Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kutoka kuwa mtafuta kura za huruma mpaka kuwa mchochezi ambaye anaachwa avunje Sheria

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kutoka kuwa mtafuta kura za huruma mpaka kuwa mchochezi ambaye anaachwa avunje Sheria

Shambulio la Lisu halihitaji uwe mwanasheria kujua nini kiliendelea na nani aliagiza hilo shambulio. Kunahitajika vyombo vya ulinzi vinavyotekeleza wajibu wake bila kuingiliwa na ibilisi fullstop.
tindo mbona unazungumzia shambulio lake tu? Hizi tuhuma za kutaka awekewe sumu mkononi? Tuhuma za kuwa ndege yake ilifunguliwa nati ili ipate hitilafu je? Hatakiwi kulipoti polisi? Hata kama vyombo vya uchunguzi unadai ibilisi amevishibiti. Mahakama kuu haiwezi kuvilazimisha vifanye kazi yake?
 
Nyani haoni...Wamejipa upofu wa kuona hayo yanayofanywa na Jiwe na watu wake.Mama Samia naye kanogewa na damu zetu,anaposema askari ya CCM Mpya hawapigi zaidi ya risasi tatu kama vile wanashambuliwa ni wanyama pori.Risasi za nini tena?
Siku zao zinahesabika
 
Narudia tena, hiyo 28/10 hakuna uchaguzi, bali ni kilele cha maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Natumai wewe ni mtu mweupe, na Kama wewe pia ni mweusi basi wewe ndie mjinga zaidi ya wale watakao kwenda kuonyesha ujinga wao kwenye boksi la Kura.
Kama ulipita shule utakuwa umenielewa, Ila Kama hukupita Basi utaamini kuwa nimekutukana.
 
We huwezi kujua hesabu, maana hujaenda shule. Kawalaumu wazazi wako
Ohooo..! wazazi wangu wameingiaje kwenye hoja yangu..? Mimi pia naweza kufanya hivyo, Ila sioni faida yake.Wewe unafanya hivyo kwasababu huna elimu, na Kama unayo,Basi haijakusaidia.
 
tindo mbona unazungumzia shambulio lake tu? Hizi tuhuma za kutaka awekewe sumu mkononi? Tuhuma za kuwa ndege yake ilifunguliwa nati ili ipate hitilafu je? Hatakiwi kulipoti polisi? Hata kama vyombo vya uchunguzi unadai ibilisi amevishibiti. Mahakama kuu haiwezi kuvilazimisha vifanye kazi yake?

Linapokuja suala la mpinzani haswa Lisu, mahakama haina uwezo wa kumtendea haki. Sina chembe ya shaka na maelezo haya.
 
Ohooo..! wazazi wangu wameingiaje kwenye hoja yangu..? Mimi pia naweza kufanya hivyo, Ila sioni faida yake.Wewe unafanya hivyo kwasababu huna elimu, na Kama unayo,Basi haijakusaidia.
Elimu ina msaada sana mkuu.. unaweza kurudi kusoma, sio dhambi
 
Natumai wewe ni mtu mweupe, na Kama wewe pia ni mweusi basi wewe ndie mjinga zaidi ya wale watakao kwenda kuonyesha ujinga wao kwenye boksi la Kura.
Kama ulipita shule utakuwa umenielewa, Ila Kama hukupita Basi utaamini kuwa nimekutukana.

Mkuu hiyo sentensi yangu haina mabadiliko bila kujali rangi yangu. Ukweli ni huo huo boss.
 
Back
Top Bottom