Tundu Lissu: Mchakato wa Katiba Mpya ni lazima utungiwe Sheria nyingine ile ya Tume ya Warioba haitumiki tena!

Tundu Lissu: Mchakato wa Katiba Mpya ni lazima utungiwe Sheria nyingine ile ya Tume ya Warioba haitumiki tena!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema mchakato wa Katiba Mpya lazima utungiwe Sheria mpya.

Lissu amesema sheria iliyounda Tume ya Warioba na Bunge Maalum la Katiba haiwezi kutumika tena, sababu ilishakamilisha majukumu yake.

Hivyo, tutachukua baadhi ya mambo mazuri kwenye rasimu ya Warioba, tutachukua baadhi ya mambo kwenye Katiba pendekezwa na kuyaunganisha na mawazo mapya ya wananchi ili tupate Katiba Mpya iliyo bora.

Chanzo: ITV
 
Sahihi kabisa pia sheria mpya ipunguze idadi ya wajumbe wa bunge la katiba na kuweka wataalam wengi kwa sababu bunge lililojadili rasimu ya Warioba lilijaa makada wa CCM na kupelekea kuvuruga mjadala mzima kwa kuufanya ni mkutano mkuu wa CCM.
 
kwa Mantiki hii ya Lissu maana yake Mchakato uanze mwanzo kabisa kwny ukusanyaji wa maoni

kwny Bajeti hii ya 2023/24 inayoenda kusomwa hilo halipo

ukisubiri bajeti ijayo ya 2024/25 maana yake mchakato huo utakuwa haujakamilika kabla ya uchaguzi wa Serikali za mitaa

maana yake uchaguzi wa local government utumie katiba ya sasa au uahirishwe

hata uchaguzi ujao itabidi utumie Katiba ya sasa kwa kuwa mchakato wa Katiba mpya utakuwa haujafika mwisho

Utamu wa asali ni unbeatable
 
Kila Sheria na muda wake ,kanuni zitazamwe upya Majibu yapatikane
 
kwa Mantiki hii ya Lissu maana yake Mchakato uanze mwanzo kabisa kwny ukusanyaji wa maoni...
Umechanganyikiwa wewe si bure!

Lissu alikwishasema kwa kuwa tayari tuna mapendekezo ya katiba ya Tume ya Warioba iliyoyapata kutokana na maoni ya wananchi na pia kwa kuwa kuna katiba iliyopendekezwa na bunge la katiba, sheria mpya itakayotungwa iwezeshe kuchambua katiba hizi mbili ili ipatikane moja itakayopigiwa kura na wananchi.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu amesema mchakato wa Katiba Mpya lazima utungiwe Sheria mpya.

Lisu amesema sheria iliyounda Tume ya Warioba na Bunge Maalum la Katiba haiwezi kutumika tena ilishakamilisha Majukumu yake

Hivyo, tutachukua baadhi ya mambo mazuri kwenye rasimu ya Warioba tutachukua baadhi ya mambo kwenye Katiba Pendekezwa na kuyaunganisha na mawazo mapya ya Wananchi Ili tupate Katiba Mpya iliyo Bora

Source ITV
Lisu analialia tu anatamani angekuwa kwenye hiyo tume wanachowaza ni pesa tu matapeli wa siasa hawa

USSR
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu amesema mchakato wa Katiba Mpya lazima utungiwe Sheria mpya.

Lisu amesema sheria iliyounda Tume ya Warioba na Bunge Maalum la Katiba haiwezi kutumika tena ilishakamilisha Majukumu yake

Hivyo, tutachukua baadhi ya mambo mazuri kwenye rasimu ya Warioba tutachukua baadhi ya mambo kwenye Katiba Pendekezwa na kuyaunganisha na mawazo mapya ya Wananchi Ili tupate Katiba Mpya iliyo Bora

Source ITV
Hapa sijaelewa kitu msisitizo ni kwamba katiba ipatikane kabla ya 2025, watunga Sheria ni wabunge ambao wote ni ccm je watunga Sheria Kwa maslahi ya taifa au ya ccm na kama sivyo maana take tusubiri mpaka uchaguzi au
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema mchakato wa Katiba Mpya lazima utungiwe Sheria mpya.

Lissu amesema sheria iliyounda Tume ya Warioba na Bunge Maalum la Katiba haiwezi kutumika tena, sababu ilishakamilisha majukumu yake.

Hivyo, tutachukua baadhi ya mambo mazuri kwenye rasimu ya Warioba, tutachukua baadhi ya mambo kwenye Katiba pendekezwa na kuyaunganisha na mawazo mapya ya wananchi ili tupate Katiba Mpya iliyo bora.

Chanzo: ITV
Namuunga mkono Tundu Lissu katika hili. Nami nimeanzisha mada hapa JF kama mchakato wetu wa Katiba ya Wananchi.
Mnakaribishwa kushiriki..
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema mchakato wa Katiba Mpya lazima utungiwe Sheria mpya.

Lissu amesema sheria iliyounda Tume ya Warioba na Bunge Maalum la Katiba haiwezi kutumika tena, sababu ilishakamilisha majukumu yake.

Hivyo, tutachukua baadhi ya mambo mazuri kwenye rasimu ya Warioba, tutachukua baadhi ya mambo kwenye Katiba pendekezwa na kuyaunganisha na mawazo mapya ya wananchi ili tupate Katiba Mpya iliyo bora.

Chanzo: ITV
Katiba mpya kabla ya uchaguzi haiwezekani kwa sababu inatakiwa angalu iwe imebaki miaka mitatu kabla ya uchaguzi mkuu
 
kwa Mantiki hii ya Lissu maana yake Mchakato uanze mwanzo kabisa kwny ukusanyaji wa maoni

kwny Bajeti hii ya 2023/24 inayoenda kusomwa hilo halipo

ukisubiri bajeti ijayo ya 2024/25 maana yake mchakato huo utakuwa haujakamilika kabla ya uchaguzi wa Serikali za mitaa

maana yake uchaguzi wa local government utumie katiba ya sasa au uahirishwe

hata uchaguzi ujao itabidi utumie Katiba ya sasa kwa kuwa mchakato wa Katiba mpya utakuwa haujafika mwisho

Utamu wa asali ni unbeatable
Tulijua tu
 
Back
Top Bottom