thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
Siku zitasogezwa mara pap,kama Kambona[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh, Lissu alipopigwa risasi,jeshi la polisi lilikuwa wapi hivi nyie watu hayo kwenu ni mahaba au ni ujinga?Jeshi la polisi ndilo lenye jukumu la kulinda raia na mali zao. Na ndio wana jukumu la kumlinda pia Lissu ni wajibu wao.
polisi haichagui wa kumlinda inalinda raia wote sasa yeye ni nani ana uspecial gani?Jeshi la polisi ndilo lenye jukumu la kulinda raia na mali zao. Na ndio wana jukumu la kumlinda pia Lissu ni wajibu wao.
Unaniuliza mimi au SirroMh, Lissu alipopigwa risasi,jeshi la polisi lilikuwa wapi hivi nyie watu hayo kwenu ni mahaba au ni ujinga?
Sijui namuuliza naniUnaniuliza mimi au Sirro
Ujui kuwa ni raia wa Tanzania na ujui kazi ya jeshi la polisi ni kulinda raia na mali zao. Acha kukurupukapolisi haichagui wa kumlinda inalinda raia wote sasa yeye ni nani ana uspecial gani?
[emoji2445][emoji2445][emoji2445]Sijui namuuliza nani
Basi kesha ukisali maana ujui saa wala sikuSijui namuuliza nani
upumbavu gani umeandika hata sijakuelewaUjui kuwa ni raia wa Tanzania na ujui kazi ya jeshi la polisi ni kulinda raia na mali zao. Acha kukurupuka
Umekwisha kusema ni upumbavu sasa unataka kuuelewa wa niniupumbavu gani umeandika hata sijakuelewa
So unanitishaBasi kesha ukisali maana ujui saa wala siku
Bora Lissu kuliko hawa wanaotuteka na kutuua, Lissu Kwa kushirikiana na Mataifa ya nje watatutoa katika jehanamu hiiHuyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA
Na huo ndio ukweli uhai wake muhimu mno tunamuhitaji kuliko yeye anavyo tuhitaji sisi.Tundu Lissu you are still not needed, hawa watu sio wazuri, juzi tu wamemteka mdude CHADEMA, nakushauri uje baada ya miaka sita ijayo.
nyie akili yenu bado inahamu ya kutawaliwa yaani kila kitu watu wa nje huyo lisssu wanamtega tu usifikiri wanampenda wakija hao tayari tunaanza kuwa watumwa tenaBora Lissu kuliko hawa wanaotuteka na kutuua, Lissu Kwa kushirikiana na Mataifa ya nje watatutoa katika jehanamu hii
Kama Jeshi la polisi litashindwa kulinda raia na mali zao Nani atakae Kua salama..?So unanitisha
mlimuhitaji kuliko yaaani du mmelogwa na aliyewaloga keshakufa hamna pa kuponeaNa huo ndio ukweli uhai wake muhimu mno tunamuhitaji kuliko yeye anavyo tuhitaji sisi.
sasa hivi nani anakulinda kama siyo jeshi la polisi acheni umbumbumbuKama Jeshi la polisi litashindwa kulinda raia na mali zao Nani atakae Kua salama..?
Mkuu nani kwakwambia kwa upendo tuliokuwa nao kwa Mh. Lissu tunaitaji dawa kama Kuna mwengine azidi kutuloga ili tumpende zaidimlimuhitaji kuliko yaaani du mmelogwa na aliyewaloga keshakufa hamna pa kuponea
Which is GoodHuyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA