Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Historia ya Uadilifu na uchaji wa akili ndio nguzo kuu inayombeba

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Historia ya Uadilifu na uchaji wa akili ndio nguzo kuu inayombeba

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Watu wamechimba sana historia ya Lissu na kutafuta jambo lolote la ukosefu wa uadilifu wamekosa.

Zaidi wameambulia kujitoa kwake kutetea haki za watu kwa kujitolea kwa moyo mkunjufu kabisa.

Watu wa Nyamongo ni mashahidi na ndio maana hawajaogopa mabomu au risasi.

Pili, tokea siasa za vyama vingi ziruhusiwe tena hapa nchini 1992 haijapata kutokea mgombea upinzani mwenye uchaji wa akili kama Lissu.

Hata wagombea kutoka chama tawala ambaye ameweza kuwa katika level ya Lissu labda twaweza kusema ni Mkapa tuu.

Hayo mambo mawili ni makuu sana na ndiyo yanayompaisha sana Lissu katika uchaguzi mkuu huu.

Watanzania wanalijua hilo, Magufuli analijua na CCM inalijua.

Busara ni kukubaliana na Bali hiyo na kuepusha shari.

Kama unaona watu wamekukataa ni bora kujiweka pembeni na kuishi maisha ya baadae kwa raha kuliko kusababisha maafa na kwa vile kutoka lazima utatoka ukajikuta unaishia majuto.
 
Kwenye majukwaa wamemaliza, waamishie nguvu kwenye figisu za chini kwa chini.
 
Lisu ni debe tupu.

Ile tu kuwa wakala wa beberu, wewe hufai kuwa kiongozi wa ngazi yeyote ile popote barani Afrika na unapaswa kupigwa mawe!

Ile tu Amsterdam anakutolea vitamko na wewe kila unapoandika mtandaoni unaweka na kingereza ila vibeberu vyako vione, wewe ni mchafu kuliko mtu yeyote yule hapa nchini na Afrika nzima.
 
Lisu ni debe tupu.

Ile tu kuwa wakala wa beberu, wewe hufai kuwa kiongozi wa ngazi yeyote ile popote barani Afrika na unapaswa kupigwa mawe!

Ile tu Amsterdam anakutolea vitamko na wewe kila unapoandika mtandaoni unaweka na kingereza ila vibeberu vyako vione, wewe ni mchafu kuliko mtu yeyote yule hapa nchini na Afrika nzima.
Awemauliza mumtaje huyo Beberu anayemuwakilisha kama wakala wake ni nani mbona mmeshindwa kumtaja?

Jee ni Marekani? Semeni ili tuende pale ubalozi wao tukiandamana kuwa tumewagundua wao mabeberu wanamtumia Lissu kutuhujumu maana wanatuonea wivu. Au Uingereza, Ujerumani, IMF, WB au ninani?

Hamtaji bali kuropokea chini kwa chini 'wakala wa mabeberu' mbona mnakuwa waoga hivi?
 
Mgombea wa kijani sera zake japo ni za kukariri lkn hata hazieleweki. Mbele ya hadhira kabisa anathubutu kumuomba Kibajaji amtafutie binti wa kabila la Kigogo ili amuoe! Kutokana na umri wake angaliweza hata kuomba apewe "connection" na mwanamke mtu mzima ili apate kutongoza yeye mwenyewe.

Ombi la kutafutiwa binti mdogo halikubaliki hata kidogo. Tena ni yeye mwenyewe alisema wakipata mimba hawana tena ruhusa ya kusoma shule za serikali. Sasa hii sera ya kuwatengeza "school dropouts" kutokana na "early pregnancy" sijui inaitoa hata wapi!
 
Lisu ni debe tupu.

Ile tu kuwa wakala wa beberu, wewe hufai kuwa kiongozi wa ngazi yeyote ile popote barani Afrika na unapaswa kupigwa mawe!

Ile tu Amsterdam anakutolea vitamko na wewe kila unapoandika mtandaoni unaweka na kingereza ila vibeberu vyako vione, wewe ni mchafu kuliko mtu yeyote yule hapa nchini na Afrika nzima.
Naona siku hizi hamuongeei tena kuhusu ndege na madaraja
 
Hhhh sera za kuomba binti mdogo majukwaani muandikieni hutuba
 
Lisu ni debe tupu.

Ile tu kuwa wakala wa beberu, wewe hufai kuwa kiongozi wa ngazi yeyote ile popote barani Afrika na unapaswa kupigwa mawe!

Ile tu Amsterdam anakutolea vitamko na wewe kila unapoandika mtandaoni unaweka na kingereza ila vibeberu vyako vione, wewe ni mchafu kuliko mtu yeyote yule hapa nchini na Afrika nzima.
This is rubbish from the dictator's boot licker.
 
lissu alimsema sana lowasa alivokua ccm, what happend next ni historia! nadhan ndo uadilifu wake huu
 
Back
Top Bottom