Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Historia ya Uadilifu na uchaji wa akili ndio nguzo kuu inayombeba

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Historia ya Uadilifu na uchaji wa akili ndio nguzo kuu inayombeba

Lisu ni debe tupu.

Ile tu kuwa wakala wa beberu, wewe hufai kuwa kiongozi wa ngazi yeyote ile popote barani Afrika na unapaswa kupigwa mawe!

Ile tu Amsterdam anakutolea vitamko na wewe kila unapoandika mtandaoni unaweka na kingereza ila vibeberu vyako vione, wewe ni mchafu kuliko mtu yeyote yule hapa nchini na Afrika nzima.
Hili ndio debe tupu halijitambui
IMG_20200926_181306.jpeg
 
Lissu ni kati ya watu wachache sana hapa duniani wenye IQ kubwa, watu hawa hutokea kwa nadra mno. Sasa IQ yake kuchanganya na ujasiri alionao inakuwa ni ngumu mno kushindana na yeye kwa hoja, hoja yoyote ile iwe ya kijamii, kisayansi, kisiasa, kisheria ..ni lazima ujipange vilivyo.

Kwa mfano kile kitabu cha Maadili ya Uchaguzi ni kidogo mno, lakini wakisema wakijadili yale yaliyomo ndani kwa njia ya mdahalo basi hata hao waliokitunga watabakia midomo wazi kwa namna atakavyokidadavua... na sina uhakika kama wagombea wengine ukimwondoa Maalim kama wamekisoma chote na kukielewa vilivyo.

Sasa unapopambana na mtu wa namna hii kwa hoja lazima ujipange vilivyo vinginevyo anakutimuia vumbi vibaya sana. Ana uwezo wa kukukera ama kukufurahisha !!
 
Lisu ni debe tupu.

Ile tu kuwa wakala wa beberu, wewe hufai kuwa kiongozi wa ngazi yeyote ile popote barani Afrika na unapaswa kupigwa mawe!

Ile tu Amsterdam anakutolea vitamko na wewe kila unapoandika mtandaoni unaweka na kingereza ila vibeberu vyako vione, wewe ni mchafu kuliko mtu yeyote yule hapa nchini na Afrika nzima.
Siku nikikuta GENTAMYCINE na Johnthebaptist wamekuunga mkono nafunga kizazi.
 
Aanze na pale Ufipa, kuhoji mapato na matumizi ya chama kama atabaki salama.
Hivi suala la mapato na matumizi ya chama ndio haki za RAIA?
Kwa hiyo CAG ni msimamizi wa haki za kiraia siku hizi?
 
Majaji kama walee maprofesa alioita zile ripoti zao za madini rubbish tena akawasema hawa majaji waliowengi hawajui yai ambalo ndio kiini cha sheria zetu Lissu wapeleke mpera mpera hao walidhani ni wale maamuma waliozoea kuwaonenea sijui polepole ana jisikiaje saa hizi.
 
Back
Top Bottom