Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Tanzania sio nchi ya amani, bali ni nchi ya makondoo. Hakuna mkenya anatamani kuwa kondoo kama sisi, labda useme watawala wa Kenya ndio wanatamani kuongoza wananchi majoga kama ya Tanzania.Kenya hapajakuwa na amani na haitatokea wakawa na amani. Na sababu kubwa ya wao kutokuwa na amani ni hiyo aina ya mawakili wao ambayo Tundu Lissu anaitamani.
Tanzania ni kisiwa cha amani. Kenya wanatamani sana kuwa sisi.
Ni kila kitu, kasoro ushabiki maandazi wa simba na yanga.Sio mambo ya sheria tu, ni kama vyote, hata kiswahili wapo juu zaidi.
Ni ujinga kwa Tundu Lissu kuwaona Kenya wako juu kuliko Tanzania kwenye tasnia ya uwakili. Mawakili hao ambao Lissu anawalamba viatu na kuwaabudu walishindwa na Brian Mwenda ambaye hana vyeti vya uwakiliWakili Msomi Tundu Antipas Lissu amesema Mawakili wa Tanzania hawawafikii Mawakili wa Kenya kwa hatua 100
Source: Mwanzo TV Plus.
Soma zaidi: Uchaguzi wa Rais TLS: Nani kuibuka kidedea Urais TLS 2024?
Vyuo viache kuzalisha machawaPonda ponda mwisho wa siku bila solution ni kupiga makelele...Tufanyaje tuwafikie?
Hata wapinzani wa bongo hawafikii wakenyaWakili Msomi Tundu Antipas Lissu amesema Mawakili wa Tanzania hawawafikii Mawakili wa Kenya kwa hatua 100
Source: Mwanzo TV Plus.
Soma zaidi: Uchaguzi wa Rais TLS: Nani kuibuka kidedea Urais TLS 2024?
Hii ndio jamaa yetu anapendaNi ujinga kwa Tundu Lissu kuwaona Kenya wako juu kuliko Tanzania kwenye tasnia ya uwakili. Mawakili hao ambao Lissu anawalamba viatu na kuwaabudu walishindwa na Brian Mwenda ambaye hana vyeti vya uwakili
View attachment 3059855View attachment 3059856
Wakenya gani watamani huu ukondoo wa kitanganyika?Kenya hapajakuwa na amani na haitatokea wakawa na amani. Na sababu kubwa ya wao kutokuwa na amani ni hiyo aina ya mawakili wao ambayo Tundu Lissu anaitamani.
Tanzania ni kisiwa cha amani. Kenya wanatamani sana kuwa sisi.
hii ni kawaida yake.Routine anatulia ubelgiji miezi mitatu,miezi mitatu mingine anarudi huku kuja kuponda nchi ilivyokuwa mbaya..najua amekosewa binafsi na CCM ,lakini kuja kila siku kupiga madongo tu.Utulie sasa.Unajua alitaka kushauri nini?Usiongozwe na negative attitudes towards someone.Tulia.
Aenda Kenya wakamshone majerahaWakili Msomi Tundu Antipas Lissu amesema Mawakili wa Tanzania hawawafikii Mawakili wa Kenya kwa hatua 100
Source: Mwanzo TV Plus.
Soma zaidi: Uchaguzi wa Rais TLS: Nani kuibuka kidedea Urais TLS 2024?
Mumeo ambaye siyo failure ana nini cha maana?Ni kweli ,msomi kama yeye anendeshwa na form failure 🙆♂️🙆♂️🙆♂️