Tundu Lissu/Kinana wamuibua Chifu Mwaihojo, ataka somo la Muungano kuanzishwa

Tundu Lissu/Kinana wamuibua Chifu Mwaihojo, ataka somo la Muungano kuanzishwa

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Mbeya, Tanzania

Tundu Lissu / Kinana wamuibua Chifu Mwaihojo, ataka somo la Muungano kuanzishwa​


View: https://m.youtube.com/watch?v=rsrEtEaFwGg
Source : busokelo tv
Mahojiano exclusive Busokelo TV na Chifu Mwaihojo
Mwanachama wa CCM Chifu Mwaihojo asema Tundu Lissu anahoja nzito lakini viongozi wa CCM wanajibu hoja za Muungano kisiasa bila majibu toshelezi


Mwanachama huyo toka enzi za TANU Youth league ameona muungano ukiasisiwa mwaka 1964 akiwa shule ya msingi darasa la saba.

Chifu Mwaihojo anaongeza amewasikiliza viongozi wake wa CCM kina Mzee Kinana, CPA Amos Makala, Ally Hapi n.k wakijaribu kujibu hoja za Tundu Lissu lakini wameshindwa kutoa majibu ya kuridhisha.

Chifu Mwaihojo ameongeza kuwa hoja na maswali ya Tundu Lissu yamegusa nyoyo za waTanzania wa kawaida Tanganyika na Zanzibar na ikiwa yatafanyiwa kazi yataimarisha muungano lakini majibu ya viongozi wa CCM hayajajibu hoja hivyo chama kongwe CCM wasipuuza maoni ya Tundu Lissu muungano huu utazidi kutetereka, kuyumba na unaweza kuvunjika .....

Chifu Mwaihojo anaongeza Muungano huu ulianza vizuri kwa kuwa na mambo ya muungano pia na yale ya Zanzibar na Tanganyika kupewa usimamizi tofauti lakini miaka ya sasa yamepuuzwa tofauti na vile wakati Nyerere na Mzee Abeid Karume waliyatenganisha mambo kadhaa yabaki ya Zanzibar na yale ya Tanganyika yalisimamiwa na makamu wa pili wa rais wa Muungano Rashidi Kawawa ....


Chifu Mwaihojo anasema hoja za CHADEMA na Tundu Lissu zimeshawishi wananchi na zipo katika lugha nyepesi inayoeleweka iliyochambua katiba na mienendo ya serikali ya CCM. Huku chama kongwe dola kikitumia zaidi kejeli, kutishia na maguvu badala ya kujibu hoja ili kurekebisha mapungufu ya kupuuza yale makubaliano ya mwanzo ya Nyerere na Karume ..... anaongea kwa masikitiko mwanachama mkongwe wa CCM Chifu Mwaihojo

Chifu Mwaihojo anasema somo la historia ya kweli ya Muungano lifundishwe badala ya maneno ya kisiasa ya CCM ndiyo iwe historia.

Akumbusha chifu Mwaihojo kuwa baada ya mapinduzi kiongozi wa kwanza alikuwa ni John Okello. Baadaye Nyerere aliwaita Karume na John Okello kuwaambia mapinduzi kuondoa waarabu madarakani kuwarudishia wazanzibari hayatakuwa yamefikiwa malengo ikiwa John Okello kutoka Uganda atasalia madarakani .....

Masuala ya bandari za Tanganyika kuuzwa huku za Zanzibar zikifichwa hiyo siyo sawa kufanyiwa Tanganyika huo ndiyo ukweli ....... anagongelea msumari wa maana ya uhuru na ardhi chifu Mwaihojo.... haiwezekani mababu wa Songea, Lindi, Kilwa kunyongwa na wajerumani wakipigania ardhi yao halafu sasa tunagawa na kufukuza wenyeji wa Ngorongoro, Loliondo, Mtwara n.k hii siyo sawa ...

Hoja zetu za CCM kupitia kwa Ally Hapi katibu mkuu wa WAZAZI Jumuiya ya CCM kuwalinganisha Mzee Ali Mwinyi ni Julius Nyerere ni hoja dhaifu. Kwani uchumi uliyumba kutokana na vita vya Kagera dhidi ya Nduli Idd Amini Dada na kabla ya Tanzania kuingia vitani kutetea ardhi ya Kagera mwalimu Nyerere alitoa angalizo uchumi utayumba kwa miaka 10 hivyo siyo kweli sera za uchumi za Nyerere zilidhoofisha uchumi wa nchi kisha Mzee Ali Hassan Mwinyi kuwa mkombozi wa kiuchumi kupitia sera za ruksa .......

Sera za ruksa za Ali Hassan Mwinyi zilisababisha viwanda vya ndani kama vya textile pamba, nguo, chai, matairi general tyre, mafuta ya kula n.k vilivyotapakaa nchi nzima Tanganyika vipigwe mnada na kugeuzwa magodauni / ghala na kuendelea kuuzwa na Benjamin Mkapa ..... hii imesababisha tatizo la ajira kwa vijana . ... hapa Mbeya kulikuwa na viwanda vingi vilivyotoa ajira kule Tanga, Mwanza, Tabora n.k kulijaa viwanda Mzee Mwinyi na Benjamin Mkap .....
 
Wenye masikio serikalini, bungeni na katika chama dola kongwe CCM mmemsikia mwanachama wenu mzalendo wa kweli anayependa nchi yake maoni yake mazito yenye hoja
 
Leo makala alikuwa anabwabwaja wasafi tv.aliulizwa ajibu hoja za tundulisu anaishia kusema, Hawa hawaeleweki mara Muungano Huu ni wa kipekee.suluhisho hapa ni serikali tatu na mkijifanya ccm kuziba masikio ipo siku tutatumia hata mtutu kuidai Tanganyika
 
Leo makala alikuwa anabwabwaja wasafi tv.aliulizwa ajibu hoja za tundulisu anaishia kusema, Hawa hawaeleweki mara Muungano Huu ni wa kipekee.suluhisho hapa ni serikali tatu na mkijifanya ccm kuziba masikio ipo siku tutatumia hata mtutu kuidai Tanganyika
Mtutu utautoa Wapi?
 
Mbeya, Tanzania

Tundu Lissu / Kinana wamuibua Chifu Mwaihojo, ataka somo la Muungano kuanzishwa​


View: https://m.youtube.com/watch?v=rsrEtEaFwGg
Source : busokelo tv

Mwanachama wa CCM Chifu Mwaihojo asema Tundu Lissu anahoja nzito lakini viongozi wa CCM wanajibu hoja za Muungano kisiasa bila majibu toshelezi


Mwanachama huyo toka enzi za TANU Youth league ameona muungano ukiasisiwa mwaka 1964 akiwa shule ya msingi darasa la saba.

Chifu Mwaihojo anaongeza amewasikiliza viongozi wake wa CCM kina Mzee Kinana, CPA Amos Makala, Ally Hapi n.k wakijaribu kujibu hoja za Tundu Lissu lakini wameshindwa kutoa majibu ya kuridhisha.

Chifu Mwaihojo ameongeza kuwa hoja na maswali ya Tundu Lissu yamegusa nyoyo za waTanzania wa kawaida Tanganyika na Zanzibar na ikiwa yatafanyiwa kazi yataimarisha muungano lakini majibu ya viongozi wa CCM hayajajibu hoja hivyo chama kongwe CCM wasipuuza maoni ya Tundu Lissu muungano huu utazidi kutetereka, kuyumba na unaweza kuvunjika .....

Chifu Mwaihojo anaongeza Muungano huu ulianza vizuri kwa kuwa na mambo ya muungano pia na yale ya Zanzibar na Tanganyika kupewa usimamizi tofauti lakini miaka ya sasa yamepuuzwa tofauti na vile wakati Nyerere na Mzee Abeid Karume waliyatenganisha mambo kadhaa yabaki ya Zanzibar na yale ya Tanganyika yalisimamiwa na makamu wa pili wa rais wa Muungano Rashidi Kawawa ....


Chifu Mwaihojo anasema hoja za CHADEMA na Tundu Lissu zimeshawishi wananchi na zipo katika lugha nyepesi inayoeleweka iliyochambua katiba na mienendo ya serikali ya CCM. Huku chama kongwe dola kikitumia zaidi kejeli, kutishia na maguvu badala ya kujibu hoja ili kurekebisha mapungufu ya kupuuza yale makubaliano ya mwanzo ya Nyerere na Karume ..... anaongea kwa masikitiko mwanachama mkongwe wa CCM Chifu Mwaihojo

Chifu Mwaihojo anasema somo la historia ya kweli ya Muungano lifundishwe badala ya maneno ya kisiasa ya CCM ndiyo iwe historia.

Akumbusha chifu Mwaihojo kuwa baada ya mapinduzi kiongozi wa kwanza alikuwa ni John Okello. Baadaye Nyerere aliwaita Karume na John Okello kuwaambia mapinduzi kuondoa waarabu madarakani kuwarudishia wazanzibari hayatakuwa yamefikiwa malengo ikiwa John Okello kutoka Uganda atasalia madarakani .....

Masuala ya bandari za Tanganyika kuuzwa huku za Zanzibar zikifichwa hiyo siyo sawa kufanyiwa Tanganyika huo ndiyo ukweli ....... anagongelea msumari wa maana ya uhuru na ardhi chifu Mwaihojo.... haiwezekani mababu wa Songea, Lindi, Kilwa kunyongwa na wajerumani wakipigania ardhi yao halafu sasa tunagawa na kufukuza wenyeji wa Ngorongoro, Loliondo, Mtwara n.k hii siyo sawa ...

Hoja zetu za CCM kupitia kwa Ally Hapi katibu mkuu wa WAZAZI Jumuiya ya CCM kuwalinganisha Mzee Ali Mwinyi ni Julius Nyerere ni hoja dhaifu. Kwani uchumi uliyumba kutokana na vita vya Kagera dhidi ya Nduli Idd Amini Dada na kabla ya Tanzania kuingia vitani kutetea ardhi ya Kagera mwalimu Nyerere alitoa angalizo uchumi utayumba kwa miaka 10 hivyo siyo kweli sera za uchumi za Nyerere zilidhoofisha uchumi wa nchi kisha Mzee Ali Hassan Mwinyi kuwa mkombozi wa kiuchumi kupitia sera za ruksa .......

Sera za ruksa za Ali Hassan Mwinyi zilisababisha viwanda vya ndani kama vya textile pamba, nguo, chai, matairi general tyre, mafuta ya kula n.k vilivyotapakaa nchi nzima Tanganyika vipigwe mnada na kugeuzwa magodauni / ghala na kuendelea kuuzwa na Benjamin Mkapa ..... hii imesababisha tatizo la ajira kwa vijana . ... hapa Mbeya kulikuwa na viwanda vingi vilivyotoa ajira kule Tanga, Mwanza, Tabora n.k kulijaa viwanda Mzee Mwinyi na Benjamin Mkap .....

Mbona huyu anayejiita Chifu Mwaihojo amepitwa na wakati?? Kazi za machifu ni kufanya uchawi tu. Atupishe kushoto huyu
 
Mbona huyu anayejiita Chifu Mwaihojo amepitwa na wakati?? Kazi za machifu ni kufanya uchawi tu. Atupishe kushoto huyu

Hapo ndipo babu yetu msomi aliyehitimu vyuo vya nje ya nchi chifu Mwaihojo anapinga hoja dhaifu zisizojibu hoja zake chifu na pia zisizojibu hoja za Tundu Lissu wa CHADEMA kuhusu muungano unavyo chakachuliwa na CCM huku zikipelekea mali za Tanganyika kuonekana hazina mwenyewe hivyo kila kukicha zinapigwa mnada ...
 
Ni kweli kabisa ... Wanaojiita WAZANZIBAR ndiyo wanatubagua sisi tusio Wazanzibar.

Kujitambulisha kama Mzanzibar ni sawa na Mimi kujitambulisha kama Msukuma ndani ya Tanzania.
 
Mbeya, Tanzania

Tundu Lissu / Kinana wamuibua Chifu Mwaihojo, ataka somo la Muungano kuanzishwa​


View: https://m.youtube.com/watch?v=rsrEtEaFwGg
Source : busokelo tv

Mwanachama wa CCM Chifu Mwaihojo asema Tundu Lissu anahoja nzito lakini viongozi wa CCM wanajibu hoja za Muungano kisiasa bila majibu toshelezi


Mwanachama huyo toka enzi za TANU Youth league ameona muungano ukiasisiwa mwaka 1964 akiwa shule ya msingi darasa la saba.

Chifu Mwaihojo anaongeza amewasikiliza viongozi wake wa CCM kina Mzee Kinana, CPA Amos Makala, Ally Hapi n.k wakijaribu kujibu hoja za Tundu Lissu lakini wameshindwa kutoa majibu ya kuridhisha.

Chifu Mwaihojo ameongeza kuwa hoja na maswali ya Tundu Lissu yamegusa nyoyo za waTanzania wa kawaida Tanganyika na Zanzibar na ikiwa yatafanyiwa kazi yataimarisha muungano lakini majibu ya viongozi wa CCM hayajajibu hoja hivyo chama kongwe CCM wasipuuza maoni ya Tundu Lissu muungano huu utazidi kutetereka, kuyumba na unaweza kuvunjika .....

Chifu Mwaihojo anaongeza Muungano huu ulianza vizuri kwa kuwa na mambo ya muungano pia na yale ya Zanzibar na Tanganyika kupewa usimamizi tofauti lakini miaka ya sasa yamepuuzwa tofauti na vile wakati Nyerere na Mzee Abeid Karume waliyatenganisha mambo kadhaa yabaki ya Zanzibar na yale ya Tanganyika yalisimamiwa na makamu wa pili wa rais wa Muungano Rashidi Kawawa ....


Chifu Mwaihojo anasema hoja za CHADEMA na Tundu Lissu zimeshawishi wananchi na zipo katika lugha nyepesi inayoeleweka iliyochambua katiba na mienendo ya serikali ya CCM. Huku chama kongwe dola kikitumia zaidi kejeli, kutishia na maguvu badala ya kujibu hoja ili kurekebisha mapungufu ya kupuuza yale makubaliano ya mwanzo ya Nyerere na Karume ..... anaongea kwa masikitiko mwanachama mkongwe wa CCM Chifu Mwaihojo

Chifu Mwaihojo anasema somo la historia ya kweli ya Muungano lifundishwe badala ya maneno ya kisiasa ya CCM ndiyo iwe historia.

Akumbusha chifu Mwaihojo kuwa baada ya mapinduzi kiongozi wa kwanza alikuwa ni John Okello. Baadaye Nyerere aliwaita Karume na John Okello kuwaambia mapinduzi kuondoa waarabu madarakani kuwarudishia wazanzibari hayatakuwa yamefikiwa malengo ikiwa John Okello kutoka Uganda atasalia madarakani .....

Masuala ya bandari za Tanganyika kuuzwa huku za Zanzibar zikifichwa hiyo siyo sawa kufanyiwa Tanganyika huo ndiyo ukweli ....... anagongelea msumari wa maana ya uhuru na ardhi chifu Mwaihojo.... haiwezekani mababu wa Songea, Lindi, Kilwa kunyongwa na wajerumani wakipigania ardhi yao halafu sasa tunagawa na kufukuza wenyeji wa Ngorongoro, Loliondo, Mtwara n.k hii siyo sawa ...

Hoja zetu za CCM kupitia kwa Ally Hapi katibu mkuu wa WAZAZI Jumuiya ya CCM kuwalinganisha Mzee Ali Mwinyi ni Julius Nyerere ni hoja dhaifu. Kwani uchumi uliyumba kutokana na vita vya Kagera dhidi ya Nduli Idd Amini Dada na kabla ya Tanzania kuingia vitani kutetea ardhi ya Kagera mwalimu Nyerere alitoa angalizo uchumi utayumba kwa miaka 10 hivyo siyo kweli sera za uchumi za Nyerere zilidhoofisha uchumi wa nchi kisha Mzee Ali Hassan Mwinyi kuwa mkombozi wa kiuchumi kupitia sera za ruksa .......

Sera za ruksa za Ali Hassan Mwinyi zilisababisha viwanda vya ndani kama vya textile pamba, nguo, chai, matairi general tyre, mafuta ya kula n.k vilivyotapakaa nchi nzima Tanganyika vipigwe mnada na kugeuzwa magodauni / ghala na kuendelea kuuzwa na Benjamin Mkapa ..... hii imesababisha tatizo la ajira kwa vijana . ... hapa Mbeya kulikuwa na viwanda vingi vilivyotoa ajira kule Tanga, Mwanza, Tabora n.k kulijaa viwanda Mzee Mwinyi na Benjamin Mkap .....

tatizo ni external forces kufunga mawazo huru ya waTanzania na kuwafanya vibaraka woa 🐒

umekua kiongozi miaka nena miaka rudi unaishi kwenye muungano ambao unayoyaibua leo yalikuepo dhahiri shahiri. kwasabb ulikua na fikra huru hapakua na tatizo 🐒

Leo hii unafadhiliwa na mabwenyenye kama puppet wao humu nchini ndio unaona kuna dosari 🐒

la msingi na la maana zaidi kupuuzwa tu kama ilivyo sasa. ukibabaika na hoja hiyo ni kubabaika na mabwenyenye ya ng'ambo, sio huyo anaedhaniwa ndio mwenye hoja, ambayo kwakweli si hoja ni malalamiko tu 🐒
 
Chifu Mwaihojo anasema somo la historia ya kweli ya Muungano lifundishwe badala ya maneno ya kisiasa ya CCM ndiyo iwe historia
Mzee kafunga mjadala Sasa wazee kama Hawa SI ndiyo wakupewa uenezi huko maccm angalau unajua anaongea nini!
 
Mzee kafunga mjadala Sasa wazee kama Hawa SI ndiyo wakupewa uenezi huko maccm angalau unajua anaongea nini!

Nchi hii tuna hazina kubwa za wazee kama hawa wastaafu wasiokuwa na nyadhifa ktk chama na serikali wenye maono
 
Mzee Ni Turufu Huyu Kaongea Mazito Akiisihi CCM Ijibu Hoja
 
Utimamu wa huyu Mzee ni mwingi mno ccm hawawezi kumuelewa, ccm hawanaga uwezo wa kuelewa mambo kama haya.
 
Back
Top Bottom