Tundu Lissu: Mabinti zenu mnaowasomesha Vyuo Vikuu hawapewi Mikopo wanakwenda kujiuza mabarabarani

Tundu Lissu: Mabinti zenu mnaowasomesha Vyuo Vikuu hawapewi Mikopo wanakwenda kujiuza mabarabarani

Wanafunzi wa kike na taasisi za kutetea wanawake wamburuze mahakamani akathibitishe kuwa watoto wa wazazi wa Manyoni alikokuwa anahutubia kuwa wanajiuza Dar

au wazazi wa Iramba Wenye watoto Dar wamburuze mahakamani akathibitishe hizo Tuhuma kuwa watoto wao wanajiuza Dar es salaam

wazazi wa manyoni Wenye watoto wenu Dar mburuzeni mahakamani athibitishe kama wanenu wanajiuza Dar
Sawa Wana haki hiyo. Swali ni je Kuna mwanasheria wa kumchallege lisu?

Kwanza USHAHIDI upo kasema Watoto wa watanzania wote maana kile chuo kikuu sio Kwa ajiri ya watu wa manyoni au iramba pekee
 
Wanafunzi wengi tu wanapewa mkopo na bado wanajiuza kwa tamaa zao binafsi.
Sometimes tuwe realistic.
Mdogo wangu mkopo wanaopewa wanafunzi nyakati hizi ni Heri waache shule kabisa, wengi karibia wote hupewa 16% ya mkopo na boom hivyo wanachukua boom ndo wanajazia ada
Wanafunzi wanaoishi maisha magumu sana hadi wanatia huruma
 
Sawa Wana haki hiyo. Swali ni je Kuna mwanasheria wa kumchallege lisu?

Kwanza USHAHIDI upo kasema Watoto wa watanzania wote maana kile chuo kikuu sio Kwa ajiri ya watu wa manyoni au iramba pekee
Kwani yeye Lisu Mungu kiasi asiwe challenged?

Huyu Lisu mdhalilisha majaji na kuwaita Hawamjui kingereza huyu ndio ashindikane huyu

Tena majaji wanamsubiri Kwa hamu sana atue anga zao

Wazazi wa manyoni tu ndio muanze kumburuza mahakamani

Kawadhalilisha sana
 
Kashasema Sasa mpeleke mahakani USHAHIDI clip ipo
Kwani yeye Lisu Mungu kiasi asiwe challenged?

Huyu Lisu mdhalilisha majaji na kuwaita Hawamjui kingereza huyu ndio ashindikane huyu

Tena majaji wanamsubiri Kwa hamu sana atue anga zao

Wazazi wa manyoni tu ndio muanze kumburuza mahakamani

Kawadhalilisha sana
.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lissu amewaambia wazazi wa Manyoni Kuwa Watoto wao waliopo Vyuo vikuu hawapewi Mikopo wanaenda kujiuza

"Ukienda DSM muda wa Usiku utawakuta mabinti wa Vyuo Wamejazana mabarabarani wanafanya mambo ya ajabu maisha ni Magumu kwa sababu hawapewi fedha " amesema Lisu

Chanzo: Mwanzo TV Plus

My take; Lissu aitwe kamati ya Maadili kutoa ushahidi
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lissu amewaambia wazazi wa Manyoni Kuwa Watoto wao waliopo Vyuo vikuu hawapewi Mikopo wanaenda kujiuza

"Ukienda DSM muda wa Usiku utawakuta mabinti wa Vyuo Wamejazana mabarabarani wanafanya mambo ya ajabu maisha ni Magumu kwa sababu hawapewi fedha " amesema Lisu

Chanzo: Mwanzo TV Plus

My take; Lissu aitwe kamati ya Maadili kutoa ushahidi
Naunga mkono hoja
 
Wanafunzi wa kike na taasisi za kutetea wanawake wamburuze mahakamani akathibitishe kuwa watoto wa wazazi wa Manyoni alikokuwa anahutubia kuwa wanajiuza Dar

au wazazi wa Iramba Wenye watoto Dar wamburuze mahakamani akathibitishe hizo Tuhuma kuwa watoto wao wanajiuza Dar es salaam

wazazi wa manyoni Wenye watoto wenu Dar mburuzeni mahakamani athibitishe kama wanenu wanajiuza Dar
UWT mmebanishwa leo
 
Halafu bado kuna mbunge anataka pesa za boom ziondolewe
Kuna jamaa yangu ilikua mwaka 2014 nilikua namjadala nae nikamwambia kwa hapa Tanzania sioni kabisa umuhimu wa Bunge ibakie tu serikali kuu.

Akawa ananikatalia naamini huko aliko kwa sasa atakua anakubaliana na mimi.
 
Back
Top Bottom