Tetesi: Tundu Lissu kutua nchini Dec 9, 2019

Tetesi: Tundu Lissu kutua nchini Dec 9, 2019

Status
Not open for further replies.
nyie mtakachokitaka msubiiri kizazi chetu kipite hatutaki kuongozwa na mrpokaji kama huyo hatufai tukiondoka ndiyo mumuchague aje awatese
Kikongwe nyie mko wachache Sana..na Magonjwa yenu nyemelezi . Na msitegemee vyombo vya ulinzi. . Vijana wakiamua Hakuna cha kuwafanya.. Ref:Zimbabwe, Sudan na Arab Spring
 
Shujaa Mhe. Tundu Lissu anatarajiwa kutua nchini siku ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika tarehe 09.12 na kupokelewa na viongozi, wanachama na wafuasi wa vyama 9 vya upinzani ambavyo vimedhibitisha kushiriki kwenye mapokezi hayo. Baada ya kupokewa Mhe. Tundu Lissu anafikia kwenye moja ya hoteli mashuhuri jijini Dar-es-salaam na kuzungumza na Watanzania.

Moja ya ajenda kuu ni mweleko wa Tanzania kisiasa, kiuchumi na kijamii lakini vilevile atajikita katika mwelekeo ya nchi kwenye diplomasia ya kimataifa. Baada ya tarehe 09.12.2019 kunatarajiwa na kuwa na misa ya shukrani ambayo inatarajiwa kufanyika jijini Dar-es-salaam ikiongozwa na viongozi wa dini kutoka madhehebu mbalimbali. Katika hatua za sasa maandalizi yanaendelea kuhakikisha kunakuwepo na usalama wa kutosha nchini kwa uangalizi wa vyombo vya kimataifa.
Hakuna haja ya kujadili. Lissu hatakuja Tanzania tena karibuni. Atakuja baada ya miaka 26
 
Siku hiyo jeshi litakuwa linafanya usafi maeneo yote ya Dar...
What a coincidence? 😅 😅 😅 😅 😅
 
Shujaa Mhe. Tundu Lissu anatarajiwa kutua nchini siku ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika tarehe 09.12 na kupokelewa na viongozi, wanachama na wafuasi wa vyama 9 vya upinzani ambavyo vimedhibitisha kushiriki kwenye mapokezi hayo. Baada ya kupokewa Mhe. Tundu Lissu anafikia kwenye moja ya hoteli mashuhuri jijini Dar-es-salaam na kuzungumza na Watanzania.

Moja ya ajenda kuu ni mweleko wa Tanzania kisiasa, kiuchumi na kijamii lakini vilevile atajikita katika mwelekeo ya nchi kwenye diplomasia ya kimataifa. Baada ya tarehe 09.12.2019 kunatarajiwa na kuwa na misa ya shukrani ambayo inatarajiwa kufanyika jijini Dar-es-salaam ikiongozwa na viongozi wa dini kutoka madhehebu mbalimbali. Katika hatua za sasa maandalizi yanaendelea kuhakikisha kunakuwepo na usalama wa kutosha nchini kwa uangalizi wa vyombo vya kimataifa.
Hopeless!! Toa uchafu huu unanuka!
 
Aisee mazwazwa wa Lumumba mnaboa
Nilishasema, Ukishaanza kutumia maneno kama uzwazwa, naelewa we ni mtu wa kijiweni. Ni ngómbe wa shamba anayesubuli kufungiwa plau na kupigwa asonge mbele. Watu wanasubila ujio wa Yesu, nawe unasubilia ujio wa Lissu! So intuitively!
 
Huyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....

Mkuu umeisha patwa na kiwewe, mpaka unaandika kwa herufi kubwa. Kwa kweli wasiojulikana, mnaojulikana mnateseka. Mkisikia tu jina au habari za Tundu Lisu nyinyi pamoja na Lumumba mnashikwa na homa kali. Wenye maamuzi ni wananchi wapiga kura, wewe kama sio mrundi ni mwananchi unakura yako moja tu, kelele za nini kaa kimya acha wananchi tuamue wenyewe, kwenye uchaguzi huru, chini ya tume huru ,isyokuwa na wakurugenzi wa halmashauri kuwa wasimamizi.
 
Nilishasema, Ukishaanza kutumia maneno kama uzwazwa, naelewa we ni mtu wa kijiweni. Ni ngómbe wa shamba anayesubuli kufungiwa plau na kupigwa asonge mbele. Watu wanasubila ujio wa Yesu, nawe unasubilia ujio wa Lissu! So intuitively!

Mmmm mkuu mbona mi nilisikia kuwa Lumumba mnasubiri ujio wa shetani mkuu. Hayo ya kwamba na nyinyi mnamsubiri Masihi, ni mapya kabisa ndio kwanza nayasikia kwako.
 
Be
Huyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....
Beberu ni wewe acha fikra nyembamba
 
Huyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....
Kwani kuna ubaya akiwa rais? Badilikeni wa tz. Hata nguo,chakula nyumbani hubadilishwa
 
Huyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....
takataka.. [emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
 
Michadema komaeni
Shujaa Mhe. Tundu Lissu anatarajiwa kutua nchini siku ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika tarehe 09.12 na kupokelewa na viongozi, wanachama na wafuasi wa vyama 9 vya upinzani ambavyo vimedhibitisha kushiriki kwenye mapokezi hayo. Baada ya kupokewa Mhe. Tundu Lissu anafikia kwenye moja ya hoteli mashuhuri jijini Dar-es-salaam na kuzungumza na Watanzania.

Moja ya ajenda kuu ni mweleko wa Tanzania kisiasa, kiuchumi na kijamii lakini vilevile atajikita katika mwelekeo ya nchi kwenye diplomasia ya kimataifa. Baada ya tarehe 09.12.2019 kunatarajiwa na kuwa na misa ya shukrani ambayo inatarajiwa kufanyika jijini Dar-es-salaam ikiongozwa na viongozi wa dini kutoka madhehebu mbalimbali. Katika hatua za sasa maandalizi yanaendelea kuhakikisha kunakuwepo na usalama wa kutosha nchini kwa uangalizi wa vyombo vya kimataifa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom