Tundu Lissu hana wazo la kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA

Tundu Lissu hana wazo la kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Kama kuna watu walikuwa wanaomba mgongano wa kiuongozi ndani ya Chadema sasa wanywe panadol.

Kuna wale maadui wa siasa za kishindani walikuwa wanatamani Mhe. Lissu autamani uenyekiti wa Chadema ili agombanie nafasi hiyo na Mhe. Mbowe

Kuitakia Chadema migogoro ya ki uongozi ni sawa na kumeaga mbegu za mchicha juu ya zege ukitegemea zitaota.

 
Kwahiyo huo uenyekiti una hati miliki ya mwenyekiti peke ake tuu mpaka afe mpk lissu ameingiwa woga? Chadema kwa hili mbadilike
 
Back
Top Bottom