Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kutoka kuwa mtafuta kura za huruma mpaka kuwa mchochezi ambaye anaachwa avunje Sheria

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kutoka kuwa mtafuta kura za huruma mpaka kuwa mchochezi ambaye anaachwa avunje Sheria

Huyu Tundu Lissu alipokuja hapa Tanzania na CHADEMA kumpa ridhaa ya kugombea ubunge kama njia ya kumpoza baada ya wao Chadema kupanda njama za kumshambulia ili waichafue Tanzania, amekuwa kama mtu ambae hajui nini anakifanya majukwaani. Maana amekuwa mtu ambaye anaropoka maneno ya uchochezi ambayo nia yake ni kuleta fitina ili kuleta machafuko kwa nchi yetu.

Mgombea Urais ambae unatafuta kuwa rais wa JMT huwezi kuongea hoja ambazo hata mtu ambae hana akili timamu hawezi kuziamini. Mfano mgombea urais unasimama jukwaani na kusema eti Serikali inatengeneza njama za kuweka itilafu kwenye ndege unayosafiria ili upate ajali. Sasa kama una hakika na hili kwa nini usichukue hatua stahiki. Maana ndege unayosafiria ni ya kukodi. Sasa hao wamiliki wa hiyo ndege kwa nini usiwashitaki kwa kushiriki kupanga njama kubwa kama hizo? Maana hilo sio jambo dogo.

Unaenda Zanzibar bila aibu na bila kutumia busara unatamka kuwa, upinzani umekuwa unashinda uchaguzi wa Zanzibar tokea mwaka 1995. Je, unao ushahidi juu ya hili? Unaenda Zanzibar unadai kuwa eti Tanganyika inapeleka ubabe wake wa kijeshi Zanzibar je hiyo Tanganyika unayoisema ni ipi? Maana ibara ya pili ya katiba ya JMT ilifuta kitu kinachoitwa Tanganyika.

Sina mengi ya kusema ila wewe mgombea wa urais wa Chadema hakuna unachotafuta. Hii ni kwa sababu wewe unajitambua hufai kuwa rais wa JMT bali unaeneza siasa za chuki ili kuleta mifarakano na chuki ambayo matokeo yake ni vurugu.


MImi nakushahuri Mfungulie kesi mkapambane huko mahakamani, otherwise unachofanya hapa ni Umbea tu
 
Siku zao zinahesabika
Amen,tuwaelimishe wenzetu wanaopufushwa bila wao kupenda/kufahamu.Wanatishiwa kinyago walichokichonga 2015.Tupeane mbinu mbali mbali za kuwaangusha hawa wezi wasituibie kura tutakazopiga.

Wanasheria wetu tunawaomba muandae namna ya kutururhusu sisi wapiga kura kuzilinda kura zetu kisheria hadi matokeo halali yatangazwe.Tukishindwa kwenye sanduku la kura sawa,ila tukishinda pia iwe ni haki yetu kutangazwa.Tuilinde kura hata moja ya Mtanzania mwenzetu na ihesabiwe na kutangazwa bila hiyana.Pia turuhusiwe kuzilinda dhidi ya watu wenye nia mbovu wakitaka kupotosha kura za Watanzania.
 
Huyu Tundu Lissu alipokuja hapa Tanzania na CHADEMA kumpa ridhaa ya kugombea ubunge kama njia ya kumpoza baada ya wao Chadema kupanda njama za kumshambulia ili waichafue Tanzania, amekuwa kama mtu ambae hajui nini anakifanya majukwaani. Maana amekuwa mtu ambaye anaropoka maneno ya uchochezi ambayo nia yake ni kuleta fitina ili kuleta machafuko kwa nchi yetu.

Mgombea Urais ambae unatafuta kuwa rais wa JMT huwezi kuongea hoja ambazo hata mtu ambae hana akili timamu hawezi kuziamini. Mfano mgombea urais unasimama jukwaani na kusema eti Serikali inatengeneza njama za kuweka itilafu kwenye ndege unayosafiria ili upate ajali. Sasa kama una hakika na hili kwa nini usichukue hatua stahiki. Maana ndege unayosafiria ni ya kukodi. Sasa hao wamiliki wa hiyo ndege kwa nini usiwashitaki kwa kushiriki kupanga njama kubwa kama hizo? Maana hilo sio jambo dogo.

Unaenda Zanzibar bila aibu na bila kutumia busara unatamka kuwa, upinzani umekuwa unashinda uchaguzi wa Zanzibar tokea mwaka 1995. Je, unao ushahidi juu ya hili? Unaenda Zanzibar unadai kuwa eti Tanganyika inapeleka ubabe wake wa kijeshi Zanzibar je hiyo Tanganyika unayoisema ni ipi? Maana ibara ya pili ya katiba ya JMT ilifuta kitu kinachoitwa Tanganyika.

Sina mengi ya kusema ila wewe mgombea wa urais wa Chadema hakuna unachotafuta. Hii ni kwa sababu wewe unajitambua hufai kuwa rais wa JMT bali unaeneza siasa za chuki ili kuleta mifarakano na chuki ambayo matokeo yake ni vurugu.
Lisu haaminiki
 
Yapi hayo, fafanua ukiwa na ushahidi. Maana hili la ndege kufunguliwa nati ili afe hata kiziwi analijua
Nani alifungua nati?
Mbona hao wenye ndege hawajatoa taarifa police kama ni kweli?
Je tundu lisu ndo police wa hao wenye ndege?
Nyumbu mna mambo ya kishamba sana na TUNDU lenu, akiki zenu zote ni kuvuka mto tu bila kutumia ubongo.
 
Huyu Tundu Lissu alipokuja hapa Tanzania na CHADEMA kumpa ridhaa ya kugombea ubunge kama njia ya kumpoza baada ya wao Chadema kupanda njama za kumshambulia ili waichafue Tanzania, amekuwa kama mtu ambae hajui nini anakifanya majukwaani. Maana amekuwa mtu ambaye anaropoka maneno ya uchochezi ambayo nia yake ni kuleta fitina ili kuleta machafuko kwa nchi yetu.

Mgombea Urais ambae unatafuta kuwa rais wa JMT huwezi kuongea hoja ambazo hata mtu ambae hana akili timamu hawezi kuziamini. Mfano mgombea urais unasimama jukwaani na kusema eti Serikali inatengeneza njama za kuweka itilafu kwenye ndege unayosafiria ili upate ajali. Sasa kama una hakika na hili kwa nini usichukue hatua stahiki. Maana ndege unayosafiria ni ya kukodi. Sasa hao wamiliki wa hiyo ndege kwa nini usiwashitaki kwa kushiriki kupanga njama kubwa kama hizo? Maana hilo sio jambo dogo.

Unaenda Zanzibar bila aibu na bila kutumia busara unatamka kuwa, upinzani umekuwa unashinda uchaguzi wa Zanzibar tokea mwaka 1995. Je, unao ushahidi juu ya hili? Unaenda Zanzibar unadai kuwa eti Tanganyika inapeleka ubabe wake wa kijeshi Zanzibar je hiyo Tanganyika unayoisema ni ipi? Maana ibara ya pili ya katiba ya JMT ilifuta kitu kinachoitwa Tanganyika.

Sina mengi ya kusema ila wewe mgombea wa urais wa Chadema hakuna unachotafuta. Hii ni kwa sababu wewe unajitambua hufai kuwa rais wa JMT bali unaeneza siasa za chuki ili kuleta mifarakano na chuki ambayo matokeo yake ni vurugu.
Na Magufuli itahakikisha CCM na vyama vyote vinakufa , ibaki team magufuli tu
 
Hapo kwenye kushambuliwa lisu kuwa ni mipango ya chadema wenyewe UMEPOTEZA POINT
 
Utajuaje na hujaenda shule?
Tulia Mushi. Hakuna aliyemkataza Kimei kuongea kichagga mkutanoni.

Kumbuka kuwa kuna mababu na mabibi wa kimasai mpaka kesho wanatafsiriwa wakiongea na watu wa serikali.

Ina maana mbunge wa kimasai akiongea kimasai kwa faida ya wazee kama hao anakuwa anafanya kosa?.

Sio kila kitu kipingwe tu hata kama hakuna umuhimu.
 
tindo mbona unazungumzia shambulio lake tu? Hizi tuhuma za kutaka awekewe sumu mkononi? Tuhuma za kuwa ndege yake ilifunguliwa nati ili ipate hitilafu je? Hatakiwi kulipoti polisi? Hata kama vyombo vya uchunguzi unadai ibilisi amevishibiti. Mahakama kuu haiwezi kuvilazimisha vifanye kazi yake?

Hao ni wazee wa kutaka kuhurumiwa katika kila jambo.
 
Tulia Mushi. Hakuna aliyemkataza Kimei kuongea kichagga mkutanoni.

Kumbuka kuwa kuna mababu na mabibi wa kimasai mpaka kesho wanatafsiriwa wakiongea na watu wa serikali.

Ina maana mbunge wa kimasai akiongea kimasai kwa faida ya wazee kama hao anakuwa anafanya kosa?.

Sio kila kitu kipingwe tu hata kama hakuna umuhimu.
Lugha za Taifa zinazotambuliwa na katiba unazifahamu?
 
Ahaaaa. Sasa kwa nini Lissu anahangaika kupanda ndege ambazo zimefunguliwa nati ili afe?
Ndege wamekodi wenyewe, Sasa serikali inahusika vipi kwenye hiyo ndege mbovu? Kwanini asiiache akatumia boti kwenda Zanzibar? Au nayo imefunguliwa nati?
 
Huyu Tundu Lissu alipokuja hapa Tanzania na CHADEMA kumpa ridhaa ya kugombea ubunge kama njia ya kumpoza baada ya wao CHADEMA kupanda njama za kumshambulia ili waichafue Tanzania, amekuwa kama mtu ambae hajui nini anakifanya majukwaani. Maana amekuwa mtu ambaye anaropoka maneno ya uchochezi ambayo nia yake ni kuleta fitina ili kuleta machafuko kwa nchi yetu.

Mgombea Urais ambae unatafuta kuwa rais wa JMT huwezi kuongea hoja ambazo hata mtu ambae hana akili timamu hawezi kuziamini. Mfano mgombea urais unasimama jukwaani na kusema eti Serikali inatengeneza njama za kuweka itilafu kwenye ndege unayosafiria ili upate ajali. Sasa kama una hakika na hili kwa nini usichukue hatua stahiki. Maana ndege unayosafiria ni ya kukodi. Sasa hao wamiliki wa hiyo ndege kwa nini usiwashitaki kwa kushiriki kupanga njama kubwa kama hizo? Maana hilo sio jambo dogo.

Unaenda Zanzibar bila aibu na bila kutumia busara unatamka kuwa, upinzani umekuwa unashinda uchaguzi wa Zanzibar tokea mwaka 1995. Je, unao ushahidi juu ya hili? Unaenda Zanzibar unadai kuwa eti Tanganyika inapeleka ubabe wake wa kijeshi Zanzibar je hiyo Tanganyika unayoisema ni ipi? Maana ibara ya pili ya katiba ya JMT ilifuta kitu kinachoitwa Tanganyika.

Sina mengi ya kusema ila wewe mgombea wa urais wa CHADEMA hakuna unachotafuta. Hii ni kwa sababu wewe unajitambua hufai kuwa rais wa JMT bali unaeneza siasa za chuki ili kuleta mifarakano na chuki ambayo matokeo yake ni vurugu.
Binti tulia basi
 
Nina amini sana members wa jf kwa uwezo Mkubwa wa I,Q zao,hawezi kudanganywa kitoto hivyo,Eti,mabeberu sijui anatumwa na wazungusijui msaliti,huu ni uwongo wa kitoto,
 
Huyu Tundu Lissu alipokuja hapa Tanzania na CHADEMA kumpa ridhaa ya kugombea ubunge kama njia ya kumpoza baada ya wao CHADEMA kupanda njama za kumshambulia ili waichafue Tanzania, amekuwa kama mtu ambae hajui nini anakifanya majukwaani. Maana amekuwa mtu ambaye anaropoka maneno ya uchochezi ambayo nia yake ni kuleta fitina ili kuleta machafuko kwa nchi yetu.

Mgombea Urais ambae unatafuta kuwa rais wa JMT huwezi kuongea hoja ambazo hata mtu ambae hana akili timamu hawezi kuziamini. Mfano mgombea urais unasimama jukwaani na kusema eti Serikali inatengeneza njama za kuweka itilafu kwenye ndege unayosafiria ili upate ajali. Sasa kama una hakika na hili kwa nini usichukue hatua stahiki. Maana ndege unayosafiria ni ya kukodi. Sasa hao wamiliki wa hiyo ndege kwa nini usiwashitaki kwa kushiriki kupanga njama kubwa kama hizo? Maana hilo sio jambo dogo.

Unaenda Zanzibar bila aibu na bila kutumia busara unatamka kuwa, upinzani umekuwa unashinda uchaguzi wa Zanzibar tokea mwaka 1995. Je, unao ushahidi juu ya hili? Unaenda Zanzibar unadai kuwa eti Tanganyika inapeleka ubabe wake wa kijeshi Zanzibar je hiyo Tanganyika unayoisema ni ipi? Maana ibara ya pili ya katiba ya JMT ilifuta kitu kinachoitwa Tanganyika.

Sina mengi ya kusema ila wewe mgombea wa urais wa CHADEMA hakuna unachotafuta. Hii ni kwa sababu wewe unajitambua hufai kuwa rais wa JMT bali unaeneza siasa za chuki ili kuleta mifarakano na chuki ambayo matokeo yake ni vurugu.
Tundu Lissu anashindwa kujidhatiti katika hoja, amekuwa akishambulia ajenda ambazo sio sera. Anaendelea kupoteza idadi wa wapiga kura wachache aliokuwa nao.
 
Tulia Mushi. Hakuna aliyemkataza Kimei kuongea kichagga mkutanoni.

Kumbuka kuwa kuna mababu na mabibi wa kimasai mpaka kesho wanatafsiriwa wakiongea na watu wa serikali.

Ina maana mbunge wa kimasai akiongea kimasai kwa faida ya wazee kama hao anakuwa anafanya kosa?.

Sio kila kitu kipingwe tu hata kama hakuna umuhimu.
Matunda ya Miaka 43 ya Utawala wa CCM Maradhi, Ujinga na Umaskini wa kutupwa. Walau wakati wa TANU hawajamaa walikuwa wanakondeana... tangu CCM ifanye Azimio la Zanzibar 1992, kasi ya unono na ukibonge inaongezea maradufu!
 
CCM siwaelewi wana mpango gani na majimbo ya Mbeya mjini na Iringa mjini. Kwa nini wameamua kuwateua hawa mashuga mami? Hivi ni kweli CCM haina mbadala wa shangingi Jesca? Niliwahi kwenda Iringa Mjini pale nikakutana naye kavaa kisuruali kimebana utafikiri changudoa. Na haka kajitu ka kuletwa Mbeya mjini nako, mweee. Kaniwekwa bungeni kutoka kusikojulikana kakawekwa kwenye kiti cha naibu spika, na sasa kamepelekwa kutoka kusikojulikana kakawekwa Mbeya mjini. Katamweza Rais wa Mbeya, a.k.a Sugu.
Hofu yangu tu yasije kutokea ya WENJE kule Mwanza tukakosa Kiongozi mzuri sababu ya Unyumbani
 
Back
Top Bottom