johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tayari Vijana wa Bavicha kutoka Makao makuu wameshaelekea mkoani Singida kwa maandalizi ya mkutano huo wa kihistoria
Ikumbukwe Iramba ndio Nyumbani kwa Mawaziri Wawili nyeti sana nchini tena Wasomi wanaotegemewa na taifa Dr Mwigullu PhD na Prof Kitila Mkumbo
Mkutano utafanyika weekend hii
Tuzidi kuwaombea Wananchi Wote wa Iramba 😄
Ikumbukwe Iramba ndio Nyumbani kwa Mawaziri Wawili nyeti sana nchini tena Wasomi wanaotegemewa na taifa Dr Mwigullu PhD na Prof Kitila Mkumbo
Mkutano utafanyika weekend hii
Tuzidi kuwaombea Wananchi Wote wa Iramba 😄
