Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Peter Madeleka siku za karibuni ameanza kuwa watofauti, binafsi napęnda anachokifanya kutetea wasio na uwezo.
Jamaa angeanzisha NGO yake atafute funds kutoka kwa wazungu (kuna taasisi nyingi tu wana funds hizo sheria kila mwaka), aendelee na njia hiyo hiyo ya kuwapigania walalahoi na kuacha kuingiza siasa kwenye kazi yake bali kujikita kwenye mambo ya haki na sheria tu.
Jamaa angeanzisha NGO yake atafute funds kutoka kwa wazungu (kuna taasisi nyingi tu wana funds hizo sheria kila mwaka), aendelee na njia hiyo hiyo ya kuwapigania walalahoi na kuacha kuingiza siasa kwenye kazi yake bali kujikita kwenye mambo ya haki na sheria tu.