Kikongwe nyie mko wachache Sana..na Magonjwa yenu nyemelezi . Na msitegemee vyombo vya ulinzi. . Vijana wakiamua Hakuna cha kuwafanya.. Ref:Zimbabwe, Sudan na Arab Springnyie mtakachokitaka msubiiri kizazi chetu kipite hatutaki kuongozwa na mrpokaji kama huyo hatufai tukiondoka ndiyo mumuchague aje awatese
Hakuna haja ya kujadili. Lissu hatakuja Tanzania tena karibuni. Atakuja baada ya miaka 26Shujaa Mhe. Tundu Lissu anatarajiwa kutua nchini siku ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika tarehe 09.12 na kupokelewa na viongozi, wanachama na wafuasi wa vyama 9 vya upinzani ambavyo vimedhibitisha kushiriki kwenye mapokezi hayo. Baada ya kupokewa Mhe. Tundu Lissu anafikia kwenye moja ya hoteli mashuhuri jijini Dar-es-salaam na kuzungumza na Watanzania.
Moja ya ajenda kuu ni mweleko wa Tanzania kisiasa, kiuchumi na kijamii lakini vilevile atajikita katika mwelekeo ya nchi kwenye diplomasia ya kimataifa. Baada ya tarehe 09.12.2019 kunatarajiwa na kuwa na misa ya shukrani ambayo inatarajiwa kufanyika jijini Dar-es-salaam ikiongozwa na viongozi wa dini kutoka madhehebu mbalimbali. Katika hatua za sasa maandalizi yanaendelea kuhakikisha kunakuwepo na usalama wa kutosha nchini kwa uangalizi wa vyombo vya kimataifa.
Kama tulivyo mjaribu Jei-P-eM na sasa anavurunda eti.Tundu lissu ni shujaa kwa jambo gani. Kujeruhiwa kwa risasi haukumpa ushujaa wala sifa za kuwa Rais. Tanzania isifanywe nchi ya majaribio.
Ndo hapo sasa, wakati Rais wetu ni malaika mtakatifu,Kwani utawala huu una shida gani
Akivuruga chama si ndo furaha yako? Just relax mkuu mambo yaende.ngoja aje akivuruge chama maana kila mtu anataka awe rais
Nasisitiza, hawataweza hata kumkaribia kizembezembe.Hatabiriki hawa hususani kipindi hiki ambacho vitendo vya utekaji vimekithiri
Hopeless!! Toa uchafu huu unanuka!Shujaa Mhe. Tundu Lissu anatarajiwa kutua nchini siku ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika tarehe 09.12 na kupokelewa na viongozi, wanachama na wafuasi wa vyama 9 vya upinzani ambavyo vimedhibitisha kushiriki kwenye mapokezi hayo. Baada ya kupokewa Mhe. Tundu Lissu anafikia kwenye moja ya hoteli mashuhuri jijini Dar-es-salaam na kuzungumza na Watanzania.
Moja ya ajenda kuu ni mweleko wa Tanzania kisiasa, kiuchumi na kijamii lakini vilevile atajikita katika mwelekeo ya nchi kwenye diplomasia ya kimataifa. Baada ya tarehe 09.12.2019 kunatarajiwa na kuwa na misa ya shukrani ambayo inatarajiwa kufanyika jijini Dar-es-salaam ikiongozwa na viongozi wa dini kutoka madhehebu mbalimbali. Katika hatua za sasa maandalizi yanaendelea kuhakikisha kunakuwepo na usalama wa kutosha nchini kwa uangalizi wa vyombo vya kimataifa.
Nilishasema, Ukishaanza kutumia maneno kama uzwazwa, naelewa we ni mtu wa kijiweni. Ni ngómbe wa shamba anayesubuli kufungiwa plau na kupigwa asonge mbele. Watu wanasubila ujio wa Yesu, nawe unasubilia ujio wa Lissu! So intuitively!Aisee mazwazwa wa Lumumba mnaboa
Una akili sana halafu nahisi utakuwa mtu mzima na mwenye heshima zako.Kwani utawala huu una shida gani
Huyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....
Nilishasema, Ukishaanza kutumia maneno kama uzwazwa, naelewa we ni mtu wa kijiweni. Ni ngómbe wa shamba anayesubuli kufungiwa plau na kupigwa asonge mbele. Watu wanasubila ujio wa Yesu, nawe unasubilia ujio wa Lissu! So intuitively!
apigana na nini boss....Shujaa wa kweli upigana mpaka kufa ndani ya nchi yake.
Beberu ni wewe acha fikra nyembambaHuyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....
Shujaa wa kweli upigana mpaka kufa ndani ya nchi yake.
Kwani kuna ubaya akiwa rais? Badilikeni wa tz. Hata nguo,chakula nyumbani hubadilishwaHuyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....
takataka.. [emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]Huyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....
Je unadhani wana dhamira safi na Lissu hata kama hawataweza kumdhuru tena?Nasisitiza, hawataweza hata kumkaribia kizembezembe.
Shujaa Mhe. Tundu Lissu anatarajiwa kutua nchini siku ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika tarehe 09.12 na kupokelewa na viongozi, wanachama na wafuasi wa vyama 9 vya upinzani ambavyo vimedhibitisha kushiriki kwenye mapokezi hayo. Baada ya kupokewa Mhe. Tundu Lissu anafikia kwenye moja ya hoteli mashuhuri jijini Dar-es-salaam na kuzungumza na Watanzania.
Moja ya ajenda kuu ni mweleko wa Tanzania kisiasa, kiuchumi na kijamii lakini vilevile atajikita katika mwelekeo ya nchi kwenye diplomasia ya kimataifa. Baada ya tarehe 09.12.2019 kunatarajiwa na kuwa na misa ya shukrani ambayo inatarajiwa kufanyika jijini Dar-es-salaam ikiongozwa na viongozi wa dini kutoka madhehebu mbalimbali. Katika hatua za sasa maandalizi yanaendelea kuhakikisha kunakuwepo na usalama wa kutosha nchini kwa uangalizi wa vyombo vya kimataifa.