Uchaguzi 2020 Tundu Lissu is Real Man!! Real opposition candidate in Tanzania history

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu is Real Man!! Real opposition candidate in Tanzania history

Acha ujinga wewe mtoto. Magufuli hana haja ya kufanya kampeni. Lissu atashinda kwa kura za JF tu. Kuna mgombea alikuwa gari lake linasukumwa km 10 hakushinda, mwinge watu walipiga deki barabara ili apite lakina hakushinda sembuse Lissu ambaye jina lake halifi hata Chalinze. Tujikumbushe
View attachment 1531414
Embu acha kumfananisha Shujaa Lissu na utopolo Lowassa
 
Na hata huo uraisi wa TLS , CCM walimpiga figisu asiwe raisi ila hawakumweza!!!

Achana na mpakwa mafuta wa MUNGU Tundu Antipas Lissu wewe!!!
Mwakyembe alimsumbua sana hadi bungeni
 
alipokuwa rais wa TLS alifanya nini ili tumuamini kuongoza nchi?
Mlijaribu kufupisha uhai wake sir God akagoma hakuna namna hana pa kukimbilia kawakorofisha majirani wote. Kitanzi kinamngoja jiwe. Kesi ziko kama 5000 hivi zote zikihusu kudhulumu haki za kuishi !!!!
 
Ni wapumbavu tu ndo watamuona Tundu Lissu katika muktadha huo ulioueleza!

Tangu nipate akili za kufuatilia siasa za Tanzania sijawahi kuona Mgombea Urais ambaye sera zake ni kufanya personal attack za Rais badala ya kuleta sera .

Acha muendelee kujipa MATUMAINI lakini mark my words, hakuna Mgombea Urais upinzani, Lissu anaamini tukio lake lile litamuongezea kura, but he's sure that nothing he will get .

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka sasa nimewashawishi watu zaidi ya 20,kumpigia kura TUNDULISSU. huu ni mchango wangu kwake, ningetoa pesa ila MAGUFULI kanikwamisha kwa sera zake mbovu
 
Ni wapumbavu tu ndo watamuona Tundu Lissu katika muktadha huo ulioueleza!

Tangu nipate akili za kufuatilia siasa za Tanzania sijawahi kuona Mgombea Urais ambaye sera zake ni kufanya personal attack za Rais badala ya kuleta sera .

Acha muendelee kujipa MATUMAINI lakini mark my words, hakuna Mgombea Urais upinzani, Lissu anaamini tukio lake lile litamuongezea kura, but he's sure that nothing he will get .

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mapovu yako hayatookoa chochote , Mmekwisha kudadeki zenu !
 
Mlijaribu kufupisha uhai wake sir God akagoma hakuna namna hana pa kukimbilia kawakorofisha majirani wote. Kitanzi kinamngoja jiwe. Kesi ziko kama 5000 hivi zote zikihusu kudhulumu haki za kuishi !!!!
ukiona choo kwenye ndoto usikitumie.
 
Magufuli angeanza kufungasha vilago kuondoka Ikulu mapema hawezi kupambana na Lissu kwenye sanduku la kura atapata aibu kubwa.

Watanzania sio wajinga waliekuwa wakimsubiri kwa muda mrefu ndio kaja sasa miaka mingi tuliitaji mgombea mwenye ushawishi na anayetoka kwenye pure opposition political party na sasa kapatikana.

Njia pekee ya kumzuia Lissu ilikuwa kama alivyofanywa mwaka 2017 ikashindikana sasa hakuna njia nyingine ya kumzuia .


Napokea simu kutoka Kila Kona ya Tanzania pia napata kutembea nchii hii Kila siku Lissu toka amerudi kabadilisha kabisa upepo was siasa za Tanzania.

Hakuna njia ya kumzuia Lissu naapa kuhama Tanzania kama Lissu atashindwa kwa sanduku la kula na Magufuli msione watanzania wamenyamaza Hali ni tete Sana wataishangaza dunia mwaka huu.

Lissu anaenda kuivunja vunja kabisa CCM .

Navishukuru vyombo vya Dolla kwa kuanza kusoma halama za wakati mwende hivyo hivyo mpaka mshindi halali atangazwe.
Ukiamka utakuta mambo ni tofauti sana,, Lissu hana upepo huo wa kushindana na JPM inshort acheni mtusindikize,,

Yule ni mtu Imara mwenye vision na Tanzania ni Rais wa mfano kwa Africa hata dunia..

Ana udhubutu na anadhubutu kulipeleka taifa linapotakiwa,,,

Bakini na matusi yenu ila Ikulu muisikie tu!!! Tukutane October!!!
 
Back
Top Bottom