LGE2024 Tundu Lissu: Kupata wagombea 380,000 Serikali za Mtaa ni changamoto kubwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

KwetuKwanza

Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
82
Reaction score
150
Ni kweli, unawapataje ukiwa katika hotel ya nyota tano ubeleji ukiponda raha
 
CHADEMA ipo taabani

Jiwe aliivuruga vyema
 
Watu serious wanajadili vitu kwa userious wake.
Kongole Tundu Lissu.
Si unasikia huko ccm wanapigana ngumi kila siku
 
Chadema inajiimarisha kutoka juu kwenda chini.....CCM inajiimarisha ikitokea chini kwenda juu.
 
Upinzani mpya unapaswa kuzaliwa, wenye agenda za kitaifa usio na mlengo wa kdini au Kanda flani!
 
Chadema ishakufu limebaki genge la wahuni wachache
Ingekufa majeshi yote ya serikali yangejitokeza kupambana na mfu? CCM bila mbeleko ya vyombo vya dola ni kama TLP tu
 

Attachments

  • Screenshot_2024-09-25-20-18-05-1.png
    589.7 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1727185842688.jpg
    37.8 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1727158232732.jpg
    48 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1727158226330.jpg
    48.9 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1727145615769.jpg
    88.5 KB · Views: 4
  • 5811771-84b12f6d5ff81d807821a183416ac2ed.mp4
    648.4 KB
  • JamiiForums-979014263.jpeg
    63 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…