KwetuKwanza
Member
- Mar 13, 2023
- 82
- 150
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amekiri wazi kuwa chama chake kinapata wakati mgumu kupata wawakilishi wa Uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa kutoka na hitaji la wingi wa Wagombea.
Amesema hayo katika mahojiano na Chief Odemba wa Star TV.
Unadhani kwa kauli hii ndio kusema Lissu ananyoosha mikono juu au?
Soma Pia: Tundu Lissu amjibu Amos Makalla kutojiandikisha kwake "Nashangaa wanapewaje vyeo vikubwa na hawana uelewa"
Amesema hayo katika mahojiano na Chief Odemba wa Star TV.
Unadhani kwa kauli hii ndio kusema Lissu ananyoosha mikono juu au?
Soma Pia: Tundu Lissu amjibu Amos Makalla kutojiandikisha kwake "Nashangaa wanapewaje vyeo vikubwa na hawana uelewa"