Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakimfukuza ruzuku itapungua!
Wengi walikuwa na impact gani?Sasa huyo mmoja ana impact gani?
Well said mkuuHuyo ndiyo mbunge wa NKASI kwa kipindi cha 2020-2025, akiwa mwanachadema au chama kingine, mnapoteza muda wenu kwa majungu na wivu, angekuwa ametoka kanda maalumu ya CHADEMA mngesema acha aendelee ili atusaidie kupata taarifa za jikoni.POOR CHADEMA