Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Unatumia makalio yenye mapele kufikiriWewe mjane tafuta mume mwingine uache kumtaja Lissu na chadema kila siku
Fanya kazi kila siku Lissu Chadema utakufa na kijiba cha roho.Unatumia makalio yenye mapele kufikiri
Hata wewe huwa unaandika pumba sema tunakuvumilia tu.Moderator wa JamiiForums siku hizi mnaruhusu threads za hovyo kama hizi kubakia hapa
Infact yeye kashambulia hoja, na wewe una deal na mtu which is out of context.Hata wewe huwa unaandika pumba sema tunakuvumilia tu.
Ndio uhuru wenyewe huo wa kutoa maoni unaopiganiwa hapa kila siku.
Mkimbizi Lissu hana tofauti na hao wanafiki wengine unaowasema.Ili uwe mwanasiasa kwa siasa za kiafrika lazima uwe mnafiki.
Lazima penye uongo ukubali na kusapoti huku ukikenua meno.
Hayati JPM alikataa unafiki na ndiyo maana mpaka leo Watanzania wanasikitika.
Lissu hakujua Mbowe na wana CHADEMA ni wanafiki na wachumia matumbo.
Wakamtumia Lissu kuropoka hovyo, sasa hivi wao wananyonya asali kwa mrija.
StupidFanya kazi kila siku Lissu Chadema utakufa na kijiba cha roho.
Kwa bahat mzuri aliyetaka kumdhulumu uhai wake Mungu akapiga stop ili aendelee kuishi, aliyeuwa,kufunga,kupiga,kupora uchaguzi ati ashinde uchaguzi Mungu akamchukua maramoja. Usijione unanguvu ukadhulumu watu. Kwanini wale wenye mabunduki hawakuzuia uhai wake ili mfaidi na uongozi wake batili. MUNGU NI FUNDI SANA.Mkimbizi Lissu hana tofauti na hao wanafiki wengine unaowasema.
Mnakumbuka issue ya kumtaja Lowasa kuwa ni fisadi halafu baadae akaja kumsafisha na sabuni Omo na jik?
Huu ulikuwa unafiki wa kiwango cha SGR.
We mtu anatoka uhamishoni kuja kufanya kampeni za uchaguzi, hamna aliyekugusa, unatukana, baadae unashindwa vibaya unarudi kule, unadai huwezi kurudi mpaka serikali ikuhakikishie usalama wako.
AKILI ZAKO ZILIKUFANYA UWE HIVI.Huyo mke wa amsterdam hana akili kabisa
Jaribu usije haribu mimba yako, hapo lumumba hata mumchukie nyote bado anaishi nakutaka kumuua kwenu.Ukweli mchungu, tuna mtanzania mmoja wa hovyo kuwahi kutokea, namchukia hadi kero
Mpuuzi sana huyu, miga, miga, miga, watu wazima unatutishia miga? Ebho!!
Mamilion ya Watanzania tukubali kutishiwa nyau?
Taifa hili linasonga bila kutegemea uwepo wake!
Dada tulia sindano zikuingieModerator wa JamiiForums siku hizi mnaruhusu threads za hovyo kama hizi kubakia hapa
Hiyo haiondoi unafiki wa Lisu kwa sababu kila mtu atakufaKwa bahat mzuri aliyetaka kumdhulumu uhai wake Mungu akapiga stop ili aendelee kuishi, aliyeuwa,kufunga,kupiga,kupora uchaguzi ati ashinde uchaguzi Mungu akamchukua maramoja. Usijione unanguvu ukadhulumu watu. Kwanini wale wenye mabunduki hawakuzuia uhai wake ili mfaidi na uongozi wake batili. MUNGU NI FUNDI SANA.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Mpuuzi wewe, kwahiyo unataka mbowe na wengineo wawe wanamtukana Samia ndio furaha yako, Kwanza SAMIA ana ubinadamu huwezi kumlinganisha na Hayati Ngosha, Samia amemlipa Lissu stahiki zake zote alizonyimwa na magufuliIli uwe mwanasiasa kwa siasa za kiafrika lazima uwe mnafiki.
Lazima penye uongo ukubali na kusapoti huku ukikenua meno.
Hayati JPM alikataa unafiki na ndiyo maana mpaka leo Watanzania wanasikitika.
Lissu hakujua Mbowe na wana CHADEMA ni wanafiki na wachumia matumbo.
Wakamtumia Lissu kuropoka hovyo, sasa hivi wao wananyonya asali kwa mrija.
Unatumia makalionyenye upele kufikiriMpuuzi wewe, kwahiyo unataka mbowe na wengineo wawe wanamtukana Samia ndio furaha yako, Kwanza SAMIA ana ubinadamu huwezi kumlinganisha na Hayati Ngosha, Samia amemlipa Lissu stahiki zake zote alizonyimwa na magufuli
Vyeti fake hao boss. Akili zimejaa vinyesiUnatumia makalio yenye mapele kufikiri
Alikunafikia nini labda?Hiyo haiondoi unafiki wa Lisu kwa sababu kila mtu atakufa