hakika hamhitaji dawa mtaendelea kuwa vichaa juu ya kichaa mwenzenu lissu tafuteni mganga awagangue mpone huko siyo sahihi kwa maisha ya binaadamuMkuu nani kwakwambia kwa upendo tuliokuwa nao kwa Mh. Lissu tunaitaji dawa kama Kuna mwengine azidi kutuloga ili tumpende zaidi
Basi hilo jeshi ndilo litakalowajibika kuhakikisha usalama wa lissu unakuwepo wakati wote.sasa hivi nani anakulinda kama siyo jeshi la polisi acheni umbumbumbu
Akili za makalioni.Huyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA
Siamini kama Kuna binadamu anaweza kulinda uhai wangu na mengine kwangu,Bali naamini Allah kwangu ndio mlinzi wangu si binadamuKama Jeshi la polisi litashindwa kulinda raia na mali zao Nani atakae Kua salama..?
nyie mtakachokitaka msubiiri kizazi chetu kipite hatutaki kuongozwa na mrpokaji kama huyo hatufai tukiondoka ndiyo mumuchague aje awateseTutaomba Msaada popote hata Kwa Shetani kulitoa Dude SSM Madarakani
yaani huyu anakuja kuleta ukoloniatawalipa nini wafadhiri kama siyo rasilimali za nchiAkili za makalioni.
Hiyo ni imani yako na una haki yangu kuamini unachokiamini mkuuSiamini kama Kuna binadamu anaweza kulinda uhai wangu na mengine kwangu,Bali naamini Allah kwangu ndio mlinzi wangu si binadamu
Utaongozwa Tu na Mume utapatiwanyie mtakachokitaka msubiiri kizazi chetu kipite hatutaki kuongozwa na mrpokaji kama huyo hatufai tukiondoka ndiyo mumuchague aje awatese
Hivi hizi comments zako point yako iko wapi maana naona unaluka luka kama maharage jikoni kuendelea kukujibishana na wewe ni matumizi mabaya ya mda.hakika hamhitaji dawa mtaendelea kuwa vichaa juu ya kichaa mwenzenu lissu tafuteni mganga awagangue mpone huko siyo sahihi kwa maisha ya binaadamu
Bora mabeberu kuliko hilo zigo lililopo kigambonHuyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....
Tatizo la mtu huyu ni kuamini kwamba ana ubora wa juu zaidi yetu. Anaamini tunamsubili sana arudi. Ukiona mtu anaeleza ujio wake kwa miezi hiyo, anaamini ujio huo ni muhimu sana. Yeye atueleze juu ya afya yake. Kama imeimalika, basi arudi awasaidie wana Ikungi badala ya kuwakoga kwa mambo ya uhuru sijii wa kitu gani. Hakuchaguliwa kuwafundisha watu mambo ya uhuru wa Tanganyika.Shujaa Mhe. Tundu Lissu anatarajiwa kutua nchini siku ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanzania tarehe 09.12 na kupokelewa na viongozi, wanachama na wafuasi wa vyama 9 vya upinzani ambavyo vimedhibitisha kushiriki kwenye mapokezi hayo. Baada ya kupokewa Mhe. Tundu Lissu anafikia kwenye moja ya hoteli mashuhuri jijini Dar-es-salaam na kuzungumza na Watanzania.
Moja ya ajenda kuu ni mweleko wa Tanzania kisiasa, kiuchumi na kijamii lakini vilevile atajikita katika mwelekeo ya nchi kwenye diplomasia ya kimataifa. Baada ya tarehe 09.12.2019 kunatarajiwa na kuwa na misa ya shukrani ambayo inatarajiwa kufanyika jijini Dar-es-salaam ikiongozwa na viongozi wa dini kutoka madhehebu mbalimbali. Katika hatua za sasa maandalizi yanaendelea kuhakikisha kunakuwepo na usalama wa kutosha nchini kwa uangalizi wa vyombo vya kimataifa.
Hata mimi nina wasi wasi sana na usalama wake kwakuwa wabaya wake bado wapo. Juzi wamemteka Mdude sasa huyu safari hii wanaweza kuamua kumwangamiza kwa njia nyingine. Na je dereva wake atarudi au atabaki huko huko?Why asikae hukohuko hadi utawala huu upite.
KAMWENE!!!!!Shujaa Mhe. Tundu Lissu anatarajiwa kutua nchini siku ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika tarehe 09.12 na kupokelewa na viongozi, wanachama na wafuasi wa vyama 9 vya upinzani ambavyo vimedhibitisha kushiriki kwenye mapokezi hayo. Baada ya kupokewa Mhe. Tundu Lissu anafikia kwenye moja ya hoteli mashuhuri jijini Dar-es-salaam na kuzungumza na Watanzania.
Moja ya ajenda kuu ni mweleko wa Tanzania kisiasa, kiuchumi na kijamii lakini vilevile atajikita katika mwelekeo ya nchi kwenye diplomasia ya kimataifa. Baada ya tarehe 09.12.2019 kunatarajiwa na kuwa na misa ya shukrani ambayo inatarajiwa kufanyika jijini Dar-es-salaam ikiongozwa na viongozi wa dini kutoka madhehebu mbalimbali. Katika hatua za sasa maandalizi yanaendelea kuhakikisha kunakuwepo na usalama wa kutosha nchini kwa uangalizi wa vyombo vya kimataifa.
Mkuu nimejikuta nawaza kama atakuwa salama kwa Mara nyingine comment yangu nimeandika kwa masikitiko mno.
TL akumbuke wasiojulikana bado wapo na hawajajulikana. Angekaa huko huko tu had I 2026.Tundu Lissu you are still not needed, hawa watu sio wazuri, juzi tu wamemteka mdude CHADEMA, nakushauri uje baada ya miaka sita ijayo.