Tundu Lissu havai tena bullet proof vest, kulikoni?

Tundu Lissu havai tena bullet proof vest, kulikoni?

Inabidi uchuguzi ufanyike au tusubiri tena uchaguzi mwingine, ili ndiyo waanze kufafanua na kuvuana nguo kwanini alivaa bullet proof vest wakati wa kuchukua na kurudisha fomu tu?

HQ kuna hatari za kiusalama ama laa!🐒
Labda muulize Mr Amsterdam wakili wa Lissu anayepanga kukamata ndege za Air Tanzania.
 
My friends, ladies and gentleman,

Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi havai tena bullet proof vest aliyoivaa kwa mbwembwe sana baada ya kudai kupigiwa simu na mtu aliemuita mzito na muhimu sana humu nchini, na kumshauri ati ajiongezee ulinzi ati usalama wake uko mashakani. Nae kwa kukurupuka akaanza kuvaa mbullet proof mweusi utadhani yupo doria huko ghaza.

Au aligundua kwamba wataalamu wa inteligensia ambao alidai ni marafiki zake waliompigia simu nyingi sana na kumuelekeza avae bullet proof vest, walimuhadaa na kumpotosha?
Au ilikua ni mbinu ya tu ku-renew exile visa ili iwe halali kwa mabwenyenye yanayomfadhili, ili aendelee kula maisha ya ughaibuni, yeye na familia yake.

Au alijitathimini na kujiona amekua kama askari wa doria, na kwamba iwe amevaa au hajavaa bullet proof vest wahalifu wakiamua, wanaweza kumfikia na kutimiza malengo yao maovu bila mbambamba yoyote?

Unadhani ni nini kimemfanya kibaraka kuacha kuvaa bullet proof vest?🐒

Mungu Ibarik Tanzania.

Pia soma
- Tundu Lissu arudisha fomu makao makuu ya CHADEMA akiwa amevaa bulletproof. Hii ina maana gani?
Tulia dawa ikuingie kunguni wa sa100
 
Umeanzisha uzi chini ya kiwango. Unataka kufahamu jambo ambalo halina nyongeza ktk ufahamu wako.
Nitauliza tu swali; Una elimu kiasi gani? Na je, huwa unajisomea nini zaidi ya gazeti la michezo?
mbona mapema sana gentleman?
yaani umefikia ukomo wako wa mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi mezani mapema kiasi hicho gentleman, dah?

sasa mbona utakua mzigo mzito zaidi kwa chadema aise 🐒
 
My friends, ladies and gentleman,

Kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi havai tena bullet proof vest aliyoivaa kwa mbwembwe sana baada ya kudai kupigiwa simu na mtu aliemuita mzito na muhimu sana humu nchini, na kumshauri ati ajiongezee ulinzi ati usalama wake uko mashakani. Nae kwa kukurupuka akaanza kuvaa mbullet proof mweusi utadhani yupo doria huko ghaza.

Au aligundua kwamba wataalamu wa inteligensia ambao alidai ni marafiki zake waliompigia simu nyingi sana na kumuelekeza avae bullet proof vest, walimuhadaa na kumpotosha?
Au ilikua ni mbinu ya tu ku-renew exile visa ili iwe halali kwa mabwenyenye yanayomfadhili, ili aendelee kula maisha ya ughaibuni, yeye na familia yake.

Au alijitathimini na kujiona amekua kama askari wa doria, na kwamba iwe amevaa au hajavaa bullet proof vest wahalifu wakiamua, wanaweza kumfikia na kutimiza malengo yao maovu bila mbambamba yoyote?

Unadhani ni nini kimemfanya kibaraka kuacha kuvaa bullet proof vest?🐒

Mungu Ibarik Tanzania.

Pia soma
- Tundu Lissu arudisha fomu makao makuu ya CHADEMA akiwa amevaa bulletproof. Hii ina maana gani?
Lisu ni muongo muongo sana
 
Maji ya shingo .amegundua maigizo yake hayatiliwi maanani na watanzania na wala hawana habari naye zaidi ya kumpuuza tu.
 
Mwandishi tumia akili yako vizuri fitina na chuki dhidi ya lisu haitakusaidia chochote .
Tafuta kazi ya kufanya acha kutanga tanga hapa jukwaani kumtukana lisu .
 
Back
Top Bottom