johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu anasema yeye hana maslahi binafsi Kwenye Ubunge wa Viti maalumu
Unaweza ukaiona ni kauli Nyepesi Lakini imebeba Ujumbe mzito sana
Kuna wakati Spika Ndugai alionya bungeni endapo Chadema itaendelea na Rushwa za ngono Kwenye uteuzi wa Wabunge wa Viti maalumu basi angemjulisha rasmi Msajili wa Vyama Vya siasa Kwa hatua zaidi
Ahsanteni sana 😄
Pia soma
- Uchaguzi 2025 - Lissu: Tutaweka ukomo Ubunge Viti Maalum isiwe kikundi cha wale wale miaka yote
Unaweza ukaiona ni kauli Nyepesi Lakini imebeba Ujumbe mzito sana
Kuna wakati Spika Ndugai alionya bungeni endapo Chadema itaendelea na Rushwa za ngono Kwenye uteuzi wa Wabunge wa Viti maalumu basi angemjulisha rasmi Msajili wa Vyama Vya siasa Kwa hatua zaidi
Ahsanteni sana 😄
Pia soma
- Uchaguzi 2025 - Lissu: Tutaweka ukomo Ubunge Viti Maalum isiwe kikundi cha wale wale miaka yote