Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Usijali wewe ukakojoe ulale ukiamka utapata majibualipokuwa rais wa TLS alifanya nini ili tumuamini kuongoza nchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijali wewe ukakojoe ulale ukiamka utapata majibualipokuwa rais wa TLS alifanya nini ili tumuamini kuongoza nchi?
Kovu mkuu
Embu acha kumfananisha Shujaa Lissu na utopolo LowassaAcha ujinga wewe mtoto. Magufuli hana haja ya kufanya kampeni. Lissu atashinda kwa kura za JF tu. Kuna mgombea alikuwa gari lake linasukumwa km 10 hakushinda, mwinge watu walipiga deki barabara ili apite lakina hakushinda sembuse Lissu ambaye jina lake halifi hata Chalinze. Tujikumbushe
View attachment 1531414
Ulikuwa kwenye mipango tu, yeye ndiye alianza rasmi...hata flyover Magu kakuta mipango kama hujuihuo aliukuta fuatilia historia ya ujenzi wake
Mwakyembe alimsumbua sana hadi bungeniNa hata huo uraisi wa TLS , CCM walimpiga figisu asiwe raisi ila hawakumweza!!!
Achana na mpakwa mafuta wa MUNGU Tundu Antipas Lissu wewe!!!
Wanajifanya wasahaulifu hawa. Lissu ni mpakwa mafuta wa Mungu yuleMwakyembe alimsumbua sana hadi bungeni
Swali la hovyo kabisa!alipokuwa rais wa TLS alifanya nini ili tumuamini kuongoza nchi?
Mlijaribu kufupisha uhai wake sir God akagoma hakuna namna hana pa kukimbilia kawakorofisha majirani wote. Kitanzi kinamngoja jiwe. Kesi ziko kama 5000 hivi zote zikihusu kudhulumu haki za kuishi !!!!alipokuwa rais wa TLS alifanya nini ili tumuamini kuongoza nchi?
Mapovu yako hayatookoa chochote , Mmekwisha kudadeki zenu !Ni wapumbavu tu ndo watamuona Tundu Lissu katika muktadha huo ulioueleza!
Tangu nipate akili za kufuatilia siasa za Tanzania sijawahi kuona Mgombea Urais ambaye sera zake ni kufanya personal attack za Rais badala ya kuleta sera .
Acha muendelee kujipa MATUMAINI lakini mark my words, hakuna Mgombea Urais upinzani, Lissu anaamini tukio lake lile litamuongezea kura, but he's sure that nothing he will get .
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkampiga risasi 89 za kivita...na nyingine 38 za kuulia dinosauralipokuwa rais wa TLS alifanya nini ili tumuamini kuongoza nchi?
Mmekosa hoja mmehamia kwenye matusiUpuuzi mtupu!
Pro-CcM wote sasa hivi hawana hoja zaidi ya matusiMapovu yako hayatookoa chochote , Mmekwisha kudadeki zenu !
Sasa kama swala ni kujenga tu aliejenga flyover na nyumba nani kajenga zaidi?Ulikuwa kwenye mipango tu, yeye ndiye alianza rasmi...hata flyover Magu kakuta mipango kama hujui
toa jibu la hovyo pia.Swali la hovyo kabisa!
ukiona choo kwenye ndoto usikitumie.Mlijaribu kufupisha uhai wake sir God akagoma hakuna namna hana pa kukimbilia kawakorofisha majirani wote. Kitanzi kinamngoja jiwe. Kesi ziko kama 5000 hivi zote zikihusu kudhulumu haki za kuishi !!!!
hili sio jibu la swali nililouliza.Mkampiga risasi 89 za kivita...na nyingine 38 za kuulia dinosaur
Ukiamka utakuta mambo ni tofauti sana,, Lissu hana upepo huo wa kushindana na JPM inshort acheni mtusindikize,,Magufuli angeanza kufungasha vilago kuondoka Ikulu mapema hawezi kupambana na Lissu kwenye sanduku la kura atapata aibu kubwa.
Watanzania sio wajinga waliekuwa wakimsubiri kwa muda mrefu ndio kaja sasa miaka mingi tuliitaji mgombea mwenye ushawishi na anayetoka kwenye pure opposition political party na sasa kapatikana.
Njia pekee ya kumzuia Lissu ilikuwa kama alivyofanywa mwaka 2017 ikashindikana sasa hakuna njia nyingine ya kumzuia .
Napokea simu kutoka Kila Kona ya Tanzania pia napata kutembea nchii hii Kila siku Lissu toka amerudi kabadilisha kabisa upepo was siasa za Tanzania.
Hakuna njia ya kumzuia Lissu naapa kuhama Tanzania kama Lissu atashindwa kwa sanduku la kula na Magufuli msione watanzania wamenyamaza Hali ni tete Sana wataishangaza dunia mwaka huu.
Lissu anaenda kuivunja vunja kabisa CCM .
Navishukuru vyombo vya Dolla kwa kuanza kusoma halama za wakati mwende hivyo hivyo mpaka mshindi halali atangazwe.