! angalia mahojiano yake na watanzania waishio marekani kwa u tube kikweli hana maturity ya kutofautina ,hili tatizo ndo linamtesa sana magufuli anapenda sana kusifiwa ,nikupongeze umeona tunahitaji raisi asiependa sifa na live tv na mfanyabiashara sio huyu mkulima (no hard feelings ),Ila nilichokipenda kwako wakati tunajaribu kutokosea tusikosee zaidi mimi kwa mtazamo wangu bado sampuli ya lowassa inahitajika (simaanishi lowassa) watu wenye hekima ,utulivu na busara

Huyu ni mwanaharakati bora na mbunge makini abaki hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…