Tetesi: Tundu Lissu kuondoka CHADEMA?

Tetesi: Tundu Lissu kuondoka CHADEMA?

Kutoka viunga vya ufipa gazeti la Mwangaza limedokeza kuwa Kada machachari wa Chadema anaweza kuuondoka chama hicho muda wowote kuanzia hivi sasa.

Tundu Lissu aliondoka nchi mwisho mwa mwezi Juni na kwenda nchi ubelgiji kwa matibabu inasemakana kuondoka kwakwe kulitokana na kutokuridhishwa na hali ya kutengwa yeye na timu yake.

Awali ilisemekana kuwa Lissu ataungana na Mbowe katika mikutano ya Karatu na Ngorongoro lakini alihudhuria mkutano wa Karatu pekee ile iliyofanyika Ngorongoro hakutokea.

Inawezekana Lissu amechukizwa na kitendo cha Mwenyekiti kutumia chopa iliyokuwa brand kwa picha yake huku Lissu akishindwa kuchangiwa gari na wanachama jambo ambalo limekwama njiani..?

View attachment 3038613
CHAWA KAZINI
 
Kutoka viunga vya ufipa gazeti la Mwangaza limedokeza kuwa Kada machachari wa Chadema anaweza kuuondoka chama hicho muda wowote kuanzia hivi sasa.

Tundu Lissu aliondoka nchi mwisho mwa mwezi Juni na kwenda nchi ubelgiji kwa matibabu inasemakana kuondoka kwakwe kulitokana na kutokuridhishwa na hali ya kutengwa yeye na timu yake.

Awali ilisemekana kuwa Lissu ataungana na Mbowe katika mikutano ya Karatu na Ngorongoro lakini alihudhuria mkutano wa Karatu pekee ile iliyofanyika Ngorongoro hakutokea.

Inawezekana Lissu amechukizwa na kitendo cha Mwenyekiti kutumia chopa iliyokuwa brand kwa picha yake huku Lissu akishindwa kuchangiwa gari na wanachama jambo ambalo limekwama njiani..?

View attachment 3038613
Kila siku ngonjera hizi hizi huyo Msigwa nje ya Chadema hana kitu jana si ndio tarehe 10 aliahidi atafanya mkutano imeshindikana tulieni Polisi wakiwaacha saa nne asubuhi mnakabidhi majimbo na urais
 
Kutoka viunga vya ufipa gazeti la Mwangaza limedokeza kuwa Kada machachari wa Chadema anaweza kuuondoka chama hicho muda wowote kuanzia hivi sasa.

Tundu Lissu aliondoka nchi mwisho mwa mwezi Juni na kwenda nchi ubelgiji kwa matibabu inasemakana kuondoka kwakwe kulitokana na kutokuridhishwa na hali ya kutengwa yeye na timu yake.

Awali ilisemekana kuwa Lissu ataungana na Mbowe katika mikutano ya Karatu na Ngorongoro lakini alihudhuria mkutano wa Karatu pekee ile iliyofanyika Ngorongoro hakutokea.

Inawezekana Lissu amechukizwa na kitendo cha Mwenyekiti kutumia chopa iliyokuwa brand kwa picha yake huku Lissu akishindwa kuchangiwa gari na wanachama jambo ambalo limekwama njiani..?

View attachment 3038613
Lissu, CCM? Amin nakuambia, siku Lissu akitua CCM, makada wote wa kijani including johnthebaptist (albaki machawa sugu) watatimkia CHADEMA kuepuka cheche za nyuklia. 😅
 
Kutoka viunga vya ufipa gazeti la Mwangaza limedokeza kuwa Kada machachari wa Chadema anaweza kuuondoka chama hicho muda wowote kuanzia hivi sasa.

Tundu Lissu aliondoka nchi mwisho mwa mwezi Juni na kwenda nchi ubelgiji kwa matibabu inasemakana kuondoka kwakwe kulitokana na kutokuridhishwa na hali ya kutengwa yeye na timu yake.

Awali ilisemekana kuwa Lissu ataungana na Mbowe katika mikutano ya Karatu na Ngorongoro lakini alihudhuria mkutano wa Karatu pekee ile iliyofanyika Ngorongoro hakutokea.

Inawezekana Lissu amechukizwa na kitendo cha Mwenyekiti kutumia chopa iliyokuwa brand kwa picha yake huku Lissu akishindwa kuchangiwa gari na wanachama jambo ambalo limekwama njiani..?

View attachment 3038613
Lissue hawezi hamia CCM wewee.labda kama atapewa kile cheo cha jaji mkuu ambacho alimnyima hayati JPM .Haahaaaaa

maana akigobea urais kupitia CCM ,sisi wasukuma tunamla kichwa mapema kwa kumsingizia kipenzi chetu
 
Tundu Lissu atakwenda Ccm akiwa na akili na uchangamfu wake, au atabadilishwa na kuwa msukule wa Amos Makalla?🤣
 
Kutoka viunga vya ufipa gazeti la Mwangaza limedokeza kuwa Kada machachari wa Chadema anaweza kuuondoka chama hicho muda wowote kuanzia hivi sasa.

Tundu Lissu aliondoka nchi mwisho mwa mwezi Juni na kwenda nchi ubelgiji kwa matibabu inasemakana kuondoka kwakwe kulitokana na kutokuridhishwa na hali ya kutengwa yeye na timu yake.

Awali ilisemekana kuwa Lissu ataungana na Mbowe katika mikutano ya Karatu na Ngorongoro lakini alihudhuria mkutano wa Karatu pekee ile iliyofanyika Ngorongoro hakutokea.

Inawezekana Lissu amechukizwa na kitendo cha Mwenyekiti kutumia chopa iliyokuwa brand kwa picha yake huku Lissu akishindwa kuchangiwa gari na wanachama jambo ambalo limekwama njiani..?

View attachment 3038613
Karibu chama kubwa tuijenge nchi...
 
Kutoka viunga vya ufipa gazeti la Mwangaza limedokeza kuwa Kada machachari wa Chadema anaweza kuuondoka chama hicho muda wowote kuanzia hivi sasa.

Tundu Lissu aliondoka nchi mwisho mwa mwezi Juni na kwenda nchi ubelgiji kwa matibabu inasemakana kuondoka kwakwe kulitokana na kutokuridhishwa na hali ya kutengwa yeye na timu yake.

Awali ilisemekana kuwa Lissu ataungana na Mbowe katika mikutano ya Karatu na Ngorongoro lakini alihudhuria mkutano wa Karatu pekee ile iliyofanyika Ngorongoro hakutokea.

Inawezekana Lissu amechukizwa na kitendo cha Mwenyekiti kutumia chopa iliyokuwa brand kwa picha yake huku Lissu akishindwa kuchangiwa gari na wanachama jambo ambalo limekwama njiani..?

View attachment 3038613


Tundu Lisu will never ever go to CCM
 
Kutoka viunga vya ufipa gazeti la Mwangaza limedokeza kuwa Kada machachari wa Chadema anaweza kuuondoka chama hicho muda wowote kuanzia hivi sasa.

Tundu Lissu aliondoka nchi mwisho mwa mwezi Juni na kwenda nchi ubelgiji kwa matibabu inasemakana kuondoka kwakwe kulitokana na kutokuridhishwa na hali ya kutengwa yeye na timu yake.

Awali ilisemekana kuwa Lissu ataungana na Mbowe katika mikutano ya Karatu na Ngorongoro lakini alihudhuria mkutano wa Karatu pekee ile iliyofanyika Ngorongoro hakutokea.

Inawezekana Lissu amechukizwa na kitendo cha Mwenyekiti kutumia chopa iliyokuwa brand kwa picha yake huku Lissu akishindwa kuchangiwa gari na wanachama jambo ambalo limekwama njiani..?

View attachment 3038613
Una maanisha Samia amekubali kumpisha Lissu agombee 2025?
 
Hizi ramli mpaka lini. Huyu ni Makamu Mwenyekiti na ndiye anayegemewa kupambana na Samia hivyo haondoki ngojeeni ngoma 2025
Hana nguvu ya kumtoa DrSSH tuone tuombe uhai tu! Nimekaa hapa
 
Kutoka viunga vya ufipa gazeti la Mwangaza limedokeza kuwa Kada machachari wa Chadema anaweza kuuondoka chama hicho muda wowote kuanzia hivi sasa.

Tundu Lissu aliondoka nchi mwisho mwa mwezi Juni na kwenda nchi ubelgiji kwa matibabu inasemakana kuondoka kwakwe kulitokana na kutokuridhishwa na hali ya kutengwa yeye na timu yake.

Awali ilisemekana kuwa Lissu ataungana na Mbowe katika mikutano ya Karatu na Ngorongoro lakini alihudhuria mkutano wa Karatu pekee ile iliyofanyika Ngorongoro hakutokea.

Inawezekana Lissu amechukizwa na kitendo cha Mwenyekiti kutumia chopa iliyokuwa brand kwa picha yake huku Lissu akishindwa kuchangiwa gari na wanachama jambo ambalo limekwama njiani..?

View attachment 3038613
Haiwezi tokea ,na kama itatokea basi laana kuu itakua juu yake asema Bwana
 
Back
Top Bottom