Mawazo ya wapumbavu hayawezi kutuchota akili.Huyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....
Kwani ukisikia neno "watu" unadhani wewe unahusika? Utakuwaje "MTU" kama unafikira za kinguruwe kama hizi?polisi haichagui wa kumlinda inalinda raia wote sasa yeye ni nani ana uspecial gani?
Dhamira zao ni ovu mno. Hilo swala liko wazi mkuu. Kitachofanyika ni kumuundia lissu mizengwe ya hapa na pale (ikiwemo mahakamani) ili kumpunguza speed ila kumdhuru hawawezi.Je unadhani wana dhamira safi na Lissu hata kama hawataweza kumdhuru tena?
Huyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....
He is never going to be Tz president. In your dreams.We are here and we are waiting for our future President
Mkuu ulikuwa naye kwenye hayo mazungumzoHuyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....
Bora watutawala kuliko kuwa Na mkoloni mweusi Na mwenye roho mbayanyie akili yenu bado inahamu ya kutawaliwa yaani kila kitu watu wa nje huyo lisssu wanamtega tu usifikiri wanampenda wakija hao tayari tunaanza kuwa watumwa tena
siku hiyo sikutakuwa na misafara ya viongozi watakaokuja kwenye sherehe za uhuru? huku Kagame anapita kenge nyingine nayo inafuata kwa nyuma, akatue KIA aende zake Ikungi, watu wengine wanapendaga chokochoko tu,Now Confimed: Tundu Lissu kuwasili nchini tarehe 07.09.2019 baada ya mabadiliko ya ratiba.
------
Shujaa Mhe. Tundu Lissu anatarajiwa kutua nchini siku ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika tarehe 09.12 na kupokelewa na viongozi, wanachama na wafuasi wa vyama 9 vya upinzani ambavyo vimedhibitisha kushiriki kwenye mapokezi hayo. Baada ya kupokewa Mhe. Tundu Lissu anafikia kwenye moja ya hoteli mashuhuri jijini Dar-es-salaam na kuzungumza na Watanzania.
Moja ya ajenda kuu ni mweleko wa Tanzania kisiasa, kiuchumi na kijamii lakini vilevile atajikita katika mwelekeo ya nchi kwenye diplomasia ya kimataifa. Baada ya tarehe 09.12.2019 kunatarajiwa na kuwa na misa ya shukrani ambayo inatarajiwa kufanyika jijini Dar-es-salaam ikiongozwa na viongozi wa dini kutoka madhehebu mbalimbali. Katika hatua za sasa maandalizi yanaendelea kuhakikisha kunakuwepo na usalama wa kutosha nchini kwa uangalizi wa vyombo vya kimataifa.
Sheree zips za uhuru ambayo hela za Sheree hizo Dotto James na Magu wanazitafunasiku hiyo sikutakuwa na misafara ya viongozi watakaokuja kwenye sherehe za uhuru? huku Kagame anapita kenge nyingine nayo inafuata kwa nyuma, akatue KIA aende zake Ikungi, watu wengine wanapendaga chokochoko tu,
hawa watu wana mambo ya kijinga sanaAmeshakuwa zilipendwa kwasasa ni mdudu chadema
Kivipi mkuu?hawa watu wana mambo ya kijinga sana
Why asikae hukohuko hadi utawala huu upite.
Hawataweza.
Kama wa Iraq na wa Libya walivyotolewa ktk jehanam zao sio?Bora Lissu kuliko hawa wanaotuteka na kutuua, Lissu Kwa kushirikiana na Mataifa ya nje watatutoa katika jehanamu hii
mkuu kuna watu humu hawana vichwa sasa sijui akili ziko wapi?Kama wa Iraq na wa Libya walivyotolewa ktk jehanam zao sio?