Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama

Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.
He can't and will never be.
 
Uzuri kura hupigi wewe peke yako labda mtegemee the familiar rigging tactics.
 
Hapo umenena mkuu. Watanzania wengi wenye busara wanaoana hivyo. Anadharau kubwa sana. Anajiona yeye anajua kila kitu. Yeye ndiye aliyetunga sheria na haki za binadam na Freedom of speech.

Ukweli hajui kitu. Ni mpayukaji tu na hajui hata kutoa hoja. Anacho zungumza ni utumbo tu kama mtoto mdogo. Mtu anaye jiita mwana sheria maarufu anazungumza kwenye jukwaa la kimataifa kama mtoto wa shule ya msingi. Mwana sheria maarufu anashindwa kujibu maswali rahisi kuhusu mambo mazuri ambaye Rais ameyafanya kwa ajili ya chuki! Kila akiulizwa anatoa mambo yale yale ambayo ameyakariri kichwani ili mradi tu asionekane anamsifu Magufuli!
Mmh! Kwa kijerumani hiyo tunasema "Das ist krank". Mambo ambayo yako kichwani ndiyo hayo hayo tu anataka kuyatoa matokeo yake anashindwa kupanga maneno vizuri kiasi kwamba inaonekana dhahiri kuwa anachuki na Rais, anachuki na mfumo wa serikali yetu, Bunge letu tukufu, mahakama na vyombo vya Dola na kadhalika.

Kila nikimsikiliza Tundu Lussu najiuliza mimi mwenyewe, inawezekanaje mtu kudai haki za binadam wakati yeye mwenyewe hivyo vitu anavyo vidai hawezi kuvi-impliment? Kwanza hajui vigezo vya ukiukwaji wa haki za binadam vikoje? Kwanza Lissu hana affinity na wanadam wenzake, hawaheshimu na wala hawathamini? Kwa vigezo hivi ni haki kweli anavyo payuka duniani kuwaonyesha wazungu kuwa yeye ni mtetezi mkubwa wa haki za binadam Tanzania? Huu ni uongo!

Wakati yuko katika mkutano wa mambo ya sheria za Afrika jijini Washington D. C, Lissu alidai katika kauli yake moja kuwa Rais Magufuli hajui kuzungumza kiingereza ila yeye ndiyo anakijua.

Hii sentesi ilinichekesha sana, yaani mtu ambaye hata kupanga maneno yenyewe kwa kiingereza vizuri yanamshinda kiasi kwamna watu wakamwelewa ni nini hasa anaongelea, ana payuka hadharani kuwa Rais Magufuli kiingereza hajui. Kwa mtu ambaye amesoma Amerika na kuishi kwa mda Amerika mimi naona kiingereza chake ni kama cha mtu aliyemaliza chuo kikuu Bongo. Kiingereza chake ni cha vitabuni na sio cha tumboni.

Asijivunie kiingereza chake ambacho ukilinganisha na watu ambao wanaongea kiingereza yeye chake kinasikika kama cha mtu ambaye hata Amerika hajaishi. Nina dada yangu mwalim, nikisikilza kiingereza chake utafikiri cha mtu ambaye ametoka UK leo, lakini cha ajabu ni kwamba hata Kenya hajafika. Babu yangu kabla hajafa alikuwa anapiga kimombo na kijerumani vizuri sana, lakini Uingereza na Ujerumani hajawahi fika. Kwa mtu aliyesoma na aliyepata Masters yake George Washington the University of Law, kiingereza chake ni kama cha mtu aliyemaliza High school Bongo.

Tundu Lissu ni falah sana. Anapswa kupuuzwa. Ni mtu ambaye hana akili timamu na nafikiri bado ni mgonjwa. Akili zake haziko sawa sawa. Mbunge mzima anatoa pumba kama za watu ambao wako Manzese!

Yaani watu wanagharimia millions of T-shilings kumpeleka Tundu Lissu kwenye chuo cha Washington D.C ili kuwaeleza intellectuals kuwa Rais Magufuli hawezi kusema sentensi nzima kwa kiingereza? Ndiyo kauli za mtu mwenye busara hizo? Hivi mtu kama yeye anatakiwa afanye ujinga wa aina gani ndiyo watu waweze kutambua kuwa Lissu hakili hana?

Ndiyo inawezekana kuwa Rais Magufuli anashindwa kutamka baadhi ya maneno ya kiingereza lakini akisoma anaelewa na ndiyo maana amepata u-DOCTORATE.
Mbona watanzania wengi hasa wale ambao wamechukua masomo au combinations za masomo ya science kama PCM, PGM, PCB na mengineyo zamani tulimaliza high school na kuanza vyuo, lakini bado kiingereza kilikuwa hakipandi vizuri katika kuzungumza? Lakini katika kusoma watu walikuwa wanapata Max nzuri? Ina maana na sisi tulikuwa hatujui kiingereza?

Nawaomba wana CHADEMA msaidieni kamanda wenu. Hayuko vizuri. Kauli ambazo ana zitoa zunaonyesha kuwa Lissu hana ustaarabu wa kidiplomasia. Hazungumzi kama statesman mwenye reputation ya kimataifa. Lugha yake ni ya kijiweni au katika Bunge la migombani.
Ni uozo mtupu. Kama mnamtaka yeye aendelee kuwasemea duniani, kwa hali hii mtaumbuka wote. Inaonekana dhahiri kuwa wana CHADEMA wote ni vichaa na hivyo kufanya mdharaulike na hivyo kutokuwa na Credibility kubwa kwa Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lisu maneno mengi wakati wewe unaongeeaa mpaka unaboa.
Lisu sio anajifanya,mimi naona anajua. Huna namna
 
Mnaongeza miaka tu, ilikuwa 2010 ikaja 2015 sasa ni 2020. Poa kamanda tunasubiri 2020.
Mkapa alimaliza yote Jangwani. Hawa jamaa Malofa tu watabaki kuota ndoto. Hivi kweli wanadhani kuna mwenye akili timamu upinzani anaweza kupambana na kumwondoa Magufuli 2020. Kwa mihemko ya kijinga hiyo, Chadema ilikuwa ya Slaa sio hawa Wendawazimu.
 
Ni kweli hiyo theory ipo kwenye psychology lakini kwa alikofikia Lissu hapana...kwenye uongozi busara ni muhimu sana na Lissu hiyo busara ameikosa kabisa kila kitu yeye anajiona anakijua na yuko juu wa wengine kwa kila jambo.nina karibu copy ya mijadala yake ya Bungeni huwa namsikiliza sana tu ktk kuchangia hoja zake kwa muda mrefu....ni kweli mambo mengi anayajua lakini ana vuka mipaka sana na hilo ni tatizo kubwa ukiwa kiongozi
swali muhimu je jiwe ana busara?tujikumbushe kidogo,alipokuwa waziri wa ujenzi serikali kupitia tamesa ilipandisha nauli ya kivuko cha kigamboni dar ,wananchi walipolalamika alisema kwa jeuri kama nauli ni kubwa basi wapige mbizi,busara hizo.kwa sasa anaishi magogoni pale,wakulima wa korosho walipolalamika hela zao kukwapuliwa na serikali na wabunge wao wa kusini kutishia kuandamana jiwe alijitokeza na kumpiga kwala PM kuwa wakiandamana ataanza na shangazi zake PM,BUSARA HIZO TOKA KWA JIWE.
 
mimi naamini yeyote aweza kuwa rais kama jpm ameweza kuwa rais
Huwezi kumlinganisha JPM na Lissu JPM ni jembe la uhakika katika kuhakikisha watu wanfauata sheria na kuwajibika.
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.
kama magufuli ameweza Lissu anashindwa nini? Kwa mtazamo wangu ukiachilia mbali ujinga wetu wa kuona kikundi cha watu kinachoitwa ccm ndo Tanzania,Lissu is far better than Magufuli in term of competence
 
swali muhimu je jiwe ana busara?tujikumbushe kidogo,alipokuwa waziri wa ujenzi serikali kupitia tamesa ilipandisha nauli ya kivuko cha kigamboni dar ,wananchi walipolalamika alisema kwa jeuri kama nauli ni kubwa basi wapige mbizi,busara hizo.kwa sasa anaishi magogoni pale,wakulima wa korosho walipolalamika hela zao kukwapuliwa na serikali na wabunge wao wa kusini kutishia kuandamana jiwe alijitokeza na kumpiga kwala PM kuwa wakiandamana ataanza na shangazi zake PM,BUSARA HIZO TOKA KWA JIWE.
uwe na busara kwanza hakuna mtu anaitwa jiwe ambaye ni kiongozi hapa nchini
 
Lisu maneno mengi wakati wewe unaongeeaa mpaka unaboa.
Lisu sio anajifanya,mimi naona anajua. Huna namna
Mkuu kama hujui kusoma na kuelewa kilicho andikwa hayo ni matatizo yako kiakili. Hakuna anaye kulazimisha kusoma hoja yangu mpaka ika ku-bor. Kama unaona hoja zangu zina ku-bor acha ku-deal nazo. Kwa nini unateseka na vitu ambavyo hujaumbwa navyo?

Katika ulimwengu wa leo ambao umekuwa very very complicateded binadam wenye ubongo wenye capacity kubwa ya kusoma habari na kuzifanyia kazi wana advanteg kubwa ya ku-succeed kimaisha kuliko binadam wenye kutaka simple answers kwenye complocated matters.

Endelea tu kuulemaza ubongo wako kwa majibu na maelezo mafupi na rahisi rahisi. Utafika wakati utashindwa kutatua matatizo madogo! Complicated Material needs great thinking capacity.

Katika Informations Technology ya leo manufacturer wa computer chips ana jitahid ku-reduce the scale of the integrated circuit kuwa yenye 13.5 nm ili apate chips zenye uwezo mkubwa wa ku-transfer na ku-serve infomations nyingi kwa ku-expand the capacity of the Chips, wewe unalalamika kwa ajili ya hoja zangu zenye texts ndefu.

Mimi naandika kwa ajili yangu na kwa jinsi ninavyo jisikia, sifanyi kwa ajili ya mtu mwingine. Mwenye kutaka kusoma asome na asiye taka aache. Mimi pia kuna baadhi ya Threads sizifungui kwa sababu hazinivutii na hoja za baadhi ya watu siziangalii wala kuzisoma, kwani najua hoja zao mara nyingi zinakuwa under my level! Kwa hoja kama hizo sipotezi mda wangu, hata hivyo sioni sababu ya mimi kulalamika, eti kwa sababu fulani hoja zake sio nzuri kwangu. Kwa kisa gani? It doesn't make any sense!

Kuwa free na amani na unacho kifanya. Usilalamike. Fanya kile unacho kiona ni right kwako na sio unafanya kitu kwa ajili ya mtu mwingine.[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzuri kura hupigi wewe peke yako labda mtegemee the familiar rigging tactics.
hata kwenye list ya wagombea Chadema hawatamuingiza huyo boss wako hilo tunalijua...au hujui watu wa kaskazini walivyo...mara hii mmeshasahu ya zitto na kitila?
 
sheria amazo yeye mwenyewe anazivunja makusudi.
amevunja sheria gani bwana mbona mna publish tu mambo jamani...itaje sheria aliyoivunja...na kama Rais akivunja sheria wewe raia unatakiwa kuchukua hatua gani kwa mujibu wa sheria?
 
Superiority complex inamsumbua. Aliwahi kuwatusi wabunge wa CUF kipindi cha nyuma, sababu ni ule wingi wa wabunge wa CHADEMA, akawaambia wanaume ndio wanaowafuata wanawake na sio wanawake kuwafuata wanaume.

Mdomo huponza kichwa, maneno ya wahenga.
kiburi sana huyu jamaaa.....naona anona kwasababu kasoma sheria basi yeye kila kitu anajua na yuko juu ya sheria......na akirudi kesi zake za Kisutu zinamsubiri asifikiri kama zimefutwa.
 
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020.

Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu Lissu alipokuwa mwanaharakati na mtetezi wa madhila waliyokuwa wanapata wananchi katika migodi mbalimbali huko kanda ya ziwa na baadaye kuwa mbunge wa Singida.

Akiwa mbunge katika Bunge la Jamhuri amekuwa ni mchangiaji wa mara nyingi sana na muuliza maswali sana na kuomba kuhusu utaratibu na muongozo wa spika mara kwa mara kiasi cha kusababisha hata kutolwa nje na spika pale anapokataa kutii kiti cha spika.

Nakumbuka hata wakati wa Bunge la Katiba hapo ndipo Mhe Lissu alikuwa mkali kama mbogo kwa baadhi ya taratibu alipoona kama vile zina malengo fulani ambayo hayakuwa na faida kwa baadhi ya makundi.

Kwa ujumla ukimuangalia Mhe Lissu na jinsi anavyochangia mada au hoja na maneno anayotumia kwenye public kiukweli sidhani kama anaweza kuwa sahihi kuwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.

Kwa mtazamo wangu mimi kiukweli nidhamu ya Tundu Lissu katika kuchangia mada au hoja kwa wenzake huwa kuna dharau kubwa sana anaonyesha kiasi cha kutoheshimu michango ya wenzake na kama ndivyo alivyo basi kiti cha uraisi sidhani kama ni size yake.
Yaani huyu akiwa Rais siku ya kwanza tu na kabla ya week tunamuassassinate kwa faida ya Taifa. Hao anaowatukana ndio hao hao wanatakiwa kumlinda akiwa Rais na hatujawahi kufanya ujinga huo hata sekunde moja.
Off cut his head.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kiburi sana huyu jamaaa.....naona anona kwasababu kasoma sheria basi yeye kila kitu anajua na yuko juu ya sheria......na akirudi kesi zake za Kisutu zinamsubiri asifikiri kama zimefutwa.
Akili za mashindano zinamponza. Anadhani kundi kubwa la watanzania halijielewi na yeye mwenye kujielewa ndio mwenye haki ya kuwasaidia hao walio gizani.
 
Yaani huyu akiwa Rais siku ya kwanza tu na kabla ya week tunamuassassinate kwa faida ya Taifa. Hao anaowatukana ndio hao hao wanatakiwa kumlinda akiwa Rais na hatujawahi kufanya ujinga huo hata sekunde moja.
Off cut his head.

Sent using Jamii Forums mobile app
kauli kali sana hiyo......kwa mujibu wa katiba yetu ulinzi wa taifa la Tanzania uko chini ya JWTZ,Polisi,Magereza na TISS pamoja na wananchi wote.sasa sijui akiwa Rais atavifuta hivyo vyombo na kuanzisha vyombo vyake au
 
Akili za mashindano zinamponza. Anadhani kundi kubwa la watanzania halijielewi na yeye mwenye kujielewa ndio mwenye haki ya kuwasaidia hao walio gizani.
Tundu Lissu nadhani kwasasa anaweza kuwa mwalimu wa sheria vyuo vikuu tu atatulia na kula maisha yake vizuri lakini kwa tabia na kiburi chake cha ujuaji huku uraiani hakumfai kabisa.....badala ya kujenga marafiki yeye anatafuta maadui ili kushindana nao kwenye majukwaa.......hiyo ilikuwa wakati wa cold war si sasa
 
Tundu Lissu nadhani kwasasa anaweza kuwa mwalimu wa sheria vyuo vikuu tu atatulia na kula maisha yake vizuri lakini kwa tabia na kiburi chake cha ujuaji huku uraiani hakumfai kabisa.....badala ya kujenga marafiki yeye anatafuta maadui ili kushindana nao kwenye majukwaa.......hiyo ilikuwa wakati wa cold war si sasa
Unapomshambulia rais unakuwa unaishambulia taasisi nzima ya urais sio JPM peke yake. Jamaa ni mwanasheria mkubwa tu lakini kashindwa kuelewa ukubwa na wa taasisi ya urais.

Timing ya mdomo wake ni mbaya sana, wakati ule wa kibiti, tension ilikuwa kubwa sana kiuongozi, wale jamaa walitaka waanzishe jamhuri ndani ya jamhuri, yaani ule upuuzi wa al shabab.

Halafu wanaibuka watu wanamkejeli mtu ambaye angeweza kabisa kutangaza hali ya hatari na nchi ingekuwa kwenye wakati mgumu kwenye suala la amani.
 
Back
Top Bottom