Pre GE2025 Tundu Lissu: Mambo ya umma hayazungumziwi chumbani, wapambe wa bwana mkubwa hawapendi nizungumze nje

Pre GE2025 Tundu Lissu: Mambo ya umma hayazungumziwi chumbani, wapambe wa bwana mkubwa hawapendi nizungumze nje

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Joined
Nov 19, 2024
Posts
94
Reaction score
307
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara ambaye pia ni mtia nia wa nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu ameeleza hayo alipofanya mahojiano maalum na Clouds FM kupitia kipindi cha Power Breakfast leo, Jumanne Desemba 17.2024

Lissu amesema

"Kuna hoja zinasemwa kwamba haya mambo lazima tuyamalizie chumbani basically hizi ni hoja za CCM za miaka yote, mkizungumzia chumbani haya ni mambo ya umma, ni mambo ya umma hayawezi yakaishia chumbani, bila haya mambo kuzungumzwa hadharani (1983/84 wakati wa mjadala wa Katiba ya Tanzania) tusingekuwa na term limit kwenye Katiba yetu, najuwa kuzungumza nje kuna watu hawapendi, wapambe hawapendi, watu ambao wana maslahi ya bwana mkubwa (Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe kuendelea hawapendi"

"Na mara nyingine kuna hatari sana, hiyo ya mwaka 1984 ilimgharimu Aboud Jumbe uongozi (Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar) lakini ni hoja ambazo lazima zingumzwe, nyingine mnaniambia zizungumzwe zinazimwa ndani"
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara ambaye pia ni mtia nia wa nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu ameeleza hayo alipofanya mahojiano maalum na Clouds FM kupitia kipindi cha Power Breakfast leo, Jumanne Desemba 17.2024

Lissu amesema

"Kuna hoja zinasemwa kwamba haya mambo lazima tuyamalizie chumbani basically hizi ni hoja za CCM za miaka yote, mkizungumzia chumbani haya ni mambo ya umma, ni mambo ya umma hayawezi yakaishia chumbani, bila haya mambo kuzungumzwa hadharani (1983/84 wakati wa mjadala wa Katiba ya Tanzania) tusingekuwa na term limit kwenye Katiba yetu, najuwa kuzungumza nje kuna watu hawapendi, wapambe hawapendi, watu ambao wana maslahi ya bwana mkubwa (Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe kuendelea hawapendi"

"Na mara nyingine kuna hatari sana, hiyo ya mwaka 1984 ilimgharimu Aboud Jumbe uongozi (Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar) lakini ni hoja ambazo lazima zingumzwe, nyingine mnaniambia zizungumzwe zinazimwa ndani"
HUYU NI MPUUZI TU! UNAZUNGUMZA NJE YA VIKAO VYENU UNAMNUFAISHA NANI? KUNA YA KUZUNGUMZA NDANI NA MENGIN YA NJE..YOU NEED TO DIFFERENTATE BETWEEN THE TWO!
MTOTO WAKO AKIIBA UNATANGAZIA UMMA KUWA NI MWIZI KWA VILE JINAI NI SUALA LA UMMA? UNAMREKEBISHA KWA NGUVU ZOTE NDANI KWA NDANI
 
HUYU NI MPUUZI TU! UNAZUNGUMZA NJE YA VIKAO VYENU UNAMNUFAISHA NANI? KUNA YA KUZUNGUMZA NDANI NA MENGIN YA NJE..YOU NEED TO DIFFERENTATE BETWEEN THE TWO!
MTOTO WAKO AKIIBA UNATANGAZIA UMMA KUWA NI MWIZI KWA VILE JINAI NI SUALA LA UMMA? UNAMREKEBISHA KWA NGUVU ZOTE NDANI KWA NDANI
Tatizo mmezoeshwa tabia za wizi kufanya siri hata mambo ambayo hayahitaji siri na si ya siri, ndio maana nchi inaingia mikataba ya hovyo ya maisha kwa ajili ya itikadi za kipumbavu kama hizo mnazo zoeshwa na wezi wa CCM
 
safi kabisa ,unit in diversity,huku kutofautiana katika kufiri ndiko kunafanya chadema kionekane kwamba ni chama komavu na watu wenye uwezo .Wanakosoana kwa hoja kipindi kama hichi cha uchaguzi but at end they remain one, na sio upumbavu wa kuhama chama na kuanza kuwatukana wezako ukiwa nje.
 
HUYU NI MPUUZI TU! UNAZUNGUMZA NJE YA VIKAO VYENU UNAMNUFAISHA NANI? KUNA YA KUZUNGUMZA NDANI NA MENGIN YA NJE..YOU NEED TO DIFFERENTATE BETWEEN THE TWO!
MTOTO WAKO AKIIBA UNATANGAZIA UMMA KUWA NI MWIZI KWA VILE JINAI NI SUALA LA UMMA? UNAMREKEBISHA KWA NGUVU ZOTE NDANI KWA NDANI
Unapata wapi ujasìri wa kumuita mwenyekiti wako ajaye mpuuzi?😁
 
HUYU NI MPUUZI TU! UNAZUNGUMZA NJE YA VIKAO VYENU UNAMNUFAISHA NANI? KUNA YA KUZUNGUMZA NDANI NA MENGIN YA NJE..YOU NEED TO DIFFERENTATE BETWEEN THE TWO!
MTOTO WAKO AKIIBA UNATANGAZIA UMMA KUWA NI MWIZI KWA VILE JINAI NI SUALA LA UMMA? UNAMREKEBISHA KWA NGUVU ZOTE NDANI KWA NDANI
Wakati wa kutia nia lazima ueleze kwa nini unataka kuwa kiongozi mkuu wa chama, hayo inapsa uyaseme hadharani ili watanzania wajue kwa nini unagombea. Sioni kosa kwake.
Huko kwenu hawataki lakini wakiruhusu anaechukua fomu lazima atuambie kwa nini anachuukua na kwa nini asimwachie aliyopo.
 
safi kabisa ,unit in diversity,huku kutofautiana katika kufiri ndiko kunafanya chadema kionekane kwamba ni chama komavu na watu wenye uwezo .Wanakosoana kwa hoja kipindi kama hichi cha uchaguzi but at end they remain one, na sio upumbavu wa kuhama chama na kuanza kuwatukana wezako ukiwa nje.
Yap
 
HUYU NI MPUUZI TU! UNAZUNGUMZA NJE YA VIKAO VYENU UNAMNUFAISHA NANI? KUNA YA KUZUNGUMZA NDANI NA MENGIN YA NJE..YOU NEED TO DIFFERENTATE BETWEEN THE TWO!
MTOTO WAKO AKIIBA UNATANGAZIA UMMA KUWA NI MWIZI KWA VILE JINAI NI SUALA LA UMMA? UNAMREKEBISHA KWA NGUVU ZOTE NDANI KWA NDANI
Haya ya kufichiana (kula Zanzibar wanaita muhali) ndiyo yanayokwamisha maendeleo ya taifa na ukomavu wa demkrasia hapa nchini.

Kusema
(1) katiba ya chadema haijaweka ukomo wa uongozi wa juu wa chama, kuna shida gani ikisemwa hadharani? Kwani ni uwongo?
(2) Hela za chama zinatafutwa na zinatolewa na mtu badala ya mfumo wa chama, Kuna ubaya gani ikisemwa hadharani? Kwani ni uwongo?
(3) Kuna uchawa ndani ya chadema Kuna ubaya gani ikisemwa hadharani? Kwani ni uwongo?
 
HUYU NI MPUUZI TU! UNAZUNGUMZA NJE YA VIKAO VYENU UNAMNUFAISHA NANI? KUNA YA KUZUNGUMZA NDANI NA MENGIN YA NJE..YOU NEED TO DIFFERENTATE BETWEEN THE TWO!
MTOTO WAKO AKIIBA UNATANGAZIA UMMA KUWA NI MWIZI KWA VILE JINAI NI SUALA LA UMMA? UNAMREKEBISHA KWA NGUVU ZOTE NDANI KWA NDANI
Wapambe wa Mbowe ndiyo mnazidi kuvurugwa mtatoa povu sana safari hii.
 
HUYU NI MPUUZI TU! UNAZUNGUMZA NJE YA VIKAO VYENU UNAMNUFAISHA NANI? KUNA YA KUZUNGUMZA NDANI NA MENGIN YA NJE..YOU NEED TO DIFFERENTATE BETWEEN THE TWO!
MTOTO WAKO AKIIBA UNATANGAZIA UMMA KUWA NI MWIZI KWA VILE JINAI NI SUALA LA UMMA? UNAMREKEBISHA KWA NGUVU ZOTE NDANI KWA NDANI
ana baraka za ccm
 
HUYU NI MPUUZI TU! UNAZUNGUMZA NJE YA VIKAO VYENU UNAMNUFAISHA NANI? KUNA YA KUZUNGUMZA NDANI NA MENGIN YA NJE..YOU NEED TO DIFFERENTATE BETWEEN THE TWO!
MTOTO WAKO AKIIBA UNATANGAZIA UMMA KUWA NI MWIZI KWA VILE JINAI NI SUALA LA UMMA? UNAMREKEBISHA KWA NGUVU ZOTE NDANI KWA NDANI
RUSHWA Toka Kwa mama Abdul haifai kuzungumzwa chumbani.
 
Back
Top Bottom